NAGAMAHONGA
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 11,131
- 9,301
kushikilia mziki hakutuzuii kuujadili ungese wao.hawa jamaa wana matatizo na huko kushikilia mziki kutakwisha tu.Mtawasema saana ,lakini Clouds ndio wameshikilia Mziki hapa Bongo ....we Subiri kwenye lile Tamasha lao la imwezi wa 10 uone watu wanavojaa