Baada ya vikwazo vya Marekani, Huawei kutumia Mediatek chip kuanzia 2021

Baada ya vikwazo vya Marekani, Huawei kutumia Mediatek chip kuanzia 2021

The Assassin

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2018
Posts
4,942
Reaction score
20,077
Baada ya Marekani kuituhumu Huawei kuwa ni tawi la jeshi la China na kuiongezea vikwazo, mambo yamezidi kuwa magumu kwa Huawei.

Kuanzia mwakani Huawei hataweza kuzalisha chip zake za Krin zinazotumika sasa kwenye simu zake za P series.

Huawei alikua na mpango wa kutumia chipset ya 5mn+ zake mwenyewe ila mambo yamekua magumu sasa baada ya suppliers wake wote kusitisha kumpa huduma ili kuepuka vikwazo vya Marekani.

Mwezi wa 5 mwaka huu Marekani ilitunga sheria ya kuyabana makampuni yasiyo ya Kimarekani ila yanayotumia teknolojia ya Marekani kuipatia huduma Huawei. Ukigundulika ni vikwazo hadi unafilisika.

Marekani iliipa Huawei msamaha wa siku 90 hadi September 15 mwaka huu ili iweze kuuziwa vifaa inavyohitaji ili angalau simu zake za mwaka huu zitoke na chipset ya Krin. Baada ya hapo haitaruhusiwa tena. Makampuni mengi ikiwemo Samsung yamesitisha kuipatia vifaa Huawei kuepuka mkono mrefu wa Marekani.

Huawei sasa anaangalia Mediatek kama mbadala iwapo tu Mediatek ataweza kumuuzia Huawei vifaa vyake ambavyo havina hata chembe ya teknolojia ya Marekani.

Future ya Huawei haieleweki kuanzia 2021 kama vikwazo vya Marekani vitaanza kufanya kazi September 2020.

Huawei's 2021 flagship could use a third-party 5nm chipset - Gizmochina
 
Sasa kutakuwa na tofauti gani kati ya Tecno na Huawei

Duuh

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mediatek sio ya kuibeza. Ni moja kati ya chipset zinazowakimbiza wapinzani wake. Mimi sioni tatizo kwa upande wa ubora endapo huawei atahamia kwenye mediatek na kutoa vifaa vyenye latest chipset. Bado itakuwa ni simu nzuri.
 
Mkuu mediatek sio ya kuibeza. Ni moja kati ya chipset zinazowakimbiza wapinzani wake. Mimi sioni tatizo kwa upande wa ubora endapo huawei atahamia kwenye mediatek na kutoa vifaa vyenye latest chipset. Bado itakuwa ni simu nzuri.
Kwamba akagombanie mpira na akina itel,tecno,oppo n the like.

Simu zote zinazotumia mediatek bila kujali ni daraja gani,ndizo zinauzwa bei mbuzi sababu nguvu haba.

Baada ya huawei kujitutumua na kukimbia asili anayofanana nayo miaka kibao kisha kufanikiwa kuzalisha simu viwango,ghafla anarudi 0.

Hata huwa nashangaa wanaoipamba China kwa Marekani huwa wanawaza nini, kama mambo yenyewe ndio haya ya shoka moja, mbuyu chini[emoji848][emoji848]
 
China bado inajiweza. Ingekuwa hawana resources zao hapo ningesema kweli wameanguka. Lakini bado. Tuone endapo Huawei atahamia Mtk kama hatoweza kushindana na soko la simu. mtk ya zamani ndio ilikuwa pengo ila kwa sasa wameshafika mbali.
 
Kwamba akagombanie mpira na akina itel,tecno,oppo n the like.

Simu zote zinazotumia mediatek bila kujali ni daraja gani,ndizo zinauzwa bei mbuzi sababu nguvu haba.

Baada ya huawei kujitutumia na kukimbia asili anayofanana nayo miaka kibao kisha kufanikiwa kuzalisha simi viwango,ghafla anarudi 0.

Hata huwa nashangaa wanaoipamba china kwa marekani huwa wanawaza nini,kama mambo yenyewe ndio haya ya shoka moja,mbuyu chini[emoji848][emoji848]
hahaha nyundo moja tuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
India pia amewafungua mobile apps 59 za kichina kuoperate nchini kwake kwasababu za kiusalama
Baada ya Marekani kuituhumu Huawei kua ni tawi la jeshi la China na kuiongezea vikwazo, mambo yamezidi kuwa magumu kwa Huawei.

Kuanzia mwakani Huawei hataweza kuzalisha chip zake za Krin zinazotumika sasa kwenye simu zake za P series.

Huawei alikua na mpango wa kutumia chipset ya 5mn+ zake mwenyewe ila mambo yamekua magumu sasa baada ya suppliers wake wote kusitisha kumpa huduma ili kuepuka vikwazo vya Marekani.

Mwezi 5 mwaka huu Marekani ilitunga sheria ya kuyabana makampuni yasiyo ya Kimarekani ila yanayotumia teknolojia ya Marekani kuipatia huduma Huawei. Ukigundulika ni vikwazo hadi unafilisika.

Marekani iliipa Huawei msamaha wa siku 90 hadi September 15 mwaka huu ili iweze kuuziwa vifaa inavyohitaji ili angalau simu zake za mwaka huu zitoke na chipset ya Krin. Baada ya hapo haitaruhusiwa tena. Makampuni mengi ikiwemo Samsung yamesitisha kuipatia vifaa Huawei kuepuka mkono mrefu wa Marekani.

Huawei sasa anaangalia Mediatek kama mbadala iwapo tu Mediatek ataweza kumuuzia Huawei vifaa vyake ambavyo havina hata chembe ya teknolojia ya Marekani.

Future ya Huawei haieleweki kuanzia 2021 kama vikwazo vya Marekani vitaanza kufanya kazi September 2020.

Huawei's 2021 flagship could use a third-party 5nm chipset - Gizmochina
 
Baada ya Marekani kuituhumu Huawei kua ni tawi la jeshi la China na kuiongezea vikwazo, mambo yamezidi kuwa magumu kwa Huawei.

Kuanzia mwakani Huawei hataweza kuzalisha chip zake za Krin zinazotumika sasa kwenye simu zake za P series.

Huawei alikua na mpango wa kutumia chipset ya 5mn+ zake mwenyewe ila mambo yamekua magumu sasa baada ya suppliers wake wote kusitisha kumpa huduma ili kuepuka vikwazo vya Marekani.

Mwezi 5 mwaka huu Marekani ilitunga sheria ya kuyabana makampuni yasiyo ya Kimarekani ila yanayotumia teknolojia ya Marekani kuipatia huduma Huawei. Ukigundulika ni vikwazo hadi unafilisika.

Marekani iliipa Huawei msamaha wa siku 90 hadi September 15 mwaka huu ili iweze kuuziwa vifaa inavyohitaji ili angalau simu zake za mwaka huu zitoke na chipset ya Krin. Baada ya hapo haitaruhusiwa tena. Makampuni mengi ikiwemo Samsung yamesitisha kuipatia vifaa Huawei kuepuka mkono mrefu wa Marekani.

Huawei sasa anaangalia Mediatek kama mbadala iwapo tu Mediatek ataweza kumuuzia Huawei vifaa vyake ambavyo havina hata chembe ya teknolojia ya Marekani.

Future ya Huawei haieleweki kuanzia 2021 kama vikwazo vya Marekani vitaanza kufanya kazi September 2020.

Huawei's 2021 flagship could use a third-party 5nm chipset - Gizmochina
Duh hatari.
 
Baada ya Marekani kuituhumu Huawei kua ni tawi la jeshi la China na kuiongezea vikwazo, mambo yamezidi kuwa magumu kwa Huawei.

Kuanzia mwakani Huawei hataweza kuzalisha chip zake za Krin zinazotumika sasa kwenye simu zake za P series.

Huawei alikua na mpango wa kutumia chipset ya 5mn+ zake mwenyewe ila mambo yamekua magumu sasa baada ya suppliers wake wote kusitisha kumpa huduma ili kuepuka vikwazo vya Marekani.

Mwezi 5 mwaka huu Marekani ilitunga sheria ya kuyabana makampuni yasiyo ya Kimarekani ila yanayotumia teknolojia ya Marekani kuipatia huduma Huawei. Ukigundulika ni vikwazo hadi unafilisika.

Marekani iliipa Huawei msamaha wa siku 90 hadi September 15 mwaka huu ili iweze kuuziwa vifaa inavyohitaji ili angalau simu zake za mwaka huu zitoke na chipset ya Krin. Baada ya hapo haitaruhusiwa tena. Makampuni mengi ikiwemo Samsung yamesitisha kuipatia vifaa Huawei kuepuka mkono mrefu wa Marekani.

Huawei sasa anaangalia Mediatek kama mbadala iwapo tu Mediatek ataweza kumuuzia Huawei vifaa vyake ambavyo havina hata chembe ya teknolojia ya Marekani.

Future ya Huawei haieleweki kuanzia 2021 kama vikwazo vya Marekani vitaanza kufanya kazi September 2020.

Huawei's 2021 flagship could use a third-party 5nm chipset - Gizmochina
Wamarekani wameshindwa fair competetion. Ila huawei ana simu kali sana aisee
 
Wamarekani wameshindwa fair competetion. Ila huawei ana simu kali sana aisee
Mchina haaminiki kidukuzi yule!
Maisha ya sahivi kudukuliwa ni kugusa tu.. utakumbuka hata lile jengo la umoja wa Afrika liligundulika kuna udukuzi ulikuwa ukifanyika!!..
Ndio inawezakuwa vita ya kiuchumi lkn pia mtu hujikuna anapowashwa..
 
Mchina haaminiki kidukuzi yule!
Maisha ya sahivi kudukuliwa ni kugusa tu.. utakumbuka hata lile jengo la umoja wa Afrika liligundulika kuna udukuzi ulikuwa ukifanyika!!..
Ndio inawezakuwa vita ya kiuchumi lkn pia mtu hujikuna anapowashwa..
Hawa wamarekani wanawaogopa wachina.
Mcina kilakitu anataka afanye cha kwake space station anajenga yake peke yake, satelite ya za location ka launch zake ipo siku utasikia wana proessor za simu kali balaa.
Steve jobs aliwahi kuulizwa kwanini wanapenda kuzalishia vitu china.
Jibu lake alisema ni sehemu pekee ambapo ukitangaza nafasi za kazi za watu wanaojua kitu flani wanaweza kujaa uwanja wa mpira na kwa bei rahisi wakati marekan wanaweza wazijae kwenye chumba na bei juu
 
Hawa wamarekani wanawaogopa wachina.
Mcina kilakitu anataka afanye cha kwake space station anajenga yake peke yake, satelite ya za location ka launch zake ipo siku utasikia wana proessor za simu kali balaa.
Steve jobs aliwahi kuulizwa kwanini wanapenda kuzalishia vitu china.
Jibu lake alisema ni sehemu pekee ambapo ukitangaza nafasi za kazi za watu wanaojua kitu flani wanaweza kujaa uwanja wa mpira na kwa bei rahisi wakati marekan wanaweza wazijae kwenye chumba na bei juu
Sasa kama watu wapo billion unafikiri nini..
Mkuu hao wanatumia huo mwanya ili wakunase ila watakupa ukitakacho ila kina kitu ndani yake.. kwenye ulimwengu wa ujasusi huko Mambo hayalali na ndicho unachotakiwa uwe makini..
Sasa huku kwetu mnaweza pewa hata komputa za msaada ati zinaenda kutumika ofisi za bunge..!!!
Hapo kaa ukijua upo uchi wa mnyama..😅
 
Back
Top Bottom