Kimpyempye
JF-Expert Member
- Dec 11, 2018
- 723
- 1,157
Walimu nao huwa wanaona tshirt ndiyo diiiiili!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂 CWT printers sio?CHAMA CHA WATENGENEZA TISHETI
Kwani mishahara na Tisheti Nini kinatakiwa kibadilishwe? Nashangaa kuona walimu wanapambania kubadilishiwa tisheti za Mei mosi huku mishahara yao haibadiliki.[emoji23][emoji23][emoji23] CWT printers sio?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]eti wanazigombania, we unahisi watagombania Nini zaidi ya Tisheti!!!hii nchi ubadhirifu na ufisadi hauwezi kuisha kabisa.....hiyo ni deal la mtu kila mwaka.....chokoza usikie moto wake......na hao walimu vile wanazigombania wakipewa...utafikiria vitoto vya chekechea......anyway ni pesa zao...
😎 👍ndio walimu wetu hao.........hawana cha zaidi....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]eti wanazigombania, we unahisi watagombania Nini zaidi ya Tisheti!!!
Ni majizi tu haya... 2% ya makato inamsaidiaje mwalimu. Walishirikiana na waovu serikalini kuhakikisha chakamwata hakifanyi kazi mikoani ili waendelee kunyonya mshahara mdogo wa walimu na kujinenepesha.Hizi huwa ni za nn?
Kama hawawezi kutetea mwajiri kuheshimu mikataba ya ajira.
Ikiwemo annual increment, promotion na mafao?
Bora chama kife sio kila mwaka kuleta tshwt na maneno tu.
MweeeHiyo mistari ilitakiwa kushuka chini. Itatupanua zaidi sisi vibonge. Waishushe ielekee kwa chini.
Kama wewe chibonge jaribu kuvaa t-shirt/shirt ya mistari iliyosimama, utaona unaonekana slim kidogoMweee
nchi hii kama kuna watu wamekula kiapo cha uaminifu na serikali ni walimu yaani wana discipline ya uoga ya hali juu kwa serikaliNi wasikivu