mzaramo
JF-Expert Member
- Sep 4, 2006
- 6,371
- 5,186
Huo unakuwa wa ujanja ujanja sio wa halali mkuu Ila kisheria Tanzania hawaruhusu uraia wa nchi mbili na South Africa pia hawaruhusu uraia wa nchi mbili.Hiyo ni formality tu lakini reality ni kwamba wapo Watanzania wengi wenye uraia wa nchi mbili
Na Diamond bado ajafikia vigezo vya kuwa raia wa South Afrika mkuu.