Baada ya vita kuu zilizopita, tujiandae kwa vita kuu ya mwisho

Baada ya vita kuu zilizopita, tujiandae kwa vita kuu ya mwisho

Mkuu uzi wako umejikita kwenye unabii hasa unabii wa ufunuo some how na unabii wa Daniel kdogo....sasa nilhtaji uniweke sawa hzo roho tatu za uchafu ni zip katika uhalisia wake? Mf tunajua joka ni shetani...twende mkuu
Sawa mkuu. joka ni shetani, mnyama ni mamlaka ya kidini yanayopotosha Neno la Mungu, hapa ushahidi wa Maandiko unaonyesha ni upapa mamlaka iliyokuwa ya kidini na kiserikali mara tu baada ya rumi. Na Nabii wa Uongo ni wote wale wanaojidai ni Wakristo lakini hawataki kufuata mapenzi ya Mungu.

Haya leta hoja nyingine.
 
mkuu usishangae wala kuteseka sana kuhusu historia ya mleta mada

cha kufanya we tafuta website na links za madhehebu ya kiadventista kama SDA nakadhalika......

au google restorated church of god (KANISA LA MUNGU REJESHWA) huko utayakuta mambo kama hayo mengi tu.......
Mkuu mwenzio amekataa kugoogle au hujamwelewa?
 
Mkuu mwenzio amekataa kugoogle au hujamwelewa?
soma vizuri post yake Jindal Singh wewe ndo HUJAMUELEWA KABISA ALICHOULIZA

kiufupi kauliza ivi
Mbona umesahau kuitaja Ottoman Caliphate iliyokuwa imedominate hadi baadhi ya mataifa ya Ulaya ikiwemo spain enzi hizo ikiitwa Andalus
na akamalizia kwa aya maneno hapa chini
Wewe umesoma kweli historia au unaperuzi kwa simu. Humu hatuwataki watu wa kugoogle.
mimi nimemuelewa na nikamuelekeza mnakotoa hizo tabiri na hayo mafundisho yenu kazi yake ni kutafuta source tu mimi ninazo baadhi
 
Sawa mkuu. joka ni shetani, mnyama ni mamlaka ya kidini yanayopotosha Neno la Mungu, hapa ushahidi wa Maandiko unaonyesha ni upapa mamlaka iliyokuwa ya kidini na kiserikali mara tu baada ya rumi. Na Nabii wa Uongo ni wote wale wanaojidai ni Wakristo lakini hawataki kufuata mapenzi ya Mungu.

Haya leta hoja nyingine.
Umeshaharibu vyote ulivyoviandika [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji13]
 
soma vizuri post yake Jindal Singh wewe ndo HUJAMUELEWA KABISA ALICHOULIZA

kiufupi kauliza ivi

na akamalizia kwa aya maneno hapa chini

mimi nimemuelewa na nikamuelekeza mnakotoa hizo tabiri na hayo mafundisho yenu kazi yake ni kutafuta source tu mimi ninazo baadhi
Hiyo source itumie kwa faida yako. Nashukuru kwa kuniongezea source hiyo nilikuwa siijui
 
Umeshaharibu vyote ulivyoviandika [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji13]
Nimeharibu nini sasa ya kuwa mnyama ni Papa wa Roman Catholic? Huo ndio ukweli soma vizuri Ufunuo 13.
 
Ipo karibu sana ndugu yangu, jiandae ukiwa na Yesu kamwe haitakutisha.
najua i karibu lakini sio kwa kiasi uaminicho maana kungali kuna mambo mengi bado kutimia ndugu..



na kiukweli siogopi hiyo vita bali yatakayo wapata wateule wa Mungu ndio ya kuogofya kupita maelezo..
 
Miaka 1000 kwa Mungu aliye hai ni kama siku 1 tuu,.watu tunajipa matumaini ya uongo kuwa mpaka miaka 1000 ipite sio Leo wala kesho,.ni kweli kibinadamu na kwa miili yetu hii ya kuharibika ni mingi mnoo,lakini kujiweka tayari muda wote ni salama zaidi kwa nafsi na roho zetu,...Mungu akubariki mleta Uzi,. Shalom.
 
Naon hiyo vita ya mwisho hujaipa nyama vizuri umetoa maelezo juu juu bado sijakusoma..
 
Nimeharibu nini sasa ya kuwa mnyama ni Papa wa Roman Catholic? Huo ndio ukweli soma vizuri Ufunuo 13.
Ndo ufunuo umesema hivyo au ni tafsiri ya yule mama yenu

sent from my BlackBerry keyone using JamiiForums mobile app
 
Mbona umesahau kuitaja Ottoman Caliphate iliyokuwa imedominate hadi baadhi ya mataifa ya Ulaya ikiwemo spain enzi hizo ikiitwa Andalus., Wewe umesoma kweli historia au unaperuzi kwa simu. Humu hatuwataki watu wa kugoogle.
Mijitu mingine mnaboa sana badala ya kumpongeza mpeta uzi wewe unaleta uhalo wako humu shame on you
 
najua i karibu lakini sio kwa kiasi uaminicho maana kungali kuna mambo mengi bado kutimia ndugu..



na kiukweli siogopi hiyo vita bali yatakayo wapata wateule wa Mungu ndio ya kuogofya kupita maelezo..
Mateso yepi watapata wateule mkuu? Unamaanisha wale watakao kataa kupigwa chapa ya 666??
 
Naon hiyo vita ya mwisho hujaipa nyama vizuri umetoa maelezo juu juu bado sijakusoma..
Usijali kuna mada nyingine inakuja imejaa nyama za kutosha.
 
Kuna sehemu imetaja upapa au unahisi mkuu
Biblia imetaja sifa, mojawapo ni kujifananisha na Mungu. Biblia inasema wenye hekima watamtambua huyu mnyama. Mwombe Mungu akupe hekima ukisoma tena Ufunuo 13;17,18 utamtambua maana sifa zake zimetajwa.
 
Back
Top Bottom