Baada ya vita kuu zilizopita, tujiandae kwa vita kuu ya mwisho

Biblia imetaja sifa, mojawapo ni kujifananisha na Mungu. Biblia inasema wenye hekima watamtambua huyu mnyama. Mwombe Mungu akupe hekima ukisoma tena Ufunuo 13;17,18 utamtambua maana sifa zake zimetajwa.
Kwanini usiziweke hapa kwanini uegemee upande mmoja na kutoa hukumu wakati hata wewe hujui kitu? Maana hujaweka ushahidi zaidi ya kuweka nukuu zenye tafsiri nyingi
 
Napitia tuu,, kwa majiran aiseeee,,
CC mashahidi wa yehova,,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…