Semistocles
JF-Expert Member
- Jul 2, 2016
- 1,932
- 1,126
[emoji23]Usinambie[emoji15][emoji15][emoji15]??!itakuwa ndiye aliyempelekaga Ibiza kipindi kile kuponda maraha!!maskini Ommy[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Heshima yako mkuu!!kauli kama hizo wenzio walizitoa na kuzitabiri miaka mitano iliyopita!!ila cha ajabu mpaka leo jamaa anazidi kuchanja mbugasina ubaya na Mond ila naona kabisa anguko lake litakua baya vibaya sana,na hasa kwa wingi wa wafanyakazi alionao na matumizi kila mwezi aombee aendelee kubaki hapo hapo,
Zari kaliona hilo ndio maana kamuingiza king anunue nyumba south ambayo Zari ni kama mmiliki.
kwani akitikisika kidogo tu ndio kwa heri,wadhamni watavunja mikataba na hao wooote kina salam sijui babu tale sitanii hatawaona hata wakimkaribia .tupo hapa hapa na tutakuwepo hayo yakitokea
tuongeze mitano tu sio mbaliHeshima yako mkuu!!kauli kama hizo wenzio walizitoa na kuzitabiri miaka mitano iliyopita!!ila cha ajabu mpaka leo jamaa anazidi kuchanja mbuga
Acha awajibu tu ...wataishije mjini hapa.???? Walau Mondi atawaongezea views.Mondi aache kuwajibu waloshindwa kazi..... anazidi kuwapa kiki
Kayataka mwenyewe...acha apopolewe.Yaani Ommy bora asingejibu..watu wameachana na habari za kununua views sasa wanadeal na us.h.g wa Ommy[emoji38][emoji38]
Duh hii kashfa nzito, ngoja shilawadu wainaseNdio ommy anapumuliwa na nyumba kapangiwa na yule tajir wa GSM
Dahh OMY nae kina CameroonNdio yeye Mkuu yule mwarabu anamla ommy kama mke wa ndoa ana anamgaramikia kila kitu
Mond kawavumilia xana sasa inatosha[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kwan yeye yesu awageuzie shavu LA pili[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [HASHTAG]#kapumuliwa[/HASHTAG]Kuna siku tutakuja kuyasikia ya mond nae na maudhaifu yake wacha gemu liendeleee kumchana mwenzio sio vzr kwa hiyo raynavy nae mkigombana utamchana kama ivyo japo kua ushapumua
Ndio ommy anapumuliwa na nyumba kapangiwa na yule tajir wa GSM