Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Kiduku
lilo ufanye pre-order tuHabari! Nawaona Toyota wanavyohangaika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
lilo ufanye pre-order tuHabari! Nawaona Toyota wanavyohangaika.
Haina tofauti na Pajero.Inakuwaje wanajamvi!
Kama mjuavyo Toyota land cruiser 200 series (viieite) wamesitisha utengenezaji kabisa. Sasa hivi utengenezaji utakuwa wa 300 series na picha zimeshaanza kuvuja itakavyokuwa.
Sijapendezwa na Hizi picha kwasababu body itapunguzwa upande wa juu utashuka kidogo.
Ila engine itakuwa na nguvu pia high performance. Pia itakuwa hybrid. View attachment 1695573View attachment 1695574View attachment 1695575View attachment 1695576View attachment 1695577View attachment 1695578
Si bora wewe angalau una hata iyo passo[emoji3][emoji3]Kuna watu tunapenda kujichosha sasa mimi wa paso eti nimefungua huu uzi
anasema ni mwiko kumuazima mtu gari asiye na gari za kimarekani, ni bora akupe lote lote tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787].Kiduku Lilo mzee wa gari za Ulaya na Marekani.
Ile Ford F-150 najua umeipaki, nikodishie niende nayo nje ya mji.
My all time favorite Land Cruiser is 105 series Gx bila kusahau 80 seriesDuuh hapa mjep design kama kazingua hivi kwenye body
Binafsi mie naona 200 Series hasa VXR V8 ndiyo ziko bien
Sent from my SM-A705F using JamiiForums mobile app
Yap hasa platinum editionDuuh hapa mjep design kama kazingua hivi kwenye body
Binafsi mie naona 200 Series hasa VXR V8 ndiyo ziko bien
Sent from my SM-A705F using JamiiForums mobile app
Sawa,kununua ushindwe hata kuitazama tu na kuifuatilia ili uijue?Hujapendezwa wew kama nan.mnunuaj au mpenZ mtazamaj na mshabik
Umegundua eeh!ameshaona Nissan anakuja kwa kasi kaamua kumfuatia huko huko,sasa ujinga wa Nissan badala ya kujiongeza atabakia anashangaa mpaka jamaa atamfunika...Kidogo kaiba kwa hasimu wake Nissan View attachment 1695590
Tatizo katoa jini linatumia petrol tu 5.6l V8 EngineUmegundua eeh!ameshaona Nissan anakuja kwa kasi kaamua kumfuatia huko huko,sasa ujinga wa Nissan badala ya kujiongeza atabakia anashangaa mpaka jamaa atamfunika...
[emoji23]Kuna watu tunapenda kujichosha sasa mimi wa paso eti nimefungua huu uzi
Ndo nini. Pia itakuwa hybrid
Inatumia mafuta na umemeNdo nini