Baada ya Vita ya Urusi na Ukraine, wanaotumiwa na Wagner watarudishwa Afrika kuwa Mamluki

Baada ya Vita ya Urusi na Ukraine, wanaotumiwa na Wagner watarudishwa Afrika kuwa Mamluki

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Wanaojua Mamluki wanavyotengenezwa watajua namaanisha nini.

Mtu alikuwa kifungoni na amekata tamaa ya kutoka, ghafla anaambiwa kuwa akipigana upande wa Urusi kifungo kitapunguzwa kwa nusu na akitoka atapewa hela.

Watu wa aina hii huitwa "Sleeper Cells" pale wanapataka kutumiwa kwa matendo maovu hasa ugaidi.

Afrika tujue baada ya vita hii kutakuwa na vita nyingi sana Afrika.
 
. Ni kama vile harakati za uhuru katika baadhi ya nchi zilivyoanzishwa na wanajeshi waliorudi kutoka WWII
Huu mfano ni mzuri sana. Mtu alifungwa kwa uhalifu, halafu unakwenda kumfundisha mbinu za kivita, na vita ikiisha mkataba ni kurudishwa kwao, unadhani nini kitatokea!!

Huu uhalifu unafanywa na Urusi kwa kushirikiana na Wagner. Yaani mfungwa yupo kwenye gereza linalosimamiwa na serikali ya Urusi, kwa ivo Wagner hawajui kama kuna mtu kafungwa. Serikalil ya Urusi inawapa Wagner huyo mhalifu ili awe mamluki wao. Wagner hawafundishi maadili wanafundisha kuua tu kwa faida ya Urusi.

Baada ya vita ndipo watu wataelewa madhara ya kuwa na mamluki toka Afrika kwenye hiyo vita!!
 
Unazungumzia mambo ya zama za kati za mawe,
Kwani wapo wangapi? na wakirudi watafanya nini? Mbona mnaupofu sana!!
 
Wanaojua Mamluki wanavyotengenezwa watajua namaanisha nini.

Mtu alikuwa kifungoni na amekata tamaa ya kutoka, ghafla anaambiwa kuwa akipigana upande wa Urusi kifungo kitapunguzwa kwa nusu na akitoka atapewa hela.

Watu wa aina hii huitwa "Sleeper Cells" pale wanapataka kutumiwa kwa matendo maovu hasa ugaidi.

Afrika tujue baada ya vita hii kutakuwa na vita nyingi sana Afrika.
Mamluki wamekuwepo barani Afrika kwa miaka mingi tu.

Vikundi kama vya aina marehemu Savimbi, Joseph Kony na M23 na vingine hali ya usalama ikiisha waweza kuchukuliwa kama mamluki na kulipwa dola ndogo kuliko hao wa Wagner.

Sema hao wa Wagner wana utaalam wa vifaa vya kisasa zaidi vya kivita.

Hao watakuwa na uwezo wa kuanzisha makampuni ya ulinzi barani Afrika na kuwa matawi ya Wagner kulinda sehemu muhimu kama migodi na kadhalika.

Ila umeweka angalizo muhimu kwa vyombo vya usalama kuhakikisha wafuatilia hao wanorudi.
 
Urusi ni mafundi wa kutengeneza mamluki. Kwani vita ikiisha waliokuwa wafungwa watapewa Uraia wa Urusi?
Vipi wale wanaotengenezwa mashariki ya kati na wamarekani....... Wa urusi wakija afrika watapigana sehemu wanapogongana maslahi na mmarekani..,, jamaa wanaweza kuja wakasema tutakufanyia kazi yako ila malipo tupe mgodi wa karibu hapo wanajilipa
 
Wanaojua Mamluki wanavyotengenezwa watajua namaanisha nini.

Mtu alikuwa kifungoni na amekata tamaa ya kutoka, ghafla anaambiwa kuwa akipigana upande wa Urusi kifungo kitapunguzwa kwa nusu na akitoka atapewa hela.

Watu wa aina hii huitwa "Sleeper Cells" pale wanapataka kutumiwa kwa matendo maovu hasa ugaidi.

Afrika tujue baada ya vita hii kutakuwa na vita nyingi sana Afrika.
We jamaa ni kiazi
 
Back
Top Bottom