Baada ya utafiti wa siku nyingi hatimaye nimegundua hili...

Baada ya utafiti wa siku nyingi hatimaye nimegundua hili...

hamna best, sisi mambo yetu ni makubwaaaaaaaaaaaaaaaaa...only Kveve ndo mpango mzima wa chugastian na cha arumeru

hahahahhahahahah
Mtoa mada fucken sana ... Yaan anawatukana wahaya na wanyakyusa hadharan....


Ok ngoja tukampime dadaake...mamaake Kama Yu hai...
Na ndugu yake...

Pia kasema kipimo ni kwa wote me na ke.... bila shaka keshapimwa nae, very sad.

Kiwango Cha upuuzi lipo juu sana aisee
 
Mtoa mada fucken sana ... Yaan anawatukana wahaya na wanyakyusa hadharan....


Ok ngoja tukampime dadaake...mamaake Kama Yu hai...
Na ndugu yake...

Pia kasema kipimo ni kwa wote me na ke.... bila shaka keshapimwa nae, very sad.

Kiwango Cha upuuzi lipo juu sana aisee
Usipanic kaka.... maisha ndiyo haya haya. Mimi ndiyo mpimaji mkuu. Vipi unahitaji kipimo? Au una mtu yyeyote wa karibu anahitaji kipimo?
 
Yaani JF ni kiboko, bila kujali niko jukwaa gani mawazo yangu yalipeleka kuwa kuna kitu cha maana mhusika kagindua

Yaani nimecheka sana jaman loooh
Ulitegemea Mbongo kweli awe amegundua kitu cha maana? Kisichohusiana na ngono au umbea? [emoji15][emoji15]
 
Ulitegemea Mbongo kweli awe amegundua kitu cha maana? Kisichohusiana na ngono au umbea? [emoji15][emoji15]
inawezekana bwana, mbona aliyegundua trupa yuko Marangu na namfahamu kabisa jaman

hahahahah ila huyu mkuu alitishaaaaaaaaaaaaa akaona amegundua kitu cha maana eti
 
Oil kwa dole gumba la mguu wa kushoto????


Ni kwangu tu ndo sielewi au kuna mtu tuko pamoja??
 
Daaa asieee inabidi wizara ya elimu ijifikirie na ibadili zile points za sabbu zinazopelekea afrika kutokuendelea,

wazitoe zile zilizozoeleka zile zaa lack of capita, poor government supoort, badara yake waweke point moja yenye kichwa kikubwa [emoji117] FOOLISHNESSES & BASTARDLINESS&STUPIDITY.

mwanzo wa habar yako nikajua utakuja na maelezo ya ugunduzi wa kilimo bora cha ndizi huko bukoba na mbeya uko tukuyu, badara yake unaleta maelezo ya kubomoa taifa....nashauri huyu mleta mada auwawe mbele ya kadamnasi.
Daaa asieee inabidi wizara ya elimu ijifikirie na ibadili zile points za sabbu zinazopelekea afrika kutokuendelea,

wazitoe zile zilizozoeleka zile zaa lack of capita, poor government supoort, badara yake waweke point moja yenye kichwa kikubwa
emoji117.png
FOOLISHNESSES & BASTARDLINESS&STUPIDITY.

mwanzo wa habar yako nikajua utakuja na maelezo ya ugunduzi wa kilimo bora cha ndizi huko bukoba na mbeya uko tukuyu, badara yake unaleta maelezo ya kubomoa taifa....nashauri huyu mleta mada auwawe mbele ya kadamnasi.
Dah nimeanguka kwa kucheka,,,
 
Back
Top Bottom