jerry joshy
JF-Expert Member
- Jul 8, 2015
- 402
- 504
huwez kuelewaa mkuu ila niliyo yasma ni kuwa oomy anaimbaa tu ila mond anacheza na kuimbaSawa kabisa mkuu..
Sasa kuhusu uliyosema wewe hapo juu inakuwaje yan, mimi sijaelewa kabisa mkuu wale wale kivipi. Nielezee japo juu juu mimi nitakuelewa fresh kabisa
Huu ubuyu wa kipopoma sanaNasikia kile kipindi domo anapokea tuzo za kili awards usiku wake walikua na ommy walilewa sana ommy akataka kukojolewa na domo, domo akagoma akamwambia tu amnyonye mpaka akojoe kweli. Ommy alimnyonya domo mpaka akakojoa, ndo ukawa mchezo wao, baadae akahamia kwa shetta, sheta ni kweli alipumuliwa na domo walianzia south nasikia, na domo alilala mpaka na mke wa shetta mama kayla, jaman narudi tena
o wao
umeanza kunywa nije nikupe orodha ya mademu wa ommy dimpozsawa mkuu nimeelewa naenda kupata supu ya kongoro
ibiza patam mkuu!![emoji23][emoji23][emoji23]Usinambie[emoji15][emoji15][emoji15]??!itakuwa ndiye aliyempelekaga Ibiza kipindi kile kuponda maraha!!maskini Ommy[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu sasa nimekuelewa.huwez kuelewaa mkuu ila niliyo yasma ni kuwa oomy anaimbaa tu ila mond anacheza na kuimba
cjaelewa anamaana na yy kakubaliOkay mkuu.
Hahaa ushabiki maandazi kazi kweli kweliHapo "highly protected" kawapige fix wehu
cjaelewa anamaana na yy kakubali
Binamu nipoHuu Uzi warumi hajatia mguu tu [emoji15]
Mkuu huwezi kumiliki Nyumba south Africa kama Huna uraia wa south Africa...kama Zari ana uraia basi nyumba ni ya Zari au kama Tiffah ana uraia basi nyumba ina jina la Tiffah ila haiwezi kuwa na jina la Naseeb kama unabisha mwambieni aweke Hati ya nyumba.Acha umbea unajua nyumba ya south anamiliki nan?
jibu mulua, nakumbuka make me sing ilivunja record ya SA south. na ilikuwa kwenye YouTube account ya AKA. sijui domo alimnunulia na AKA.Swali zuri maana yake ni kwamba usipoona bandiko instagram basi utakutana nalo facebook au twitter
Ndio maana siku hizi diamond akitoa nyimbo za wasanii wake hatoi tangazo wala haendi redio kuutoa kwa mara ya kwanza, anaanzia mitandaoni , anachokifanya ni kuwashtukiza mashabiki na anafanikiwa kwasababu ana fan base kubwa mtandaoni.
Ukitaka kujua nguvu ya diamond mtandaoni muulize jah prayzah wa Zimbabwe au akothee wa kenya watakwambia
Amevunja record ya zimbabwe kwa nyimbo aliomshirikisha diamond , au diamond anawanunulia viewers hadi watu waliomshirikisha?
tehetehekwa hiyo na wewe ni ...........? haya
[emoji23][emoji23][emoji23]hasa ukipelekwa na mfadhili kama yule mwarabu wa Ommyibiza patam mkuu!![emoji23][emoji23][emoji23]
atakuja tu warumi kaishiwa mb pamoja na VAT hiz noumaHuu Uzi warumi hajatia mguu tu [emoji15]
Punguza jazba.Naona na wewe una shida katika UPUMUAJI..
Diamond anahitajika ili akupe oxygen
Napata ukakasi kama hauna uDimpozi ndani yako!sio kwa shobo hizo za kikokoro kwa wanaume wenzio[emoji30][emoji30]..
Nenda WCB pale mzee wagawa oxygen wamejaa kibao
Kuna siku wafanyakaz wake walikuambia hawajalipwa mshahara? Ulitaka aajiri watu 2 wakata anauwezo wa kutoa ajira kwa watu kumi?...una mawazo ya kimasikini sana ndugu ila sikulaumu ndio waafrika tulivyo.U got a point,ngoma ikiwambwa sana mwisho wake hupasuka tu,kwa level ya Diamond kuwa na msururu wa wafanyakazi vile ni ulimbukeni tu hajafikia hizo level
Hiyo namjua sanaaawarumi nisaidie yule najua wamjuaaaa
Hahahaa jamaa jogooo hapandi mtungiMpe jicho uone