OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
View attachment 2062410
Nimekumbuka tu, ilikuwa msimu wa 2015-16, ilikuwa mara ya mwisho Utopolo wakikabidhiwa kombe lao la ligi ya Vodacom.
Baada ya hapo kombe likawa chini ya mikono salama ya kitaalamu. Baada ya hapo wataalam wakalitangaza soka la Tanzania likavuma Afrika na duniani kote.
Baada ya hapo Tanzania ikaanza kupeleka timu 4 kimataifa.
Baada ya hapo mpira ukawa biashara kubwa na yenye pesa nzuri.
Baada ya hapo kombe likawa chini ya mikono salama ya kitaalamu. Baada ya hapo wataalam wakalitangaza soka la Tanzania likavuma Afrika na duniani kote.[emoji1534]View attachment 2062410
Nimekumbuka tu, ilikuwa msimu wa 2015-16, ilikuwa mara ya mwisho Utopolo wakikabidhiwa kombe lao la ligi ya Vodacom.
Baada ya hapo kombe likawa chini ya mikono salama ya kitaalamu. Baada ya hapo wataalam wakalitangaza soka la Tanzania likavuma Afrika na duniani kote.
Baada ya hapo Tanzania ikaanza kupeleka timu 4 kimataifa.
Baada ya hapo mpira ukawa biashara kubwa na yenye pesa nzuri.
mimi huwa nashangaa sanaHivi hii klabu nayo huwa mnaihesabu kwamba nayo ni klabu ya mpira? Watz tuna matatizo.
Umenikumbusha mbali Sana.Yaani Yanga bhana wakaburuza mkia kwenye kundi moja na Gor Mahia ya Kenya
Wakashindwa hadi na Rayon sport ya RwandaYaani Yanga bhana wakaburuza mkia kwenye kundi moja na Gor Mahia ya Kenya
kwani ukiungana na maoni ya wengi unapungukiwa niniKwan soka safi bado lipo Simba? Nikumbushe tafadhar
inatia hasira sanaYaani Yanga bhana wakaburuza mkia kwenye kundi moja na Gor Mahia ya Kenya
Jinsi walivyojiandaa zaidi na siku ya mwananchi kuliko kujiandaa na mechi ya klabu bingwa hakika hawana malengo.Yanga ni timu ya watu wasio na malengo ya kueleweka wao ni bora liende ndiyo maana hata klabu Bingwa wameshiriki mara nyingi zaidi ila mafanikio yao huko ni madogo sawa na kupoteza muda ambao wangekaa hata wajengee ofisi na viwanja vya michezo yaani huwa nikitazama walichokifanya huko huwa nabaki kucheka kwa dharau