Baada ya Vyombo vya Kikatiba kushindwa kusimama kwenye nafasi zao hatimaye TLS yafanikiwa kuwa chombo pekee kinachosimamia misingi ya Kikatiba

Baada ya Vyombo vya Kikatiba kushindwa kusimama kwenye nafasi zao hatimaye TLS yafanikiwa kuwa chombo pekee kinachosimamia misingi ya Kikatiba

Kikwete alikuwa mwana demokrasia kweli ila tabia za kutoheshimu Katiba na mifumo ya Katiba zilianza kuota mizizi kipindi chake.

mbona kama ni contradictory, kama alikuwa mwana demojrasia iweje tena awe na “tabia za kutokuheshimu katiba”?
 
mbona kama ni contradictory, kama alikuwa mwana demojrasia iweje tena awe na “tabia za kutokuheshimu katiba”?
Sahihi kabisa. Ila kuna maeneo hakufuata misingi ya Katiba
 
Mahakama ilijizika pale walipokubali kuwekewa Sheria kuruhusu Wakuu wa Wilaya na Wakuu wa Mikoa kuwa sehemu ya kamati ya nidhamu kwa Mahakimu. Palee Mahakama ndo walijipiga risasi rasmi.
Mhimili mwingine umejichimbia zaidi.
 
Watu watajiuliza kwa nini sasa TLS inakuwa maarufu sana?

Jibu ni moja tu! Umaarufu wa TLS unatokana na vyombo vya kikatiba kushindwa kusimama katika nafasi yake hivyo kupelekea TLS kama watu wanaojua umuhimu na unyeti wa katiba zaidi kuwa na sauti hivyo kupelekea wananchi kuanza kuwaona kuwa wao ndo sehemu ya muhimu zaidi katika kusimamia utawala wa Sheria.

Duniani kote. KATIBA inalindwa na Mahakama , Jeshi, pamoja na vyombo au taasisi zilizoanzishwa na Katiba yenyewe hasa Taasisi zinazosimamia msingi mkuu wa CHECKS AND BALANCE.

Kwa bahati mbaya sana. Huko nyuma, tuliwahi kuwa na mhimili imara sana wa Mahakama. Mwl. Nyerere pamoja na ubabe wake wote, chombo pekee kilichoweza kumzuia kufanya mambo ya hovyo kilikuwa Mahakama.

Hili liliendelea hadi kipindi cha Mwinyi na Mkapa!

Kwa bahati mbaya katika awamu ya 4 na 5 ndo Tanzania ilianza kuona chombo hiki pamoja na Taasisi zingine zikimezwa na Wanasiasa. Hili lilianza kuleta hofu kubwa sana kwa mustakabali wa Taifa letu hasa katika eneo la Utawala Bora.

Kitendo cha TLS kuanza kuwa vocal wakitetea misingi ya Katiba yetu hii iliyo na mapungufu bado kilianza kufanya chama hiki kuanza kuonekana kama tegemeo pekee lililobaki kwa Watanzania.

Hongereni sana TLS. Kazi iliyobaki ni kuweka nyama zaidi kwenye Katiba yetu hii ili tupate Katiba Bora zaidi itakayosimamia vizuri kwa kwa ukamilifu misingi hii ya utawala wa Sheria na utawala Bora.

Najua kwenye hili vyombo vya ulinzi vitajifunza sana kuhakikisha tunapata Katiba Bora ili kuwafunga speed governor wanasiasa!

Kuna muda Wanasiasa walijiona kuwa wamiliki wa hii nchi na huu ndo wakati wa kufanya mifumo iliyowekwa na Katiba kuwa na nguvu kuliko Wanasiasa!

Lord Denning,
Italy
Inashangaza kuona lichama likubwa kama chama cha walimu pamoja na ukubwa wote huo eti wanateswa na kikokotoo, chama cha wafanyakazi, butuu, tumebaki na TLS, hongera sana TLS
 
Inashangaza kuona lichama likubwa kama chama cha walimu pamoja na ukubwa wote huo eti wanateswa na kikokotoo, chama cha wafanyakazi, butuu, tumebaki na TLS, hongera sana TLS
TLS wanasimama nafasi waliyotakiwa kusimama Mahakama, Bunge, Tume ya Maadili, Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora.

Hivi vyombo vya Kikatiba vingesimama katika nafasi yake leo wala TLS isingekuwa maarufu!
 
Watu watajiuliza kwa nini sasa TLS inakuwa maarufu sana?

Jibu ni moja tu! Umaarufu wa TLS unatokana na vyombo vya kikatiba kushindwa kusimama katika nafasi yake hivyo kupelekea TLS kama watu wanaojua umuhimu na unyeti wa katiba zaidi kuwa na sauti hivyo kupelekea wananchi kuanza kuwaona kuwa wao ndo sehemu ya muhimu zaidi katika kusimamia utawala wa Sheria.

Duniani kote. KATIBA inalindwa na Mahakama , Jeshi, pamoja na vyombo au taasisi zilizoanzishwa na Katiba yenyewe hasa Taasisi zinazosimamia msingi mkuu wa CHECKS AND BALANCE.

Kwa bahati mbaya sana. Huko nyuma, tuliwahi kuwa na mhimili imara sana wa Mahakama. Mwl. Nyerere pamoja na ubabe wake wote, chombo pekee kilichoweza kumzuia kufanya mambo ya hovyo kilikuwa Mahakama.

Hili liliendelea hadi kipindi cha Mwinyi na Mkapa!

Kwa bahati mbaya katika awamu ya 4 na 5 ndo Tanzania ilianza kuona chombo hiki pamoja na Taasisi zingine zikimezwa na Wanasiasa. Hili lilianza kuleta hofu kubwa sana kwa mustakabali wa Taifa letu hasa katika eneo la Utawala Bora.

Kitendo cha TLS kuanza kuwa vocal wakitetea misingi ya Katiba yetu hii iliyo na mapungufu bado kilianza kufanya chama hiki kuanza kuonekana kama tegemeo pekee lililobaki kwa Watanzania.

Hongereni sana TLS. Kazi iliyobaki ni kuweka nyama zaidi kwenye Katiba yetu hii ili tupate Katiba Bora zaidi itakayosimamia vizuri kwa kwa ukamilifu misingi hii ya utawala wa Sheria na utawala Bora.

Najua kwenye hili vyombo vya ulinzi vitajifunza sana kuhakikisha tunapata Katiba Bora ili kuwafunga speed governor wanasiasa!

Kuna muda Wanasiasa walijiona kuwa wamiliki wa hii nchi na huu ndo wakati wa kufanya mifumo iliyowekwa na Katiba kuwa na nguvu kuliko Wanasiasa!

Lord Denning,
Italy
Nakuunga mkono mwana CCM katika kudai HAKI na Katiba mpya.

Katiba mpya ni hitaji la wote bila kujali vyama, dini, kabila kipato nk nk.

Ubarikiwe
 
Nakuunga mkono mwana CCM katika kudai HAKI na Katiba mpya.

Katiba mpya ni hitaji la wote bila kujali vyama, dini, kabila kipato nk nk.

Ubarikiwe
Bado tupo wana CCM ambao ni sober. Tunaangalia maslahi ya nchi na wananchi. Sio maslahi ya kikundi cha watu wachache!
 
Watu watajiuliza kwa nini sasa TLS inakuwa maarufu sana?

Jibu ni moja tu! Umaarufu wa TLS unatokana na vyombo vya kikatiba kushindwa kusimama katika nafasi yake hivyo kupelekea TLS kama watu wanaojua umuhimu na unyeti wa katiba zaidi kuwa na sauti hivyo kupelekea wananchi kuanza kuwaona kuwa wao ndo sehemu ya muhimu zaidi katika kusimamia utawala wa Sheria.

Duniani kote. KATIBA inalindwa na Mahakama , Jeshi, pamoja na vyombo au taasisi zilizoanzishwa na Katiba yenyewe hasa Taasisi zinazosimamia msingi mkuu wa CHECKS AND BALANCE.

Kwa bahati mbaya sana. Huko nyuma, tuliwahi kuwa na mhimili imara sana wa Mahakama. Mwl. Nyerere pamoja na ubabe wake wote, chombo pekee kilichoweza kumzuia kufanya mambo ya hovyo kilikuwa Mahakama.

Hili liliendelea hadi kipindi cha Mwinyi na Mkapa!

Kwa bahati mbaya katika awamu ya 4 na 5 ndo Tanzania ilianza kuona chombo hiki pamoja na Taasisi zingine zikimezwa na Wanasiasa. Hili lilianza kuleta hofu kubwa sana kwa mustakabali wa Taifa letu hasa katika eneo la Utawala Bora.

Kitendo cha TLS kuanza kuwa vocal wakitetea misingi ya Katiba yetu hii iliyo na mapungufu bado kilianza kufanya chama hiki kuanza kuonekana kama tegemeo pekee lililobaki kwa Watanzania.

Hongereni sana TLS. Kazi iliyobaki ni kuweka nyama zaidi kwenye Katiba yetu hii ili tupate Katiba Bora zaidi itakayosimamia vizuri kwa kwa ukamilifu misingi hii ya utawala wa Sheria na utawala Bora.

Najua kwenye hili vyombo vya ulinzi vitajifunza sana kuhakikisha tunapata Katiba Bora ili kuwafunga speed governor wanasiasa!

Kuna muda Wanasiasa walijiona kuwa wamiliki wa hii nchi na huu ndo wakati wa kufanya mifumo iliyowekwa na Katiba kuwa na nguvu kuliko Wanasiasa!

Lord Denning,
Italy
Well said
 
Watu watajiuliza kwa nini sasa TLS inakuwa maarufu sana?

Jibu ni moja tu! Umaarufu wa TLS unatokana na vyombo vya kikatiba kushindwa kusimama katika nafasi yake hivyo kupelekea TLS kama watu wanaojua umuhimu na unyeti wa katiba zaidi kuwa na sauti hivyo kupelekea wananchi kuanza kuwaona kuwa wao ndo sehemu ya muhimu zaidi katika kusimamia utawala wa Sheria.

Duniani kote. KATIBA inalindwa na Mahakama , Jeshi, pamoja na vyombo au taasisi zilizoanzishwa na Katiba yenyewe hasa Taasisi zinazosimamia msingi mkuu wa CHECKS AND BALANCE.

Kwa bahati mbaya sana. Huko nyuma, tuliwahi kuwa na mhimili imara sana wa Mahakama. Mwl. Nyerere pamoja na ubabe wake wote, chombo pekee kilichoweza kumzuia kufanya mambo ya hovyo kilikuwa Mahakama.

Hili liliendelea hadi kipindi cha Mwinyi na Mkapa!

Kwa bahati mbaya katika awamu ya 4 na 5 ndo Tanzania ilianza kuona chombo hiki pamoja na Taasisi zingine zikimezwa na Wanasiasa. Hili lilianza kuleta hofu kubwa sana kwa mustakabali wa Taifa letu hasa katika eneo la Utawala Bora.

Kitendo cha TLS kuanza kuwa vocal wakitetea misingi ya Katiba yetu hii iliyo na mapungufu bado kilianza kufanya chama hiki kuanza kuonekana kama tegemeo pekee lililobaki kwa Watanzania.

Hongereni sana TLS. Kazi iliyobaki ni kuweka nyama zaidi kwenye Katiba yetu hii ili tupate Katiba Bora zaidi itakayosimamia vizuri kwa kwa ukamilifu misingi hii ya utawala wa Sheria na utawala Bora.

Najua kwenye hili vyombo vya ulinzi vitajifunza sana kuhakikisha tunapata Katiba Bora ili kuwafunga speed governor wanasiasa!

Kuna muda Wanasiasa walijiona kuwa wamiliki wa hii nchi na huu ndo wakati wa kufanya mifumo iliyowekwa na Katiba kuwa na nguvu kuliko Wanasiasa!

Lord Denning,
Italy
Baada ya ccm kuanza kupoteza ushawishi kwa umma, ndio tulianza kuona kwa uwazi hivyo vyombo vya kikatiba kuacha kutenda kwa mujibu wa katiba, na kuanza kufanya kazi ya kuhakikisha ccm inabaki madarakani kwa shuruti.

Na kwa jinsi ilivyo sitegemei kuona hivyo vyombo vya kikatiba vikirejea katika misingi yake iwapo ccm itaendelea kubaki madarakani. Bila machafuko ama mapinduzi ya kijeshi, tusitegemee hivyo vyombo kufanya kwa weledi tena.
 
Hua ni suala la muda tu, CCM Kwa sasa wanaambiwa tutengenezeni katiba mpya wanajifanya hawasikii, wanajua wanalindwa na vyombo vya dola, hasa iko siku wananchi wanachoka na vyombo vya dola vinachoka unakuta ccm inatoka Kwa aibu kubwa, na katiba itayoletwa itawafuta kabisa, ukiacha hii ambayo wanaweza kua straight kwenye mambo ya uchaguzi na tume huru, ili kuondoa aibu za maneno kama ya akina Nape tena ya kukejeli demokrasia hadharani,
Hadi itokee uchaguzi wananchi wanasimamia matokeo ya uchaguzi ndio watapata akili. Chama kile kilishajua kwa uchaguzi wa haki hawashindi.
 
Baada ya ccm kuanza kupoteza ushawishi kwa umma, ndio tulianza kuona kwa uwazi hivyo vyombo vya kikatiba kuacha kutenda kwa mujibu wa katiba, na kuanza kufanya kazi ya kuhakikisha ccm inabaki madarakani kwa shuruti.

Na kwa jinsi ilivyo sitegemei kuona hivyo vyombo vya kikatiba vikirejea katika misingi yake iwapo ccm itaendelea kubaki madarakani. Bila machafuko ama mapinduzi ya kijeshi, tusitegemee hivyo vyombo kufanya kwa weledi tena.
Chama changu CCM kinakosea sana kuangalia kwanza maslahi yake badala ya maslahi ya Taifa. Na wasipodhibitiwa na vyombo vya dola wanaweza kuja kulipasua hili taifa huko mbeleni!
 
Back
Top Bottom