Hii issue siyo ya kudharau, naamini iko siku madhara makubwa yatatokea baina ya malori na either waendesha gari ndogo au watumiaji wengine wa barabara, haiwezekani mtu afunge njia akipakia mizigo kisa analipia posho au rushwa ya 20,000 au 50,000 sijui kima sahihi hjku wengine wakuteseka barabarani