- Thread starter
- #41
Asante kwa kushiriki.Daaah,kwaheri mkuu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante kwa kushiriki.Daaah,kwaheri mkuu!
Marekani imeshapoteza ushawishi duniani na hawana la kufanya.Vita ya Ukraine endapo itamalizika salama nchi za Afrika zinatakiwa kupata mateso makali kwa sababu zimeonekana Kumuunga mkono dikteita Putin dhidi ya uvamizi wake kwa nchi ya Ukraine.
Nchi za Afrika zikiongozwa na Senegal, Afrika kusini, Mali, Jamuhuri ya Afrika ya Kati, Nigeria, zinatakiwa kukatiwa misaada yote ya kiuchumi kuanzia elimu, afya, miundombinu, kupambana na Ugaidi, Njaa, ulinzi ili zitie adabu na iwe fundisho kwa watu wote Wanaosapoti madikteita duniani.
IMF & WB zinatakiwa kupunguza mikopo kabisa kwa nchi za Afrika ili zijitegemee au zikakopeshwe na Bank of Russia na China.
Misaada ya Vifaa tiba, madawa, teknolojia na mingineyo ya taasisi mabali mbali (USAIDS, ICAP, MDH , WORLD VISION, TASAF n.k) za kupambana na magonjwa hatari kama ukimwi, cancer, kisukari, pressure, ini, figo, Malaria inatakiwa kupunguzwa ili nchi za Afrika zipate akili.
Nchi zote zilizo piga kura ya hapana kwa Urusi, zinatakiwa kukatiwa misaada yote moja kwa moja ili zikafadhiliwe na Urusi.
Nchi zote ambazo hazikupiga kura zikiongozwa na Tanzania, zinapaswa kupunguziwa misaada kwani kutopiga kura ni kuogopa na ina maanisha wanakubaliana na Putin anachokifanya Ukraine.
Rais Ramaphosa, Rais wa Jamuhuri ya Afrika ya Kati, Rais wa Cameroon, Rais wa Senegal, Rais wa Nigeria hawatakiwi kuendelea kubaki madarakani kwa sababu wanamuunga mkono Putin.
USA & EU zinatakiwa kukata kabisa misaada kwenye nchi za Kiislamu zote duniani, kwani nchi hizo zinamuunga mkono Putin na zinajinasibu kuwa na utajiri wa mafuta, Putin atazipatia misaada.
Baada ya hatua hizi kuchukuliwa nchi zote zinazosapoti udikteita zitakuwa zimepata somo.
Bara la Afrika linatakiwa liendelee kubaki kwenye lindi la umasikini kwa sababu viongozi wa nchi za Afrika ni wanafiki na waliowengi wanapenda udikteita na hawako tayari kuleta mageuzi ya haki kwa ajili ya maendeleo ya bara la Afrika.
View attachment 2270692
Bwana Super Don, Russia tuna ambiwa ni Super Power.Russia ana pesa gani za kutoa misaada ili hali nchi yake ina watu ni masikini kama huku kwetu. Bado hapo ana vikwazo vya kufa mtu.
Kuwa primitive hakutufanyi kuvamiwa sijui kama unaelewa point yangu hapa. Wewe unaongelea kuvamiwa Kwa Ukraine na warusi basi kama ni hivyo Urusi inahaki ya Kuivamia Ukraine kwasababu hata Ukraine Bado ni primitive sana ukilinganisha na Utajiri Nchi Yao ilionao. Mbona kama unaanza Kua mnafki wakati unapinga unafkiAfrika ilikuwa primitive hizo rasilimali walikuwa hawazijuhi, kuja kwa wakoloni ndiyo wakaambiwa na kuweza kutambua thamani ya rasilimali hizo, kwahiyo hata kama wasingekuja wakoloni bado Afrika ingekuwa masikini wakutupwa maana hizo rasilimali hata matumizi yake walikuwa hawana.
Mpaka sasa Afrika imejaa rasilimali za kutosha karibia kila nchi lakini zimewashinda kutumia kwa hawana teknolojia ya kutosha ya kuwafanya wao wenyewe wazisimamie na wanufaike nazo.
Ni sawa umenunua gari alafu hujuhi kuliendesha, umelipaki tu nyumbani kwako unasubiri aje mtu anayejua kuendesha gari ndo akuendeshe.
Kwahiyo kuwa na rasilimali alafu huna teknolojia ya kutumia ili unufaike nazo, hizo mali ni useless.
Ndio watu tulionao mkuu, inabd tu aeleweshwe taratibu.Majibu atakayokupa ni mepesi mno mpaka utaishiwa nguvu ya kumjibu!
Mimi sina unafiki mimi naiunga mkono Ukraine na washirika wake wote, Nyuzi zangu zote hapa JF zinajionyesha kabisa.Kuwa primitive hakutufanyi kuvamiwa sijui kama unaelewa point yangu hapa. Wewe unaongelea kuvamiwa Kwa Ukraine na warusi basi kama ni hivyo Urusi inahaki ya Kuivamia Ukraine kwasababu hata Ukraine Bado ni primitive sana ukilinganisha na Utajiri Nchi Yao ilionao. Mbona kama unaanza Kua mnafki wakati unapinga unafki
Utapoteza nguvu zako bure,mi nimekula Kona!Ndio watu tulionao mkuu, inabd tu aeleweshwe taratibu.
Bwana MakinikiA [emoji23][emoji23]
Uliwahi kusikia mashirika ya kimaendeleo ya Russia au China, ebu tuambie zinaitwaje. Hizo ni nchi za wachoji tu hazina lolote.Nchi za Afrika zitatumia point yake ya pili kujikwamua zenyewe kama kweli sisi Africa ndo tunawafanya EU wawe hapo walipo, zikishindwa zitaelekea kwa Putin & China, lakini unafiki ukomeshwe.
Tungeanzia hapa kwanza ningeona wa maanaMarais wote wa chi za Afrika ambao wameficha fedha zao Ulaya, zinatakiwa kutahifishwa kwa sababu hizo fedha ni kodi za wananchi.
Viongozi wote wa nchi za Afrika hakuna kwenda kutibiwa Ulaya, watibiwe kwenye nchi zao.
Bwana Bome-e samahani sana kama nimekukwaza mimi sipendi kuandika insha, Majibu yangu waga ni mafupi sana.Utapoteza nguvu zako bure,mi nimekula Kona!
Mjadala unapaswa uwe wa kupeana maarifa,Sasa unakuta mtu tayari ana la Kwake kichwani na hata unapompa facts anadivert kwenye hoja na kuishia kutoa majibu ya rasharasha,ni kupoteza muda tu!
Nilishamalizana na wewe mkuu! Majibu yanaweza kuwa mafupi ila yenye mantiki! Lakini kama ni mafupi na ya kejeli/ dhihaka/ mzaha basi sio afya!Bwana Bome-e samahani sana kama nimekukwaza mimi sipendi kuandika insha, Majibu yangu waga ni mafupi sana.
Russia Super Power la kibisa litashindwa mambo madogo hayo.Uliwahi kusikia mashirika ya kimaendeleo ya Russia au China, ebu tuambie zinaitwaje. Hizo ni nchi za wachoji tu hazina lolote.
Dua la kukuVita ya Ukraine endapo itamalizika salama nchi za Afrika zinatakiwa kupata mateso makali kwa sababu zimeonekana Kumuunga mkono dikteita Putin dhidi ya uvamizi wake kwa nchi ya Ukraine.
Nchi za Afrika zikiongozwa na Senegal, Afrika kusini, Mali, Jamuhuri ya Afrika ya Kati, Nigeria, zinatakiwa kukatiwa misaada yote ya kiuchumi kuanzia elimu, afya, miundombinu, kupambana na Ugaidi, Njaa, ulinzi ili zitie adabu na iwe fundisho kwa watu wote Wanaosapoti madikteita duniani.
IMF & WB zinatakiwa kupunguza mikopo kabisa kwa nchi za Afrika ili zijitegemee au zikakopeshwe na Bank of Russia na China.
Misaada ya Vifaa tiba, madawa, teknolojia na mingineyo ya taasisi mabali mbali (USAIDS, ICAP, MDH , WORLD VISION, TASAF n.k) za kupambana na magonjwa hatari kama ukimwi, cancer, kisukari, pressure, ini, figo, Malaria inatakiwa kupunguzwa ili nchi za Afrika zipate akili.
Nchi zote zilizo piga kura ya hapana kwa Urusi, zinatakiwa kukatiwa misaada yote moja kwa moja ili zikafadhiliwe na Urusi.
Nchi zote ambazo hazikupiga kura zikiongozwa na Tanzania, zinapaswa kupunguziwa misaada kwani kutopiga kura ni kuogopa na ina maanisha wanakubaliana na Putin anachokifanya Ukraine.
Marais wote wa chi za Afrika ambao wameficha fedha zao Ulaya, zinatakiwa kutahifishwa kwa sababu hizo fedha ni kodi za wananchi.
Viongozi wote wa nchi za Afrika hakuna kwenda kutibiwa Ulaya, watibiwe kwenye nchi zao.
Wakimbizi wote kutoka Afrika kwenda Ulaya wawekewe sheria kali za kuwazuia kuvuka kwenda Ulaya kuliko na maisha mazuri, wabaki Afrika, wawe wakimbizi kwenye nchi za bara lao.
Rais Ramaphosa, Rais wa Jamuhuri ya Afrika ya Kati, Rais wa Cameroon, Rais wa Senegal, Rais wa Nigeria hawatakiwi kuendelea kubaki madarakani kwa sababu wanamuunga mkono Putin.
USA & EU zinatakiwa kukata kabisa misaada kwenye nchi za Kiislamu zote duniani, kwani nchi hizo zinamuunga mkono Putin na zinajinasibu kuwa na utajiri wa mafuta, Putin atazipatia misaada.
Baada ya hatua hizi kuchukuliwa nchi zote zinazosapoti udikteita zitakuwa zimepata somo.
Bara la Afrika linatakiwa liendelee kubaki kwenye lindi la umasikini kwa sababu viongozi wa nchi za Afrika ni wanafiki na waliowengi wanapenda udikteita na hawako tayari kuleta mageuzi ya haki kwa ajili ya maendeleo ya bara la Afrika.
View attachment 2270692
UKRAINE si anashinda hiyo mnayoiita VITA sasa kelele za niniHakuna haki yeyote, mtu anavamia nchi ya watu analipuwa na Kupiga Mabomu alafu mtu anaona ana haki ya kufanya hivyo, hicho kitu hakipo ni lazima wale wote wanaomuunga mkono Putin wawajibishwe .
Hatuwezi kuendelea kulea udikteita, dunia inahitaji Demokrasia.
UKRAINÉ inafadhili MAGAIDI kwahio acha iadabishweMimi sina unafiki mimi naiunga mkono Ukraine na washirika wake wote, Nyuzi zangu zote hapa IF zinajionyesha kabisa.
Kwa sasa ukoloni hauna nafasi tena duniani, kwahiyo Russia hana uhalali wowote wa kuvamia Ukraine na kuikalia kimabavu.
Ukraine ni nchi huru na hajawahi kuvamia nchi yeyote. Kwahiyo uhuru wake unatakiwa uheshimiwe.