Baada ya vita ya Ukraine, Nchi za Afrika zinatakiwa kupata Mateso Makali ya Kiuchumi kutoka kwa EU & USA

Baada ya vita ya Ukraine, Nchi za Afrika zinatakiwa kupata Mateso Makali ya Kiuchumi kutoka kwa EU & USA

Jamaa anamadini sana. Hawa kenge maji wamejaa unafiki Wakipata shida wanakimbiria nchi za magaribi awakimbiri urusi Sema wazungu sio watu wa vinyongo tu

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Mtu akishakuwa mshabiki umwambii kitu akakuelewa. Kwa sasa hapa JF mgogoro kila anayeshabikia upande fulani basi anataka muda wote aone habari zinazomfurahisha hapa Jf, tofauti na hapo ndo matusi hayo unayaona
 
Wakate kabisa haiwezekani wawe ndumila kuwili, sijawahi kuupenda unafiki, inatakiwa ujitambulishe ni black au white basi.
Wewe ndo mnafiki wa kwanza, bisha...? Kama unafanya masikhara sawa, ila kama ulichoandika kinatokana na tafakuri kwa kadiri ya (uwezo wako) ulionao!! Basi nikupe pole tu.
 
No 2, tayari nchi za Afrika, zimeonyesha kutokuwa upande wa Ukraine, Kwhy ni pro Putin, kwhy tayari liberty unayoitaka watumie wametumia na kwa kuwa ni haki yao kufanya uhamuzi, ndiyo maana hata US & EU wana haki ya msingi ya kukata misaada yao, ili nchi za Afrika zianze kufadhiliwa na Urusi.

No 3. Ukraine ni mshirika mkubwa wa US & EU, kwahiyo ni lazima washirika wote wa US &EU duniani kote waungane kumsaidia.

No 4, Libya nililaani vikali Kuuawa kwa Gadaffi pamoja na ufadhili wake kwa magaidi ila sikufurahishwa kabisa na alichotendewa ila bahati mbaya sana wakati ule nilikuwa situmii Jf.

Nazani waafrika wote mnaomuunga mkono dikteita Putin, siku hayo mashirika na taasisi za magharibi zilizowaajiri na mnalipwa mamilioni ya hella, familia na ndugu zenu wanaishi vizuri, zikikata hiyo misaada mkarudi vijijini kushika jembe akili itawakaa sawa.

Unafiki haukubaliki.
Toka lini katika misaada yao imeambatanishwa na masharti kwamba tusapoti pumba zao? Na liberty hapo haitakuwepo as much as ukienda kinyume chao wanakukomesha.
Hyo misaada wanayotupa,je ni for free? Si wanatoa nao wananufaika tena zaidi?
Unadhani mzungu anatusaidia just for humanity hku anapata hasara? Kama anapata basi aliache bara adeal na lake am yao mabara.
Kama ss kwao mizigo kwa kutupa tu misaada kwann wanagwaya kuongezeja kwa ushawishi wa wachina Africa? Si ashukuru atue mzigo?
Ukwl ni kwamba wao unaowaita watoa misaada wanapata zaidi ya misaada yao wanayotoa ndio maana wanakomaa hapa na wakitoka tutasuffer kwa kipindi kwa ajili ya mfumo tegemezi tupo nao ila bdae tunakaa sawa ama altenatively,watafika wengne wanaozibiwa nafasi na wao kama Wachina na hao warusi na tutaendesha maisha. So kwako ni option rahisi kwa kuwa ubongo wako unaona fedha watoazo ila huoni rasilimali tupo nazo na sikulaumu maana umefundishwa ufikiri hivyo,wanasiasa wako wanawaza hivyo na wazazi wako wamekulea hivyo,wenzio ulaya wamefundishwa rasilimali kama zetu ndio msingi wa maendeleo,mpaka pale utapobadili mtazamo wako,hutakuja kujikubali wala jiheshimu kwamba u deserve better than misaada.
Asante kwa kuwa muungwana na kulaani kilichotokea Libya ila umekua mwehu kurudi na kuungana nao wadharimu hao kisa tuu wanakupa misaada na family yako inaendelea kuishi mjini hairudi kijijin,
Unafiki haukubalikii
 
Vita ya Ukraine endapo itamalizika salama nchi za Afrika zinatakiwa kupata mateso makali kwa sababu zimeonekana Kumuunga mkono dikteita Putin dhidi ya uvamizi wake kwa nchi ya Ukraine.

Nchi za Afrika zikiongozwa na Senegal, Afrika kusini, Mali, Jamuhuri ya Afrika ya Kati, Nigeria, zinatakiwa kukatiwa misaada yote ya kiuchumi kuanzia elimu, afya, miundombinu, kupambana na Ugaidi, Njaa, ulinzi ili zitie adabu na iwe fundisho kwa watu wote Wanaosapoti madikteita duniani.

IMF & WB zinatakiwa kupunguza mikopo kabisa kwa nchi za Afrika ili zijitegemee au zikakopeshwe na Bank of Russia na China.

Misaada ya Vifaa tiba, madawa, teknolojia na mingineyo ya taasisi mabali mbali (USAIDS, ICAP, MDH , WORLD VISION, TASAF n.k) za kupambana na magonjwa hatari kama ukimwi, cancer, kisukari, pressure, ini, figo, Malaria inatakiwa kupunguzwa ili nchi za Afrika zipate akili.

Nchi zote zilizo piga kura ya hapana kwa Urusi, zinatakiwa kukatiwa misaada yote moja kwa moja ili zikafadhiliwe na Urusi.

Nchi zote ambazo hazikupiga kura zikiongozwa na Tanzania, zinapaswa kupunguziwa misaada kwani kutopiga kura ni kuogopa na ina maanisha wanakubaliana na Putin anachokifanya Ukraine.

Marais wote wa chi za Afrika ambao wameficha fedha zao Ulaya, zinatakiwa kutahifishwa kwa sababu hizo fedha ni kodi za wananchi.

Viongozi wote wa nchi za Afrika hakuna kwenda kutibiwa Ulaya, watibiwe kwenye nchi zao.

Wakimbizi wote kutoka Afrika kwenda Ulaya wawekewe sheria kali za kuwazuia kuvuka kwenda Ulaya kuliko na maisha mazuri, wabaki Afrika, wawe wakimbizi kwenye nchi za bara lao.

Rais Ramaphosa, Rais wa Jamuhuri ya Afrika ya Kati, Rais wa Cameroon, Rais wa Senegal, Rais wa Nigeria hawatakiwi kuendelea kubaki madarakani kwa sababu wanamuunga mkono Putin.

USA & EU zinatakiwa kukata kabisa misaada kwenye nchi za Kiislamu zote duniani, kwani nchi hizo zinamuunga mkono Putin na zinajinasibu kuwa na utajiri wa mafuta, Putin atazipatia misaada.

Baada ya hatua hizi kuchukuliwa nchi zote zinazosapoti udikteita zitakuwa zimepata somo.

Bara la Afrika linatakiwa liendelee kubaki kwenye lindi la umasikini kwa sababu viongozi wa nchi za Afrika ni wanafiki na waliowengi wanapenda udikteita na hawako tayari kuleta mageuzi ya haki kwa ajili ya maendeleo ya bara la Afrika.

View attachment 2270692
Hakuna misaada yoyote ya maana!! Hivyo vimsaada kiduchu hutumika kama chambo tu ili hatimaye uingie kwenye mikopo ya kinyonyaji yenye riba kubwa (japo wenyewe watakuambia yenye riba nafuu ) halafu iliyoambatana na masharti magumu yanayohatarisha uhuru wa nchi.
Ni vizuri tumewaonesha kuwa enzi za kujifanya kiranja wa dunia zimeshapita!!
 
Toka lini katika misaada yao imeambatanishwa na masharti kwamba tusapoti pumba zao? Na liberty hapo haitakuwepo as much as ukienda kinyume chao wanakukomesha.
Hyo misaada wanayotupa,je ni for free? Si wanatoa nao wananufaika tena zaidi?
Unadhani mzungu anatusaidia just for humanity hku anapata hasara? Kama anapata basi aliache bara adeal na lake am yao mabara.
Kama ss kwao mizigo kwa kutupa tu misaada kwann wanagwaya kuongezeja kwa ushawishi wa wachina Africa? Si ashukuru atue mzigo?
Ukwl ni kwamba wao unaowaita watoa misaada wanapata zaidi ya misaada yao wanayotoa ndio maana wanakomaa hapa na wakitoka tutasuffer kwa kipindi kwa ajili ya mfumo tegemezi tupo nao ila bdae tunakaa sawa ama altenatively,watafika wengne wanaozibiwa nafasi na wao kama Wachina na hao warusi na tutaendesha maisha. So kwako ni option rahisi kwa kuwa ubongo wako unaona fedha watoazo ila huoni rasilimali tupo nazo na sikulaumu maana umefundishwa ufikiri hivyo,wanasiasa wako wanawaza hivyo na wazazi wako wamekulea hivyo,wenzio ulaya wamefundishwa rasilimali kama zetu ndio msingi wa maendeleo,mpaka pale utapobadili mtazamo wako,hutakuja kujikubali wala jiheshimu kwamba u deserve better than misaada.
Asante kwa kuwa muungwana na kulaani kilichotokea Libya ila umekua mwehu kurudi na kuungana nao wadharimu hao kisa tuu wanakupa misaada na family yako inaendelea kuishi mjini hairudi kijijin,
Unafiki haukubalikii
Bwana VERDAD naiunga mkono Ukraine, inatakiwa ipewe sapoti na dunia nzima, ili kumshinda nduli na dikteta Putin aliyevamia ardhi yao na anataka kuichukua kimabavu.

Hayo matusi yako mengine yaache yabaki hivyo hivyo Bwana VERDAD.
 
Kama mkereketwa wa Kitendo cha nchi za Afrika Kumuunga Mkono Putin wakati wakijua uchumi wa nchi zao unategemea misaada ya USA & EU.
Kwa nchi yetu uchumi wetu hautegemei misaada ya USA na EU. Wanapotukopesha siyo hisani bali wanafanya biashara maana tunarudisha mkopo kwa riba kubwa! There is no free lunch in Europe.
 
Vita ya Ukraine endapo itamalizika salama nchi za Afrika zinatakiwa kupata mateso makali kwa sababu zimeonekana Kumuunga mkono dikteita Putin dhidi ya uvamizi wake kwa nchi ya Ukraine.

Nchi za Afrika zikiongozwa na Senegal, Afrika kusini, Mali, Jamuhuri ya Afrika ya Kati, Nigeria, zinatakiwa kukatiwa misaada yote ya kiuchumi kuanzia elimu, afya, miundombinu, kupambana na Ugaidi, Njaa, ulinzi ili zitie adabu na iwe fundisho kwa watu wote Wanaosapoti madikteita duniani.

IMF & WB zinatakiwa kupunguza mikopo kabisa kwa nchi za Afrika ili zijitegemee au zikakopeshwe na Bank of Russia na China.

Misaada ya Vifaa tiba, madawa, teknolojia na mingineyo ya taasisi mabali mbali (USAIDS, ICAP, MDH , WORLD VISION, TASAF n.k) za kupambana na magonjwa hatari kama ukimwi, cancer, kisukari, pressure, ini, figo, Malaria inatakiwa kupunguzwa ili nchi za Afrika zipate akili.

Nchi zote zilizo piga kura ya hapana kwa Urusi, zinatakiwa kukatiwa misaada yote moja kwa moja ili zikafadhiliwe na Urusi.

Nchi zote ambazo hazikupiga kura zikiongozwa na Tanzania, zinapaswa kupunguziwa misaada kwani kutopiga kura ni kuogopa na ina maanisha wanakubaliana na Putin anachokifanya Ukraine.

Marais wote wa chi za Afrika ambao wameficha fedha zao Ulaya, zinatakiwa kutahifishwa kwa sababu hizo fedha ni kodi za wananchi.

Viongozi wote wa nchi za Afrika hakuna kwenda kutibiwa Ulaya, watibiwe kwenye nchi zao.

Wakimbizi wote kutoka Afrika kwenda Ulaya wawekewe sheria kali za kuwazuia kuvuka kwenda Ulaya kuliko na maisha mazuri, wabaki Afrika, wawe wakimbizi kwenye nchi za bara lao.

Rais Ramaphosa, Rais wa Jamuhuri ya Afrika ya Kati, Rais wa Cameroon, Rais wa Senegal, Rais wa Nigeria hawatakiwi kuendelea kubaki madarakani kwa sababu wanamuunga mkono Putin.

USA & EU zinatakiwa kukata kabisa misaada kwenye nchi za Kiislamu zote duniani, kwani nchi hizo zinamuunga mkono Putin na zinajinasibu kuwa na utajiri wa mafuta, Putin atazipatia misaada.

Baada ya hatua hizi kuchukuliwa nchi zote zinazosapoti udikteita zitakuwa zimepata somo.

Bara la Afrika linatakiwa liendelee kubaki kwenye lindi la umasikini kwa sababu viongozi wa nchi za Afrika ni wanafiki na waliowengi wanapenda udikteita na hawako tayari kuleta mageuzi ya haki kwa ajili ya maendeleo ya bara la Afrika.

View attachment 2270692
Sadly aliyeandika huu uzi ni Mwafrika.

Afrika inapaswa kuvumbuliwa upya. Waliopo washauza akili na nafsi zao
 
Bwana VERDAD naiunga mkono Ukraine, inatakiwa ipewe sapoti na dunia nzima, ili kumshinda nduli na dikteta Putin aliyevamia ardhi yao na anataka kuichukua kimabavu.

Hayo matusi yako mengine yaache yabaki hivyo hivyo Bwana VERDAD.
🤣🤣🤣 Sawa bhana naona umeamua kuonyesha unamahaba tuu na si sababu,me naheshimu hilo, ila sijakutukana me.
Ila kwanini wamuita Putin dikteta?
 
Sasa unahubiri Nini hapo?Huoni kuwa unajichanganya?Tumia akili Yako vema!
Unapinga udikteta halafu unashauri hatua Kali zichukuliwe dhidi ya nchi ambazo zilitumia haki Yao kidemokrasia kupiga kura kwenye Baraza la umoja wa mataifa!Kama kura zilipaswa kuwa za aina Moja, msingi wa kura ni Nini? Yaani unipe karatasi nipige kura nitakavyo halafu baadaye uje uniwajibishe Kwa aina ya kura nitakayopiga? Una akili kweli? Si ndio udikteta Huo huo unaojaribu kuukemea?
Tumia Kichwa chako vizuri, Kichwa sio Kwa ajili ya kubebwa macho na masikio Yako tu!
Ukimsoma vyema huyo jamaa utagundua ametema kilio cha wazee wa flag ya upinde
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sawa bhana naona umeamua kuonyesha unamahaba tuu na si sababu,me naheshimu hilo, ila sijakutukana me.
Ila kwanini wamuita Putin dikteta?
Amevamia nchi ya Watu kimabavu, hana haki wala mamlaka ya kukalia ardhi ya Ukraine.
 
Sadly aliyeandika huu uzi ni Mwafrika.

Afrika inapaswa kuvumbuliwa upya. Waliopo washauza akili na nafsi zao
Bwana Msanii, ni kwa nini umehamua kujiita Msanii hapa Jf.
 
Ndiyo ila hukufahamu wala kujua kama niliwaita hivyo Bwana VERDAD, kwahiyo shukhru kwa Putin umejua.
👏👏👏 Sawa mkuu,ila tu niseme, nachukia sana ukandamizaji na double standard na Putin anamchalenji mkuu wa hyo kitu (US na allies wake) so nampenda nd may he live long na wangekuwapo wengne km yy,labda now amani ingekuwepo kutokana na heshima ya US kwa wenzie
 
Vita ya Ukraine endapo itamalizika salama nchi za Afrika zinatakiwa kupata mateso makali kwa sababu zimeonekana Kumuunga mkono dikteita Putin dhidi ya uvamizi wake kwa nchi ya Ukraine.

Nchi za Afrika zikiongozwa na Senegal, Afrika kusini, Mali, Jamuhuri ya Afrika ya Kati, Nigeria, zinatakiwa kukatiwa misaada yote ya kiuchumi kuanzia elimu, afya, miundombinu, kupambana na Ugaidi, Njaa, ulinzi ili zitie adabu na iwe fundisho kwa watu wote Wanaosapoti madikteita duniani.

IMF & WB zinatakiwa kupunguza mikopo kabisa kwa nchi za Afrika ili zijitegemee au zikakopeshwe na Bank of Russia na China.

Misaada ya Vifaa tiba, madawa, teknolojia na mingineyo ya taasisi mabali mbali (USAIDS, ICAP, MDH , WORLD VISION, TASAF n.k) za kupambana na magonjwa hatari kama ukimwi, cancer, kisukari, pressure, ini, figo, Malaria inatakiwa kupunguzwa ili nchi za Afrika zipate akili.

Nchi zote zilizo piga kura ya hapana kwa Urusi, zinatakiwa kukatiwa misaada yote moja kwa moja ili zikafadhiliwe na Urusi.

Nchi zote ambazo hazikupiga kura zikiongozwa na Tanzania, zinapaswa kupunguziwa misaada kwani kutopiga kura ni kuogopa na ina maanisha wanakubaliana na Putin anachokifanya Ukraine.

Marais wote wa chi za Afrika ambao wameficha fedha zao Ulaya, zinatakiwa kutahifishwa kwa sababu hizo fedha ni kodi za wananchi.

Viongozi wote wa nchi za Afrika hakuna kwenda kutibiwa Ulaya, watibiwe kwenye nchi zao.

Wakimbizi wote kutoka Afrika kwenda Ulaya wawekewe sheria kali za kuwazuia kuvuka kwenda Ulaya kuliko na maisha mazuri, wabaki Afrika, wawe wakimbizi kwenye nchi za bara lao.

Rais Ramaphosa, Rais wa Jamuhuri ya Afrika ya Kati, Rais wa Cameroon, Rais wa Senegal, Rais wa Nigeria hawatakiwi kuendelea kubaki madarakani kwa sababu wanamuunga mkono Putin.

USA & EU zinatakiwa kukata kabisa misaada kwenye nchi za Kiislamu zote duniani, kwani nchi hizo zinamuunga mkono Putin na zinajinasibu kuwa na utajiri wa mafuta, Putin atazipatia misaada.

Baada ya hatua hizi kuchukuliwa nchi zote zinazosapoti udikteita zitakuwa zimepata somo.

Bara la Afrika linatakiwa liendelee kubaki kwenye lindi la umasikini kwa sababu viongozi wa nchi za Afrika ni wanafiki na waliowengi wanapenda udikteita na hawako tayari kuleta mageuzi ya haki kwa ajili ya maendeleo ya bara la Afrika.

View attachment 2270692
Waafrica wapumbavu huamini sana ktk misaada/kusaidiwa ,

Andiko refu limeandikwa na mwafrica mpumbavu anaeuishi upumbavu hata kuukubali utumwa kwa upumbavu wake
 
Back
Top Bottom