Baada ya wadau kuilalamikia CWT kuiba fulana za TLP, sasa waja na muundo mwingine

[emoji23][emoji23][emoji23] CWT printers sio?
Kwani mishahara na Tisheti Nini kinatakiwa kibadilishwe? Nashangaa kuona walimu wanapambania kubadilishiwa tisheti za Mei mosi huku mishahara yao haibadiliki.
Tisheti zinalipa kumbe[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
 
hii nchi ubadhirifu na ufisadi hauwezi kuisha kabisa.....hiyo ni deal la mtu kila mwaka.....chokoza usikie moto wake......na hao walimu vile wanazigombania wakipewa...utafikiria vitoto vya chekechea......anyway ni pesa zao...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]eti wanazigombania, we unahisi watagombania Nini zaidi ya Tisheti!!!
 
Hizi huwa ni za nn?

Kama hawawezi kutetea mwajiri kuheshimu mikataba ya ajira.

Ikiwemo annual increment, promotion na mafao?

Bora chama kife sio kila mwaka kuleta tshwt na maneno tu.
Ni majizi tu haya... 2% ya makato inamsaidiaje mwalimu. Walishirikiana na waovu serikalini kuhakikisha chakamwata hakifanyi kazi mikoani ili waendelee kunyonya mshahara mdogo wa walimu na kujinenepesha.
 
They are not creative,why is looking easily?thus why we call they are thief in deed.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…