Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo Ukweli WenyeweWalimu wakishapata hiyo t-shirt huwa wanasahau kila kitu hadi Christmas ifike
Niliisoma hiyo form 1, ndiyo wanafundisha hayo.Sijui km hilo soma lipo bado kwa sekondari siku hizi.Siijui kabisa😀, mama yangu anaijuia vyema..ni yeye alikuwa ananiambia nisivae nguo za mistari ya hivyo inazidi kunifanya niondane mnene. Na ni kweli ipo hivyo
hii nchi ubadhirifu na ufisadi hauwezi kuisha kabisa.....hiyo ni deal la mtu kila mwaka.....chokoza usikie moto wake......na hao walimu vile wanazigombania wakipewa...utafikiria vitoto vya chekechea......anyway ni pesa zao...Wanachezea hela za walimu tu
Am not sureNiliisoma hiyo form 1, ndiyo wanafundisha hayo.Sijui km hilo soma lipo bado kwa sekondari siku hizi.
Kumbe wewe ni mwalimu!!Hiyo mistari ilitakiwa kushuka chini. Itatupanua zaidi sisi vibonge. Waishushe ielekee kwa chini.
Gvt school ilikuwa lazima optional Cookery, needlework, au addition maths. Enzi zetu hizo.Am not sure
Hizi fulana ni bure?Hiyo mistari ilitakiwa kushuka chini. Itatupanua zaidi sisi vibonge. Waishushe ielekee kwa chini.
Haya nakusikiliza now...kwanini ulikuwa unachelewa?Kumbe wewe ni mwalimu!!
Nawachukia sana walimu
Sababu ni pale waliponichapa kisa kuchelewa shule bila kunisikiliza .
Nilikuwa nachelewa kwasababuHaya nakusikiliza now...kwanini ulikuwa unachelewa?
Mi hata sijui, ila naamini hakuna kitu cha bureHizi fulana ni bure?
Kwanini wazazi wako hawakuja shuleni kutueleza hayo ili tujue jinsi ya kukusaidia?Nilikuwa nachelewa kwasababu
1.Nyumbani mbali
2. Njia ni kuchochoro, ukipita alfajiri sana unaweza kutana na wanyama wakali
Hiyo ya juu mbona zipo nyingi sana mitaani machinga wanazitembeza tofauti ni labelHii ni tshet mpya inayotolewa na Chama cha Walimu Tanzania (CWT) baada ya ile ya awali kupingwa na wanachama na wadau mbalimbali.
Tshet ya hapo mwanzo ilikuwa ni hii hapa
Aisee... kumbe.Hiyo mistari ilitakiwa kushuka chini. Itatupanua zaidi sisi vibonge. Waishushe ielekee kwa chini.
Ukiwa kibonge na mfupi afu uvae dera jekundu watu wanaweza kukufananisha na mtungi wa gas ya oryxNdio, ukiwa kibonge ukavaa nguo mistari ya kutanuka unatanuka zaidi.
Hapa nimevaa Dera jekundu, imagineAisee... kumbe.
Ukiwa kibonge na mfupi afu uvae dera jekundu watu wanaweza kukufananisha na mtungi wa gas ya oryx