Baada ya WCB kutoa Wimbo: Ommy Dimpoz atao mapovu, Diamond amjibu

Baada ya WCB kutoa Wimbo: Ommy Dimpoz atao mapovu, Diamond amjibu

Unajua nilimsikia Diamond na suala la Ommy Dimpoz kutaka wakutane... nikajua Chibu anatupiga fix!! Huku na kule mara eheee, Dimpoz huyu hapa anajikamatisha mwenyewe....
Dimpozi amepanic sana kaka...alitegemea atapewa Kiki ya kukaliwa kimya kama alivyokaliwa Alikiba[emoji38]!!matokeo yake imekuwa ni kashfa kubwa badala ya Kiki aliyoitegemea[emoji38][emoji38]
Amejipeleka Chaka leo Ommy mpaka aibu...hakujua kama Diamond atampa Makavu kiasi kile..

Walishazoea kila wakimchokonoa Baba Tee anawakalia kimya..leo amewatolea uvivu ommy hajaamini maskio yake[emoji38][emoji38]
 
Nakwambia kijana ana mdomo yulee[emoji38][emoji38][emoji38]sina hamu..
Bdozen anamuambia Diamond kwamba Ommydimpozi amekataa swala la kupiga simu na kuomba msamaha kwa diamond,ila alitaka waongee ishu nyingine tu!!

Diamond akamjibu kwamba hata mtoto mdogo anapotaka maji ya kunywa anasema "Mama naomba mma"hasemi mama naomba maji[emoji38][emoji38]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ommy atajutaaaa kuanzisha hii vita
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ommy atajutaaaa kuanzisha hii vita
Bahati mbaya Kiki imembumia Dimpozi...ameambulia fedheha,sasa hivi kila mtu anajua kama jamaa sio Riziki[emoji38]..

Sasa hivi tunasubiri bomu la Basata na show ya Mayotte ya Platnumz
 
Mke wa mwarabu ommy msambwanda leo kavuliwa nguo peupeee ukweli umejulikana bado mke wa mjerumani yule wa fnl tutawajua woteeee team James delicious
 
sina ubaya na Mond ila naona kabisa anguko lake litakua baya vibaya sana,na hasa kwa wingi wa wafanyakazi alionao na matumizi kila mwezi aombee aendelee kubaki hapo hapo,

Zari kaliona hilo ndio maana kamuingiza king anunue nyumba south ambayo Zari ni kama mmiliki.
kwani akitikisika kidogo tu ndio kwa heri,wadhamni watavunja mikataba na hao wooote kina salam sijui babu tale sitanii hatawaona hata wakimkaribia .tupo hapa hapa na tutakuwepo hayo yakitokea
Yaani wew hata hauelewek unazungumza nn
 
Sikia na ujifunze mkuu...South Africa huwezi Kufungua bank account labda uwe na Work Permit na wabongo wengi na wageni wengi waliokuwa hapa wana Aslyam Seeker na Wengine wanatumia Passport tu ambayo tunaingia hapa kwa free Visa kama Visiting Visa.

Ni swala la kujifunza tu mkuu...Nipo hapa na najaribu kukwambia kitu ambacho nakutana nacho kama una jamaa yako huku unaweza muuliza.

Asante.
Kwani haiwezekani Diamond kuwa na uraia wa South Africa?
Mbona Watanzania wengi wana passport za nchi zaidi ya moja
 
Kama itakuwa dimpoz hapumuliwi halafu diamond kasema anapumuliwa ili apate kiki..kiuwanaume itakuwa sio fresh kabisa hasa kwa baadae. Kuna wasanii wengi walipata skendo hizi tukaambiwa na habari zilivuma sana ni mashoga kipindi hicho lakini sasa wameoa na wana watoto.
Mfano Mr blue, mzee yusuph, dully sykes, michael jackson etc.




Wengine POWER BANK yani wana chaji na kuchajiwa pia
wameoa na wana watoto.

ME
SIJUI kama dimpo anabonyezwa kizenji ila ngoja niunganishe dots...mwarabu, gsm, picha za birthday. ..
 
Bin Laden wa uwe awooooo mfuuuuuuuuu[emoji450][emoji450][emoji450][emoji450]
 
Japo hawakuzaliwa pamoja wala hawakuchangia
damu, lakini machoni mwa watu walionekana ni
kama mapacha kutokana na ukaribu wao wa
kuambatana kama kumbi kumbi huku kila mmoja
akimuita mzazi wa mwenzake baba au mama. Hakuna aliyetaka wala kusikia mwenzake
akisemwa vibaya na watu wengine huku ukaribu
huo ukipendwa na wengi japo wengine
waliumizwa na ukaribu huo na kuwatupia matusi
na maneno ya kejeli kwenye mitandao ya kijamii,
lakini ilikuwa ni kama ‘sisimizi kumbeba tembo’ jambo ambalo lisingewezekana kirahisi. Nimeamua kuanzia mbali ili niweze kukumbusha
miaka miwili au mitatu iliyopita uvute taswira ya
picha kwa kile unachokiona wakati Dully Sykes
alipoachia wimbo wa ‘Utamu’ na kuamua
kuwashirikisha wadogo zake Ommy Dimpoz na
Diamond Platnumz kipindi ambacho ungeambiwa utaje wasanii watatu wanaofanya vizuri kwenye
muziki usingeacha kuyataja majina ya wasanii hao
wote wawili. Nakumbuka miaka miwili iliyopita mwezi Juni,
Dimpoz aliiambia Bongo5 kuwa kuna kolabo kati
yake na Chibu inakuja na aliweza kusifia sana kwa
kupamba huku akisema, “Watu kwanza najua
wanasubiria kwa hamu sana lakini trust me
nakuambia siku utakayosikia moto umewaka basi itakuwa ni balaa na unaelewa kwamba
wamanyema kwanza hawakosei. Sijui itakuwaje,
lakini ni balaa. Halafu projects zipo nyingi tu lakini
watu wasubirie tu waone itakuwaje lakini
nakuambia ukweli itakuwa hatari sana.” Siku zimepita na miaka imekwenda hakuna kolabo
tuliyoiona lakini “ukistaajabu ya Mussa utayaona ya
Firauni,” ndio tuliyoyaona. Ndipo nikaukumbuka
wimbo malkia wa muziki wa Bongo Fleva, Lady
Jaydee ‘Siku Hazigandi’ baada ya kuona urafiki
uliogeuka undugu wa damu ukiteketea na kugeuka majivu baada ya kuunguzwa na mwanga
wa tochi – ni kitu cha kushangaza na
kisichowezekana lakini kwa hapo kiliwezekana. Nilifurahi sana kuna busara iliyotumika kwa kila
mmoja kukaa kimya bila ya kumshtumu mwenzake
kwa lolote na kila mmoja akifanya kazi kivyake
lakini ghafla nuru ya mwanga uliopo kugeuka giza
baada ya usiku wa Jumanne hii mtandao wa
Instagram ukigeuka uwanja wa ‘Kitchen Party’ kwa Ommy na Diamond kutupiana vijembe vya maneno
ya kashfa na kuanza kutoleana siri ambazo kwa
mashabiki hatuna uhakika nazo labda wao
wenyewe wanajua juu ya ukweli wausemao kwa
jamii. Diamond alianza kwa kuandika kwenye kipande
cha video ya wimbo mpya wa Rich Mavoko
aliyoiweka kwenye mtandao huo, “Kushindana na
Wasio Jua Raha sana hahahahahaha …….” Ommy Dimpoz alijibu kwa kuandika: Wazee Wa Kupanik Mbona Kama Povuuu
Linawatoka [HASHTAG]#TeamMzikiMzuri[/HASHTAG] VS #
TeamUjanjaUjanja
[HASHTAG]#Kajiandae[/HASHTAG]
[HASHTAG]#KabaliYao[/HASHTAG]
[HASHTAG]#WeDontBuyViews[/HASHTAG] [HASHTAG]#MeNilijuaTunafanyaMzikiKumbeVitaaa[/HASHTAG]
[HASHTAG]#NawajuaWazeeWaKuchambaNataniaTu[/HASHTAG]
[HASHTAG]#PiaNawajuaKwaMitusiLakiniNishajiandaa[/HASHTAG]
[HASHTAG]#NawaachiaUwanjaMweupeeeWalaSiblokuMtu[/HASHTAG]
[HASHTAG]#NachangamshaBarazaKidogoooo[/HASHTAG] Diamond alishindwa kuvumilia naye aliandika,
“Mtoto wa Kiume kumchukia Mwanaume Mwenzio
kisa Kakataa kukupumulia nayo ni [HASHTAG]#KOKORO[/HASHTAG].” Kwa watu wanaofahamu zaidi maneno ya mitaani
wanaweza kufahamu kilichoandikwa ndani kina
maana gani tena hayapaswi kuandikwa na wasanii
wakubwa kama hawa kwenye hadhira hii. Wakati
huo huo siku hizi mitandao ya kijamii
inatembelewa mpaka na watoto wadogo, je watoto wao au hata ndugu zao wadogo wanaowalea na
kuwategemea wakiona mtu anayemuheshimu
nyumbani amefanya hivyo mitandaoni unafikiri
itakuwaje? Kumbukeni mlipotoka kwa kuwa ‘Adui yako wa
leo ndio rafiki yako wa kesho, na rafiki yako wa leo
ndio adui yako wa kesho’.
SOURCE: BONGO5
 
Tatizo lilianza pale mmoja alipoanza kujirembua macho na kujibebisha ili apumuliwe. [HASHTAG]#LOL[/HASHTAG]
 
diamond alikuwa rafik na ommy sasa kwa diamond kuongea hivyo inamaana ni ukweli mtu na diamond alikuwa rafk ya nay wa mitego na ney aliambiwa na diamond sasa hapo ukweli umepatikana haina haja ya kuficha mambo na shemeji hatumjui
Ahaha kweli wewe ni shushushu, yaani unaunganisha dots tu kupata straight line. Wee jamaa ni mbaya sana.
 
Kama itakuwa dimpoz hapumuliwi halafu diamond kasema anapumuliwa ili apate kiki..kiuwanaume itakuwa sio fresh kabisa hasa kwa baadae. Kuna wasanii wengi walipata skendo hizi tukaambiwa na habari zilivuma sana ni mashoga kipindi hicho lakini sasa wameoa na wana watoto.
Mfano Mr blue, mzee yusuph, dully sykes, michael jackson etc.
Kuoa na kuwa na watoto sio kigezo kuna watu wazima na familia wanaliwa live bila chenga with big offices
 
Kwani haiwezekani Diamond kuwa na uraia wa South Africa?
Mbona Watanzania wengi wana passport za nchi zaidi ya moja
Mkuu Tanzania hawaruhusu uraia wa nchi mbili....ukiwa raia wa nchi nyingine by automatically hautambuliki kuwa wewe ni raia wa Tanzania tena.
 
Mkuu Tanzania hawaruhusu uraia wa nchi mbili....ukiwa raia wa nchi nyingine by automatically hautambuliki kuwa wewe ni raia wa Tanzania tena.
Hiyo ni formality tu lakini reality ni kwamba wapo Watanzania wengi wenye uraia wa nchi mbili
 

Naanza na Property24 ambao kama sikosei ndiko Diamond alinunua nyumba! Hawa hapa....


View attachment 438447

Smith Tabata Buchanan Boyes (Ni Mawakili ambao wamejikita sana kwenye real estate) nao hawa hapa:
View attachment 438452

Ooba Group ambao wana-finance acquisition of property nao hawa hapa:

View attachment 438458

Library of Congress nao hawa hapa:
View attachment 438453

Aidha, nilishakuambia hizi kazi mimi nishatumwa tumwa sana na hadi kesho naendelea kutumwa! Sikutaka kufika kote huku lakini hamna namna, hizi ni kazi zangu za mwisho kufanya kiasi cha wiki 3 tu zilizopita:

View attachment 438454

Hapo nilikuwa nawasiliana na aliyenituma kazi ya mwisho! Kama unafahamu mambo ya real estate, basi bila shaka utakuwa unafahamu what is Airbnb!!! Huyo Nassoro ndo chige...!!! Unaona hizo attachments, ilikuwa ni listing hiyo!

Haya sasa, badala ya kuongea kwa maneno tu; na wewe weka hata ushahidi kutoka kwenye blog!
Mkuu unaweka ushahidi kutoka kwenye blogs na kuuamini moja kwa moja?

Mimi ningekupa ushahidi kuanzia nilivyokwenda mwenyewe kumuona meneja wa kampuni wa nyumba niliyotaka kununua na majibu yake aliyonipa.

Ningekupa ushahidi wa wa hati ya nyumba na jina la mtoto wangu lense surname yangu ili ujiridhishe ila hii ni Mitandao siwezi kufanya namna hiyo kwa kitu ambacho siku yoyote mbele ya safari kinaweza kuniletea matatizo.

Siwezi kuweka ushahidi kutoka kwenye blog na siwezi kuweka ushahidi wa ndani kutoka kwenye familia yangu eti kisa tu tunabishana kuhusu Naseeb.

Asante.
 
Back
Top Bottom