Baada ya vita ya Ukraine, Nchi za Afrika zinatakiwa kupata Mateso Makali ya Kiuchumi kutoka kwa EU & USA

Da ila pro Russia mna akili!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23] last kick of dying horse. Una hasira sana mzee... Hivi kweli mtu na akili yako unaamini nchi inayopewa misaada ya silaha inaweza kuipiga nchi inayotengeneza silaha, seriously?
 
We jamaa jinga sana pesa zote zinazoibwa na viongozi was afrika huwa zinafichwa kwenye nchi za magharibi. Kwa akili yako ni bora viongozi wa afrika waibe pesa lakini wawaunge mkono NATO
 
Viongozi wa Afrika pamoja na kutoonesha kuwa upande, wapo Ulaya
 
šŸ‘šŸ‘šŸ‘ Nakufurahia mkuu kwa kuleta utofauti wa mawazo ila NAPINGANA na mawazo yako kwa kuwa kwanza Putin si dikteta,kapita kwa kura na anaendesha kwa kufuata sheria na utaposema anazikiuka baadhi basi hata Trump did na hakuwa dikteta
2. Nchi hizo hizo unazozisemea za kimagharibi zinahimiza liberty,so kwann ss tusiexercise hyo liberty na kuchagua wapi tunapaunga mkono.
3. Kwanini now anapigwa ukraine ndio tulazimike kuchukua side?
4. Uliandika haya kipindi wamagharibi wanaivamia Libya kwamba waafrika tunatakiwa ona aibu mwenzetu anavamiwa hata tamko la kulaani hakuna?
5. Umeshaanza kujiassess na kugundua umejikabidhisha mikononi mwa wamagharibi na kuamini wanahaki ya kuvunja haki za wengne na wasiwajibishwe since wao wanatoa misaada?
Andiko lako linafikilisha sana mkuu.
 
Ohh pole boss naomba TU niseme Kwamba Ukraine itaendelea kuchapwa Kama TU itaendekeza ubishi wake kwa kusukumwasukumwa na US.
Waafrika kuunga au kutounga mkono Jambo Hilo hakuzuii kichapo kutolewa
 
Naunga mkono maoni.
 
Haya manchi ya kinafiki ni ya kuyapiga spana Tu ,it's not accidental hizi nchi ni mashitholes mpaka leo . Majitu yanapata aids na handout zinazo contribute 70percent ya annual budget zao halafu yanatetea ujinga .Ni kuyapa trade imbargo na sanctions Tu yafe njaa
 
Hichi ulichoandika ni ndoto? seriously unadhani nani atatekeleza hili kwa kuandika JF?
Hii ndio wanaita maladaptive daydreaming.
 
Kesho andamaneni kushinikiza hilo
Ila UKRO NATO wataendelea kubananishwa na vifusi mpaka wanyooke haswaaaa
NATO si ipo waingie UKRAINE kuwasaidia UKRO NATO wasigeuzwe chakula ya udongo huko
RUSSIA TAIFA TEULE

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unateseka kuliko hao wanaktoa misaada!!!
Unaweza kukuta wao hata Hilo wazo halimo kichwani mwao ila Sasa Pro wa humu JF ndio mnateseka!
 
Umeongea ukweli mkuu hawa omba omba lazima waonje joto la jiwe

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Mawazo ya kimasikini kabisa,unaweza kukuta hata Donor mwenyewe hata wazo kama Hilo hata hana kichwani Kwake!Ila Pro wa bongo ndiye anakomaa anyimwe misaada na apigwe sanctions Ili watu weusi wenzake waathirike,what a shame!
 
Ohh pole boss naomba TU niseme Kwamba Ukraine itaendelea kuchapwa Kama TU itaendekeza ubishi wake kwa kusukumwasukumwa na US.
Waafrika kuunga au kutounga mkono Jambo Hilo hakuzuii kichapo kutolewa
Ila kweli aisee,Pro NATO wa bongo wanahamishia hasira za kuchapika Ukraine Kwa Africa🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…