Baada ya vita ya Ukraine, Nchi za Afrika zinatakiwa kupata Mateso Makali ya Kiuchumi kutoka kwa EU & USA

Baada ya vita ya Ukraine, Nchi za Afrika zinatakiwa kupata Mateso Makali ya Kiuchumi kutoka kwa EU & USA

Hakuna haki yeyote, mtu anavamia nchi ya watu analipuwa na Kupiga Mabomu alafu mtu anaona ana haki ya kufanya hivyo, hicho kitu hakipo ni lazima wale wote wanaomuunga mkono Putin wawajibishwe .

Hatuwezi kuendelea kulea udikteita, dunia inahitaji Demokrasia.
Hata maana ya demokrasia hujui.
 
Vita ya Ukraine endapo itamalizika salama nchi za Afrika zinatakiwa kupata mateso makali kwa sababu zimeonekana Kumuunga mkono dikteita Putin dhidi ya uvamizi wake kwa nchi ya Ukraine.

Nchi za Afrika zikiongozwa na Senegal, Afrika kusini, Mali, Jamuhuri ya Afrika ya Kati, Nigeria, zinatakiwa kukatiwa misaada yote ya kiuchumi kuanzia elimu, afya, miundombinu, kupambana na Ugaidi, Njaa, ulinzi ili zitie adabu na iwe fundisho kwa watu wote Wanaosapoti madikteita duniani.

IMF & WB zinatakiwa kupunguza mikopo kabisa kwa nchi za Afrika ili zijitegemee au zikakopeshwe na Bank of Russia na China.

Misaada ya Vifaa tiba, madawa, teknolojia na mingineyo ya taasisi mabali mbali (USAIDS, ICAP, MDH , WORLD VISION, TASAF n.k) za kupambana na magonjwa hatari kama ukimwi, cancer, kisukari, pressure, ini, figo, Malaria inatakiwa kupunguzwa ili nchi za Afrika zipate akili.

Nchi zote zilizo piga kura ya hapana kwa Urusi, zinatakiwa kukatiwa misaada yote moja kwa moja ili zikafadhiliwe na Urusi.

Nchi zote ambazo hazikupiga kura zikiongozwa na Tanzania, zinapaswa kupunguziwa misaada kwani kutopiga kura ni kuogopa na ina maanisha wanakubaliana na Putin anachokifanya Ukraine.

Marais wote wa chi za Afrika ambao wameficha fedha zao Ulaya, zinatakiwa kutahifishwa kwa sababu hizo fedha ni kodi za wananchi.

Viongozi wote wa nchi za Afrika hakuna kwenda kutibiwa Ulaya, watibiwe kwenye nchi zao.

Wakimbizi wote kutoka Afrika kwenda Ulaya wawekewe sheria kali za kuwazuia kuvuka kwenda Ulaya kuliko na maisha mazuri, wabaki Afrika, wawe wakimbizi kwenye nchi za bara lao.

Rais Ramaphosa, Rais wa Jamuhuri ya Afrika ya Kati, Rais wa Cameroon, Rais wa Senegal, Rais wa Nigeria hawatakiwi kuendelea kubaki madarakani kwa sababu wanamuunga mkono Putin.

USA & EU zinatakiwa kukata kabisa misaada kwenye nchi za Kiislamu zote duniani, kwani nchi hizo zinamuunga mkono Putin na zinajinasibu kuwa na utajiri wa mafuta, Putin atazipatia misaada.

Baada ya hatua hizi kuchukuliwa nchi zote zinazosapoti udikteita zitakuwa zimepata somo.

Bara la Afrika linatakiwa liendelee kubaki kwenye lindi la umasikini kwa sababu viongozi wa nchi za Afrika ni wanafiki na waliowengi wanapenda udikteita na hawako tayari kuleta mageuzi ya haki kwa ajili ya maendeleo ya bara la Afrika.

View attachment 2270692
Sawa na mikopo yao hatulipi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Vita ya Ukraine endapo itamalizika salama nchi za Afrika zinatakiwa kupata mateso makali kwa sababu zimeonekana Kumuunga mkono dikteita Putin dhidi ya uvamizi wake kwa nchi ya Ukraine.

Nchi za Afrika zikiongozwa na Senegal, Afrika kusini, Mali, Jamuhuri ya Afrika ya Kati, Nigeria, zinatakiwa kukatiwa misaada yote ya kiuchumi kuanzia elimu, afya, miundombinu, kupambana na Ugaidi, Njaa, ulinzi ili zitie adabu na iwe fundisho kwa watu wote Wanaosapoti madikteita duniani.

IMF & WB zinatakiwa kupunguza mikopo kabisa kwa nchi za Afrika ili zijitegemee au zikakopeshwe na Bank of Russia na China.

Misaada ya Vifaa tiba, madawa, teknolojia na mingineyo ya taasisi mabali mbali (USAIDS, ICAP, MDH , WORLD VISION, TASAF n.k) za kupambana na magonjwa hatari kama ukimwi, cancer, kisukari, pressure, ini, figo, Malaria inatakiwa kupunguzwa ili nchi za Afrika zipate akili.

Nchi zote zilizo piga kura ya hapana kwa Urusi, zinatakiwa kukatiwa misaada yote moja kwa moja ili zikafadhiliwe na Urusi.

Nchi zote ambazo hazikupiga kura zikiongozwa na Tanzania, zinapaswa kupunguziwa misaada kwani kutopiga kura ni kuogopa na ina maanisha wanakubaliana na Putin anachokifanya Ukraine.

Marais wote wa chi za Afrika ambao wameficha fedha zao Ulaya, zinatakiwa kutahifishwa kwa sababu hizo fedha ni kodi za wananchi.

Viongozi wote wa nchi za Afrika hakuna kwenda kutibiwa Ulaya, watibiwe kwenye nchi zao.

Wakimbizi wote kutoka Afrika kwenda Ulaya wawekewe sheria kali za kuwazuia kuvuka kwenda Ulaya kuliko na maisha mazuri, wabaki Afrika, wawe wakimbizi kwenye nchi za bara lao.

Rais Ramaphosa, Rais wa Jamuhuri ya Afrika ya Kati, Rais wa Cameroon, Rais wa Senegal, Rais wa Nigeria hawatakiwi kuendelea kubaki madarakani kwa sababu wanamuunga mkono Putin.

USA & EU zinatakiwa kukata kabisa misaada kwenye nchi za Kiislamu zote duniani, kwani nchi hizo zinamuunga mkono Putin na zinajinasibu kuwa na utajiri wa mafuta, Putin atazipatia misaada.

Baada ya hatua hizi kuchukuliwa nchi zote zinazosapoti udikteita zitakuwa zimepata somo.

Bara la Afrika linatakiwa liendelee kubaki kwenye lindi la umasikini kwa sababu viongozi wa nchi za Afrika ni wanafiki na waliowengi wanapenda udikteita na hawako tayari kuleta mageuzi ya haki kwa ajili ya maendeleo ya bara la Afrika.

View attachment 2270692
Nchi za Kiafrica hazipendi unafiki, wakati waafrica wenzako wanapewa last priority kupanda treni wakati vita ikianza Ukraine ulikua wapi?

Zelensky anakuja kutaka kuongea na viongozi wa Africa wakamsusia hao viongozi wa 4 waliohudhuria walikua hawajitambui yani mtu anakubagua mwanzoni alafu badae anakuja kutaka kuongea nini na wewe

Enzi za ukoloni waafrica wenye kupenda kujipendekeza kama wewe ndio mlikua mnauza waafrica wenzenu
20220625_093113.jpg
 
Hichi ulichoandika ni ndoto? seriously unadhani nani atatekeleza hili kwa kuandika JF?
Hii ndio wanaita maladaptive daydreaming.
Huu ujumbe wangu wa kulaani unafiki wa nchi za Afrika, sijaandika Jf tu bali umetumwa pia kwa balozi wa EU.
 
Haya manchi ya kinafiki ni ya kuyapiga spana Tu ,it's not accidental hizi nchi ni mashitholes mpaka leo . Majitu yanapata aids na handout zinazo contribute 70percent ya annual budget zao halafu yanatetea ujinga .Ni kuyapa trade imbargo na sanctions Tu yafe njaa
Yapigwe spana, tena nzito kwl kwl.
 
[emoji122][emoji122][emoji122] Nakufurahia mkuu kwa kuleta utofauti wa mawazo ila NAPINGANA na mawazo yako kwa kuwa kwanza Putin si dikteta,kapita kwa kura na anaendesha kwa kufuata sheria na utaposema anazikiuka baadhi basi hata Trump did na hakuwa dikteta
2. Nchi hizo hizo unazozisemea za kimagharibi zinahimiza liberty,so kwann ss tusiexercise hyo liberty na kuchagua wapi tunapaunga mkono.
3. Kwanini now anapigwa ukraine ndio tulazimike kuchukua side?
4. Uliandika haya kipindi wamagharibi wanaivamia Libya kwamba waafrika tunatakiwa ona aibu mwenzetu anavamiwa hata tamko la kulaani hakuna?
5. Umeshaanza kujiassess na kugundua umejikabidhisha mikononi mwa wamagharibi na kuamini wanahaki ya kuvunja haki za wengne na wasiwajibishwe since wao wanatoa misaada?
Andiko lako linafikilisha sana mkuu.
No 2, tayari nchi za Afrika, zimeonyesha kutokuwa upande wa Ukraine, Kwhy ni pro Putin, kwhy tayari liberty unayoitaka watumie wametumia na kwa kuwa ni haki yao kufanya uhamuzi, ndiyo maana hata US & EU wana haki ya msingi ya kukata misaada yao, ili nchi za Afrika zianze kufadhiliwa na Urusi.

No 3. Ukraine ni mshirika mkubwa wa US & EU, kwahiyo ni lazima washirika wote wa US &EU duniani kote waungane kumsaidia.

No 4, Libya nililaani vikali Kuuawa kwa Gadaffi pamoja na ufadhili wake kwa magaidi ila sikufurahishwa kabisa na alichotendewa ila bahati mbaya sana wakati ule nilikuwa situmii Jf.

Nazani waafrika wote mnaomuunga mkono dikteita Putin, siku hayo mashirika na taasisi za magharibi zilizowaajiri na mnalipwa mamilioni ya hella, familia na ndugu zenu wanaishi vizuri, zikikata hiyo misaada mkarudi vijijini kushika jembe akili itawakaa sawa.

Unafiki haukubaliki.
 
Nchi za Kiafrica hazipendi unafiki, wakati waafrica wenzako wanapewa last priority kupanda treni wakati vita ikianza Ukraine ulikua wapi?

Zelensky anakuja kutaka kuongea na viongozi wa Africa wakamsusia hao viongozi wa 4 waliohudhuria walikua hawajitambui yani mtu anakubagua mwanzoni alafu badae anakuja kutaka kuongea nini na wewe

Enzi za ukoloni waafrica wenye kupenda kujipendekeza kama wewe ndio mlikua mnauza waafrica wenzenuView attachment 2271337
Pamoja na hilo bado hata huko walikuwa wanaishi kwa misaada na ufadhili wa nchi za magharibi, waafrika wengi walikuwa masomoni nchini Ukraine tena kwa scholarships ambazo ni msaada kwa nchi za magharibi.


Taifa lolote indigenous people lazima wapewe priority, Nyinyi Watanzania kama mpo tayari kufa ili muharabu na muhindi wapone ilo ni tatizo kwenu, lakini kwa nchi zinazojielewa indigenous people kwanza, foreigners watafuata.

Kwhy hata kama wangekuwa Urusi, treatment kwao ingekuwa hivyo hivyo, tena kwa Putin kule wangebebwa na kutangulizwa mbele kwenye Vita.
 
Mawazo ya kimasikini kabisa,unaweza kukuta hata Donor mwenyewe hata wazo kama Hilo hata hana kichwani Kwake!Ila Pro wa bongo ndiye anakomaa anyimwe misaada na apigwe sanctions Ili watu weusi wenzake waathirike,what a shame!
Wewe ndio unamawazo ya kimasikini bado unalilia kusaidiwa unashindwa kujisaidia wenyewe .
Manchi ya kiafrika yamekaa kimalaya malaya ndio mana ayana misimamo mana yanaliwa kote kote

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Vita ya Ukraine endapo itamalizika salama nchi za Afrika zinatakiwa kupata mateso makali kwa sababu zimeonekana Kumuunga mkono dikteita Putin dhidi ya uvamizi wake kwa nchi ya Ukraine.

Nchi za Afrika zikiongozwa na Senegal, Afrika kusini, Mali, Jamuhuri ya Afrika ya Kati, Nigeria, zinatakiwa kukatiwa misaada yote ya kiuchumi kuanzia elimu, afya, miundombinu, kupambana na Ugaidi, Njaa, ulinzi ili zitie adabu na iwe fundisho kwa watu wote Wanaosapoti madikteita duniani.

IMF & WB zinatakiwa kupunguza mikopo kabisa kwa nchi za Afrika ili zijitegemee au zikakopeshwe na Bank of Russia na China.

Misaada ya Vifaa tiba, madawa, teknolojia na mingineyo ya taasisi mabali mbali (USAIDS, ICAP, MDH , WORLD VISION, TASAF n.k) za kupambana na magonjwa hatari kama ukimwi, cancer, kisukari, pressure, ini, figo, Malaria inatakiwa kupunguzwa ili nchi za Afrika zipate akili.

Nchi zote zilizo piga kura ya hapana kwa Urusi, zinatakiwa kukatiwa misaada yote moja kwa moja ili zikafadhiliwe na Urusi.

Nchi zote ambazo hazikupiga kura zikiongozwa na Tanzania, zinapaswa kupunguziwa misaada kwani kutopiga kura ni kuogopa na ina maanisha wanakubaliana na Putin anachokifanya Ukraine.

Marais wote wa chi za Afrika ambao wameficha fedha zao Ulaya, zinatakiwa kutahifishwa kwa sababu hizo fedha ni kodi za wananchi.

Viongozi wote wa nchi za Afrika hakuna kwenda kutibiwa Ulaya, watibiwe kwenye nchi zao.

Wakimbizi wote kutoka Afrika kwenda Ulaya wawekewe sheria kali za kuwazuia kuvuka kwenda Ulaya kuliko na maisha mazuri, wabaki Afrika, wawe wakimbizi kwenye nchi za bara lao.

Rais Ramaphosa, Rais wa Jamuhuri ya Afrika ya Kati, Rais wa Cameroon, Rais wa Senegal, Rais wa Nigeria hawatakiwi kuendelea kubaki madarakani kwa sababu wanamuunga mkono Putin.

USA & EU zinatakiwa kukata kabisa misaada kwenye nchi za Kiislamu zote duniani, kwani nchi hizo zinamuunga mkono Putin na zinajinasibu kuwa na utajiri wa mafuta, Putin atazipatia misaada.

Baada ya hatua hizi kuchukuliwa nchi zote zinazosapoti udikteita zitakuwa zimepata somo.

Bara la Afrika linatakiwa liendelee kubaki kwenye lindi la umasikini kwa sababu viongozi wa nchi za Afrika ni wanafiki na waliowengi wanapenda udikteita na hawako tayari kuleta mageuzi ya haki kwa ajili ya maendeleo ya bara la Afrika.

View attachment 2270692
Tulia dawa ikuingie
 
Jamaa anamadini sana. Hawa kenge maji wamejaa unafiki Wakipata shida wanakimbiria nchi za magaribi awakimbiri urusi Sema wazungu sio watu wa vinyongo tu

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Andika vizur wewe mshirika wa NATO, kimbiria ni kimbilia, magaribi ni magharibi, kiufupi lazima watusaidie kwani nani aliwaambia waje watufanye watumwa huku?lazima wale chungu yao
 
Unaongea ukiwa umekula maharage mabichi na kiporo cha viazi pimbi wewe .Jitu lenyewe umezaliwa Kwa subsidies za USAID ,mama yako mwenyewe hakuwa na pesa za kujihudumia Afya ya uzazi , pumbaf
Kajambe ulale Kipwinto wewe kiarage cha bibi yako
 
Mbona umefanunuliwa post ya 4 labda kama unakichwa kugumu cha kuelewa. Demokrasia ni kukubali kutokukubaliana ktk jicho la Demokrasia kila taifa lipo sawa kwa maamuzi yake.
Hata kuzikatia misaada nchi za Afrika si Demokrasia inatumika au wewe unaonaje Bwana Joseph1989
 
Unaongea kama nani? Naimani hujui hata umuhimu wa SADC au ECOWAS endelea kusaini makaratasi ya mkopo huko
Kama mkereketwa wa Kitendo cha nchi za Afrika Kumuunga Mkono Putin wakati wakijua uchumi wa nchi zao unategemea misaada ya USA & EU.
 
Back
Top Bottom