Baada ya watu kugoma kuandamana, Lissu atafuta asylum Ujerumani

Baada ya watu kugoma kuandamana, Lissu atafuta asylum Ujerumani

Elius W Ndabila

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2019
Posts
324
Reaction score
649
LISSU AMEKIMBIA AU ANAENDELEA KUFANYA SIASA?

Na Elius Ndabila

Aliyekuwa mgombea Urais kwa tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Wakili Tundu ANTIPAS MUGWHAI LISU baada ya kushindwa vibaya Uchaguzi alitangaza maandamano yasiyo na ukomo. Maandamano hayo alisema yataanza Jumatatu.

Watanzania kote nchini Walimgomea Lissu na genge lake kuwa hawataandamana kwa kuwa wamepata viongozi waliokuwa wanawataka. Wananchi walisistiza kuwa hawawezi kuandamana ili kumpeleka Lissu Ikulu wakati yeye hakuwasaidia kuandamana wakati wa uchaguzi wa serikali za mitaa. Wananchi walisistiza kuwa CHADEMA imekosa mvuto kwa kuwa inataka kutuletea Ushoga na kuweka rehani madini yetu.

Baada ya mgomo wa Wananchi kuwakatalia CHADEMA na ACT kuandamana Jumatano Lissu alijipeleka Ubalozi wa Ujerumani nchini Tanzania kuomba hifadhi. Lisu anaomba asylum akisema anatishiwa maisha yake.

Wachambuzi wa mambo ya siasa wanaona haya ni maigizo ambayo Lisu anajaribu kufanya ili kuficha aibu ya alichokuwa amewaaminisha wafadhili wa kampeni zake kuwa atashinda. Lisu anafanya hivyo ili kujaribu kuiaminisha Dunia kuwa yeye anawafuasi wengi na hivyo ni hatari kwa serikali.

Unakuweje mtu hatari au tishio kwa serikali kama tu ulitangaza maandamano watu walikata kukuunga ikiwepo familia yako? Ungekuwa mtu tishio si tungeona watu barabarani wakiandamana kukuunga? Ukweli ni kuwa Lisu hana Wafuasi na hakuna anayetishia maisha yake, labda ametamani tu akae ubalozi kujiliwaza.

Inasemekana kuwa Lissu si muda ataondoka kwenda nchini Ujerumani kuishi kwa kuwa Tanzania anatishiwa. Hivi ni vituko vya hali ya juu. Nani wa kukutishia uliyeshindwa hata kuandamanisha watu kumi barabarani? Watu wako busy na kazi.

Mapema kabla ya uchaguzi niliandika kuwa kitendo cha CHADEMA kufadhiliwa na watu wanasapoti ndoa ya jinsia moja na kitendo cha CHADEMA kuwa kitaweka rehani migodi ya madini ili kuendesha nchi basi kitendo hiki kitawanyima kura nyingi CHADEMA kwa kuwa wapiga kura wanaelewa.
 
Ubeligiji na Jumuiya duniani tayari wamwsha muona huyu bwana ni mzigo. Wameungana na Lissu kutafuta mbinu ya kumtunza kupitia ukimbizi.

Wako wasomali wengi wanaishi kwa mbinu hiyo huko ulaya, Lissu si wa kwanza kutumia mbinu hii.
 
Matumizi mabovu ya platform na akili haya.
Ukweli uko wazi jamaa atadhurika akizubaa.
Sio wewe ulisema kipindi kile kuwa hafatiliwi anafanya vituko, polisi nao wakapuuza, mwishowe akapigwa risasi, na uchunguzi haufanyiki.
Halafu baadae mnakuwa watu wa imani na matendo ya kishetani,sijui ni Mungu gani mnamwabudu?
 
Haya mambo ya kulazimishiwa viongozi yana mwisho. Wote tumeona huu haukuwa uchaguzi kwa standard zozote zile
 
Matumizi mabovu ya platform na akili haya.
Ukweli uko wazi jamaa atadhurika akizubaa.
Sio wewe ulisema kipindi kile kuwa hafatiliwi anafanya vituko, polisi nao wakapuuza, mwishowe akapigwa risasi, na uchunguzi haufanyiki.
Halafu baadae mnakuwa watu wa imani na matendo ya kishetani,sijui ni Mungu gani mnamwabudu?
Haya majamaa yana roho za kishetani!Hii nchi ina mpasuko mkubwa unaochemka chini kwa chini!Wamekufa madiwani huko Geita naona comments za watu ni hatari,wanataka isiishie kwa vidagaa bali ipande juu zaidi!
 
LISSU AMEKIMBIA AU ANAENDELEA KUFANYA SIASA?

Na Elius Ndabila

Aliyekuwa mgombea Urais kwa tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Wakili Tundu ANTIPAS MUGWHAI LISU baada ya kushindwa vibaya Uchaguzi alitangaza maandamano yasiyo na ukomo. Maandamano hayo alisema yataanza Jumatatu.

Watanzania kote nchini Walimgomea Lissu na genge lake kuwa hawataandamana kwa kuwa wamepata viongozi waliokuwa wanawataka. Wananchi walisistiza kuwa hawawezi kuandamana ili kumpeleka Lissu Ikulu wakati yeye hakuwasaidia kuandamana wakati wa uchaguzi wa serikali za mitaa. Wananchi walisistiza kuwa CHADEMA imekosa mvuto kwa kuwa inataka kutuletea Ushoga na kuweka rehani madini yetu.

Baada ya mgomo wa Wananchi kuwakatalia CHADEMA na ACT kuandamana Jumatano Lissu alijipeleka Ubalozi wa Ujerumani nchini Tanzania kuomba hifadhi. Lisu anaomba asylum akisema anatishiwa maisha yake.

Wachambuzi wa mambo ya siasa wanaona haya ni maigizo ambayo Lisu anajaribu kufanya ili kuficha aibu ya alichokuwa amewaaminisha wafadhili wa kampeni zake kuwa atashinda. Lisu anafanya hivyo ili kujaribu kuiaminisha Dunia kuwa yeye anawafuasi wengi na hivyo ni hatari kwa serikali.

Unakuweje mtu hatari au tishio kwa serikali kama tu ulitangaza maandamano watu walikata kukuunga ikiwepo familia yako? Ungekuwa mtu tishio si tungeona watu barabarani wakiandamana kukuunga? Ukweli ni kuwa Lisu hana Wafuasi na hakuna anayetishia maisha yake, labda ametamani tu akae ubalozi kujiliwaza.

Inasemekana kuwa Lissu si muda ataondoka kwenda nchini Ujerumani kuishi kwa kuwa Tanzania anatishiwa. Hivi ni vituko vya hali ya juu. Nani wa kukutishia uliyeshindwa hata kuandamanisha watu kumi barabarani? Watu wako busy na kazi.

Mapema kabla ya uchaguzi niliandika kuwa kitendo cha CHADEMA kufadhiliwa na watu wanasapoti ndoa ya jinsia moja na kitendo cha CHADEMA kuwa kitaweka rehani migodi ya madini ili kuendesha nchi basi kitendo hiki kitawanyima kura nyingi CHADEMA kwa kuwa wapiga kura wanaelewa.

Watu wamegoma kuandamana baada ya majeshi ya kivamizi kutoka Tanganyika na jeshi la kukodiwa kutoka Burundi kufanya mauwaji haya

WALIOUWAWA NA POLISI ZANZIBAR WAONGEZEKA.

RIPOTI YA HALI YA MKOA WA MICHEWENI KWA USIKU WA JANA TRH 26/10/2020.

1.Hamad Khamis Hamad mkaazi wa Makundaani jimbo la Wingwi miaka 25 Amepigwa risasi ya Mkoni

2. Abdallah Nassor Mbarouk miaka 30 mkaazi wa Mchepewe jimbo la Wingwi Amepigwa risasi na amefariki dunia

3.Ali Said Kombo miaka 35 mkaazi wa Kinazini jimbo la Wingwi Amepigwa risasi ya Shingo

4.Hamad Amour Abdalla miaka 35 mkaazi wa Sizini jimbo la Wingwi amepigwa risasi ya paja na kutokea upande wa pili

5.Abdalla Hamad Miaka 34 mkaazi wa Tumbe Mbuyuni amefariki kwa kupigwa risasi

6.Mustafa Haji Shaame miaka 30 mkaazi wa Tumbe Kaliwa jimbo la Tumbe ni majeruhi amepigwa risasi

7.Masoud Salim Fadhil miaka 16 mkaazi wa Mafya jimbo la Wingwi amefariki dunia kwa kupigwa risasi ya Tumbo

8.Khator Kombo Bakar miaka 22 Mkaazi wa Shumba Mjini amekamatwa usiku wa jana huko Shumba Mjini

9.Shehe Mahmoud miaka 50 Mkaazi wa Chamboni Shumba Mjini nae pia alichukiliwa usiku wa jana.

Kombo Mwinyi Shehe.
Katibu wa haki za Binadam
Mkoa wa Micheweni kichama.
 
Sitetei wapinzani wetu kutishiwa maisha ila najiuliza zile mboko za mianzi na rungu za polisi wa Uganda ambao kuwatandika wapinzani kila kukicha ingekuwa hapa kwetu mambo yangekuwaje...?
Wapinzani wetu ni "watoto mayai" kuwa mpinzani hata kama ni kwenye mataifa yaliyostaarabika inabidi kuimili mikiki mikiki...mtu kama Zitto akipigwa mkwara kidogo na polisi analala bungeni na kuwatishia kuwaroga..hahaha
Namkumuka Dk. Slaa na mkewe historia itawakumbuka kwa ujasiri wao, kweli tulipteza WAPINZANI wa kweli!
 
LISSU AMEKIMBIA AU ANAENDELEA KUFANYA SIASA?

Na Elius Ndabila

Aliyekuwa mgombea Urais kwa tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Wakili Tundu ANTIPAS MUGWHAI LISU baada ya kushindwa vibaya Uchaguzi alitangaza maandamano yasiyo na ukomo. Maandamano hayo alisema yataanza Jumatatu.

Watanzania kote nchini Walimgomea Lissu na genge lake kuwa hawataandamana kwa kuwa wamepata viongozi waliokuwa wanawataka. Wananchi walisistiza kuwa hawawezi kuandamana ili kumpeleka Lissu Ikulu wakati yeye hakuwasaidia kuandamana wakati wa uchaguzi wa serikali za mitaa. Wananchi walisistiza kuwa CHADEMA imekosa mvuto kwa kuwa inataka kutuletea Ushoga na kuweka rehani madini yetu.

Baada ya mgomo wa Wananchi kuwakatalia CHADEMA na ACT kuandamana Jumatano Lissu alijipeleka Ubalozi wa Ujerumani nchini Tanzania kuomba hifadhi. Lisu anaomba asylum akisema anatishiwa maisha yake.

Wachambuzi wa mambo ya siasa wanaona haya ni maigizo ambayo Lisu anajaribu kufanya ili kuficha aibu ya alichokuwa amewaaminisha wafadhili wa kampeni zake kuwa atashinda. Lisu anafanya hivyo ili kujaribu kuiaminisha Dunia kuwa yeye anawafuasi wengi na hivyo ni hatari kwa serikali.

Unakuweje mtu hatari au tishio kwa serikali kama tu ulitangaza maandamano watu walikata kukuunga ikiwepo familia yako? Ungekuwa mtu tishio si tungeona watu barabarani wakiandamana kukuunga? Ukweli ni kuwa Lisu hana Wafuasi na hakuna anayetishia maisha yake, labda ametamani tu akae ubalozi kujiliwaza.

Inasemekana kuwa Lissu si muda ataondoka kwenda nchini Ujerumani kuishi kwa kuwa Tanzania anatishiwa. Hivi ni vituko vya hali ya juu. Nani wa kukutishia uliyeshindwa hata kuandamanisha watu kumi barabarani? Watu wako busy na kazi.

Mapema kabla ya uchaguzi niliandika kuwa kitendo cha CHADEMA kufadhiliwa na watu wanasapoti ndoa ya jinsia moja na kitendo cha CHADEMA kuwa kitaweka rehani migodi ya madini ili kuendesha nchi basi kitendo hiki kitawanyima kura nyingi CHADEMA kwa kuwa wapiga kura wanaelewa.
Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Geita kimepata pigo baada ya madiwani wake wawili wateule kufariki dunia kwa nyakati tofauti wakati wakipatiwa matibabu katika hospitali ya Bugando jijini Mwanza.

Geita. Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Geita kimepata pigo baada ya madiwani wake wawili wateule kufariki dunia kwa nyakati tofauti wakati wakipatiwa matibabu katika hospitali ya Bugando jijini Mwanza.

Akizungumza na Mwananchi Digital leo Jumamosi Novemba 7, 2020 katibu mwenezi wa CCM mkoani Geita, David Azaria amewataja madiwani hao wateule kuwa ni Masalu Luponya (Bugalama) na Magomamoto Zanziba (Buziku).

Azaria amesema Luponya aliugua wakati wa kampeni na hata siku ya uchaguzi Oktoba 28, 2020 alipigiwa kura na wananchi akiwa amelazwa hospitali ya Bugando.

Amesema Magomamoto aliugua ghafla juzi na alipelekwa Bugando lakini alifariki saa chache baadaye.

Amesema Luponya atazikwa leo nyumbani kwake Bugalama huku taratibu za mazishi ya Magomamoto zikiendelelea kufanywa na chama hicho kwa kushirikiana na familia yake.

Magomamoto alikuwa diwani wa Buziku kuanzia 2010 hadi 2020 na mwaka 2010 hadi 2015 alikuwa makamu mwenyekiti wa baraza la madiwani.

Katibu mwenezi wa CCM wilaya ya Geita, Jonathan Masele amesema kifo cha Luponya ni pigo kwa CCM na jamii iliyokuwa ikimzunguka.
 
Lissu alichungulia kaburi Sep 2017 kwa amri ya Magufuli aliyemwita msaliti. CCM mnasema alijipiga risasi... Na waliotekwa, walijiteka! Kwa nini mnafikiri Watanzania mil 60 wote ni wajinga?
LISSU AMEKIMBIA AU ANAENDELEA KUFANYA SIASA?

Na Elius Ndabila

Aliyekuwa mgombea Urais kwa tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Wakili Tundu ANTIPAS MUGWHAI LISU baada ya kushindwa vibaya Uchaguzi alitangaza maandamano yasiyo na ukomo. Maandamano hayo alisema yataanza Jumatatu.

Watanzania kote nchini Walimgomea Lissu na genge lake kuwa hawataandamana kwa kuwa wamepata viongozi waliokuwa wanawataka. Wananchi walisistiza kuwa hawawezi kuandamana ili kumpeleka Lissu Ikulu wakati yeye hakuwasaidia kuandamana wakati wa uchaguzi wa serikali za mitaa. Wananchi walisistiza kuwa CHADEMA imekosa mvuto kwa kuwa inataka kutuletea Ushoga na kuweka rehani madini yetu.

Baada ya mgomo wa Wananchi kuwakatalia CHADEMA na ACT kuandamana Jumatano Lissu alijipeleka Ubalozi wa Ujerumani nchini Tanzania kuomba hifadhi. Lisu anaomba asylum akisema anatishiwa maisha yake.

Wachambuzi wa mambo ya siasa wanaona haya ni maigizo ambayo Lisu anajaribu kufanya ili kuficha aibu ya alichokuwa amewaaminisha wafadhili wa kampeni zake kuwa atashinda. Lisu anafanya hivyo ili kujaribu kuiaminisha Dunia kuwa yeye anawafuasi wengi na hivyo ni hatari kwa serikali.

Unakuweje mtu hatari au tishio kwa serikali kama tu ulitangaza maandamano watu walikata kukuunga ikiwepo familia yako? Ungekuwa mtu tishio si tungeona watu barabarani wakiandamana kukuunga? Ukweli ni kuwa Lisu hana Wafuasi na hakuna anayetishia maisha yake, labda ametamani tu akae ubalozi kujiliwaza.

Inasemekana kuwa Lissu si muda ataondoka kwenda nchini Ujerumani kuishi kwa kuwa Tanzania anatishiwa. Hivi ni vituko vya hali ya juu. Nani wa kukutishia uliyeshindwa hata kuandamanisha watu kumi barabarani? Watu wako busy na kazi.

Mapema kabla ya uchaguzi niliandika kuwa kitendo cha CHADEMA kufadhiliwa na watu wanasapoti ndoa ya jinsia moja na kitendo cha CHADEMA kuwa kitaweka rehani migodi ya madini ili kuendesha nchi basi kitendo hiki kitawanyima kura nyingi CHADEMA kwa kuwa wapiga kura wanaelewa.
 
Ubeligiji na Jumuiya ya mashoga duniani tayari wamwsha muona huyu bwana ni mzigo. Wameungana na Lissu kutafuta mbinu ya kumtunza kupitia ukimbizi.

Wako wasomali wengi wanaishi kwa mbinu hiyo huko ulaya, Lissu si wa kwanza kutumia mbinu hii.
Belgium mpaka sasa hawajatoa kauli yoyote kuhusu lisu. Unao washtaki wako kimya..
However sistetei vitendo hivyo
 
Back
Top Bottom