pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,422
- 6,108
Mamlaka zisipoliangalia hili kwa sasa basi baadae itakuja kuwa ngumu kama ilivyokuwa kwa wamachinga.
Mitaa husika hasa ni mtaa wa agrey, masasi, magila, narun'gombe na tandamti, yote ni kati ya mtaa wa ndanda na muheza, hapo kuna kero ya kufa mtu kwa wakazi wa maeneo hayo na hata wapita njia, ukitilia maanani hizo ndio njia kubwa kwa sasa ili kuipata barabara ya uhuru kwa waendao ilala na buguruni hadi tabata na viunga vyake.
Mkuu wa wilaya tembelea hayo maeneo ujionee mwenyewe kwani diwani ameshindwa katika hili, viofisi vya usafirishaji vimewekwa hadi barabarani.
Natabiri kero hii itashinda hata wamachinga kwa uharibifu wa barabara ambazo zote ni mpya ila hazina muda kwani milori yenyewe ni ile misemitrela.
Kila mdau mwenye mapenzi na inchi alisemee hili huku ni kufuja fedha bure sio kwa uharibifu huu wa barabara
Mitaa husika hasa ni mtaa wa agrey, masasi, magila, narun'gombe na tandamti, yote ni kati ya mtaa wa ndanda na muheza, hapo kuna kero ya kufa mtu kwa wakazi wa maeneo hayo na hata wapita njia, ukitilia maanani hizo ndio njia kubwa kwa sasa ili kuipata barabara ya uhuru kwa waendao ilala na buguruni hadi tabata na viunga vyake.
Mkuu wa wilaya tembelea hayo maeneo ujionee mwenyewe kwani diwani ameshindwa katika hili, viofisi vya usafirishaji vimewekwa hadi barabarani.
Natabiri kero hii itashinda hata wamachinga kwa uharibifu wa barabara ambazo zote ni mpya ila hazina muda kwani milori yenyewe ni ile misemitrela.
Kila mdau mwenye mapenzi na inchi alisemee hili huku ni kufuja fedha bure sio kwa uharibifu huu wa barabara