MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Na wanaume wao watakuwa wa darWanawake wanne, kwa siku! Hao watakuwa wanawake wa Dar...
Wamesha fika tayari. Kwani tid anasemaje?Unautani na wanaume wa Kinondoni, ngoja waje hapa
Suala la kukosa nguvu ya kiume haiwezi mfanya mwanaume kushindwa kutungisha mimba mwanamke,na pia kuwa na nguvu ya kiume si kuwa na uwezo wa kumtungisha mimba mwanamke.Ni suala mbegu za mwanaume kuwa butu au sterile.Tukiwaonyeni kuwa acheni sana Kutumia Vumbi la Congo kwani lina madhara makubwa Kwenu hamtusikii.
Tukiwaonya acheni kupenda Kula Chips Mayai na Kuku wa Maabara pamoja na Mayonaizi pia hamtuelewi.
Tukiwaambia acheni Kuchepuka hovyo na kuwa na Mademu kila Kona kwani wanaathiri pia Nguvu bado hamtuelewi tu.
Haya sasa imefahamika kuwa kila Siku Wanawake Wanne wanaenda Hospitali ya Muhimbili ili Kupandikizwa Mimba na Maabara baada ya Wanaume wengi ( siyo Krav Maga ) kugundulika kuwa na tatizo la Nguvu za Kiume zinazoweza Kutunga Mimba.
Habari Kamili Nipashe Ukurasa wa Pili.
Kushindwa kumpa mimba mwanamke na ukosefu wa nguvu za kiume ni vitu viwili tofauti, waweza kua imara kama simba kitandani na usiweze kumpa mimba mwanamkeTukiwaonyeni kuwa acheni sana Kutumia Vumbi la Congo kwani lina madhara makubwa Kwenu hamtusikii.
Tukiwaonya acheni kupenda Kula Chips Mayai na Kuku wa Maabara pamoja na Mayonaizi pia hamtuelewi.
Tukiwaambia acheni Kuchepuka hovyo na kuwa na Mademu kila Kona kwani wanaathiri pia Nguvu bado hamtuelewi tu.
Haya sasa imefahamika kuwa kila Siku Wanawake Wanne wanaenda Hospitali ya Muhimbili ili Kupandikizwa Mimba na Maabara baada ya Wanaume wengi ( siyo Krav Maga ) kugundulika kuwa na tatizo la Nguvu za Kiume zinazoweza Kutunga Mimba.
Habari Kamili Nipashe Ukurasa wa Pili.
hao wanawake ni wakishua watu wa uswahilini hiyo pesa ya pandikizi anatoa wapTukiwaonyeni kuwa acheni sana Kutumia Vumbi la Congo kwani lina madhara makubwa Kwenu hamtusikii.
Tukiwaonya acheni kupenda Kula Chips Mayai na Kuku wa Maabara pamoja na Mayonaizi pia hamtuelewi.
Tukiwaambia acheni Kuchepuka hovyo na kuwa na Mademu kila Kona kwani wanaathiri pia Nguvu bado hamtuelewi tu.
Haya sasa imefahamika kuwa kila Siku Wanawake Wanne wanaenda Hospitali ya Muhimbili ili Kupandikizwa Mimba na Maabara baada ya Wanaume wengi ( siyo Krav Maga ) kugundulika kuwa na tatizo la Nguvu za Kiume zinazoweza Kutunga Mimba.
Habari Kamili Nipashe Ukurasa wa Pili.
research pia haija specify ni wanawake wa umri upi wengi wanapandikizaTukiwaonyeni kuwa acheni sana Kutumia Vumbi la Congo kwani lina madhara makubwa Kwenu hamtusikii.
Tukiwaonya acheni kupenda Kula Chips Mayai na Kuku wa Maabara pamoja na Mayonaizi pia hamtuelewi.
Tukiwaambia acheni Kuchepuka hovyo na kuwa na Mademu kila Kona kwani wanaathiri pia Nguvu bado hamtuelewi tu.
Haya sasa imefahamika kuwa kila Siku Wanawake Wanne wanaenda Hospitali ya Muhimbili ili Kupandikizwa Mimba na Maabara baada ya Wanaume wengi ( siyo Krav Maga ) kugundulika kuwa na tatizo la Nguvu za Kiume zinazoweza Kutunga Mimba.
Habari Kamili Nipashe Ukurasa wa Pili.
Hata mm najua hivyo!??Ufundi na ujuzi kitandani hauna uhusiano wowote na uwezo wa kupachika mimba.