Kijakazi
JF-Expert Member
- Jun 26, 2007
- 7,093
- 10,469
Kikwete alikuwa mwana demokrasia kweli ila tabia za kutoheshimu Katiba na mifumo ya Katiba zilianza kuota mizizi kipindi chake.
mbona kama ni contradictory, kama alikuwa mwana demojrasia iweje tena awe na “tabia za kutokuheshimu katiba”?