MENGELENI KWETU
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 9,552
- 24,166
Umeongea fact,: youtube sio wajinga kiasi uwe unanunua viewers alafu waje wakulipe pesa na tuzo pia wakupe.Mkuu,alichofanya ni sahihi kabisa wala hajakosea,kamwambia vile ili aache hiyo tabia,yaani amemkemea kwa kuwadhalilisha wanaume
Halafu mkuu we kweli kwa akili yako unaamini suala la kununua views za youtube?,hivi kweli wamiliki wa mtandao wa youtube wanaweza kukupa zawadi ya kuwa una viewers wengi zaidi kwenye mtandao wao kwa youtube za kununuliwa,unataka kuniambia kwa watu walioadvance kiteknolojia kama hawa hawawezi kujua kama kuna views halisi na fake kweli?
Vitu vingine tujiongeze jamani,hao kinachowasumbua ni wivu wa mafanikio aliyonayo Diamond tu na si vinginevyo,wanamwona mwenzao hapumuliwi kama wao halafu anatusua mbaya,hilo ndio tatizo mkuu
Sasa hapo mbona Diamond ndiyo anaonekana amepanic?We nae,sasa unabishana na mimi ambaye nimewasha Notification On huko insta?!
Aliyeanza kupost ni Diamond,ndipo baada ya dakika kama ishirini kupita Ommy povu likamtoka
Mkuu Ommy akiamua kuropoka na yeye patachimbika hukooooo hahahaHamna kitu, Diamond amepanic
Omy alireact baada ya Diamond kupost hy video yao mpya nduguOmmy hit the right target,tht's all i can see....Ndio maana Domo povu........
Ha ha ha
What if hao subscribers, followers n.k ndio hao hao. Kwa Mfano Mimi nipo naye instagram, tweeter, facebook, YouTubeKwa akili ya kawaida ni wajinga tu wanaweza kuamini diamond ananunua viewers
Twende na facts
Diamond ana followers milioni 3 instagram ,
Youtube ana subscibers 422,320
Facebook ana followers milioni 1.5
Twitter ana followers 350,000
Mfono kwenye instagram akisema kuna nyimbo mpya imetoka nenda youtube , tuseme watu robo wameenda kutazama youtube maana yake ndani ya siku moja watu zaidi ya laki 500,000 wanaweza kutazama.
Akiweka nyimbo youtube wale subscibers 420,000 wanapata notifications maaana yake hao wote wanadondokea kwenye viewers.
Facebook na twitter nako hivo hivo
Ni akili ndogo tu ndo inaweza amini diamond ananunua views
Alianza Diamond bwanaSio kweli ukitizama post zao na aina za vijembe
But, kununua viewers Inawezekana kabisaPia domo Ana mashabiki wengi sana east Africa sana sana Kenya, nMaa anapendwa sana, no ngumu kuamini ananunua viewwrs
Ni lazima kuwa na demu? na hata akiwa na demu ni lazima kumtangaza?Ila inawezeka anapumuliwa kweli mbona hii skendo imekuwa ina muda sasa na hatumuon na dem yeyote yule
Ukinunua viewers YouTube hawatakulipa thereafter, acha kulopokwa dogo. The same applies kwa wale wanaonunua tuzo hasa zile zinazoenda sambamba na $¥£€Umeongea fact,: youtube sio wajinga kiasi uwe unanunua viewers alafu waje wakulipe pesa na tuzo pia wakupe.
Hawa wanaopiga kelele za viewers ni wale wenye chuki na wivu mwenzao anavyofanikiwa
Akinunua mjengo mnasema katoa wapi hela ila hela za kunnua view na tuzo anazo mbona wabongo ni wavivu sana jamaa ana hustle usiku na mchana lkn watu hamuoni juudi zakeUkinunua viewers YouTube hawatakulipa thereafter, acha kulopokwa dogo. The same applies kwa wale wanaonunua tuzo hasa zile zinazoenda sambamba na $¥£€
Vipi povu la ommy lenyewe unalikubali et???Kama itakuwa dimpoz hapumuliwi halafu diamond kasema anapumuliwa ili apate kiki..kiuwanaume itakuwa sio fresh kabisa hasa kwa baadae. Kuna wasanii wengi walipata skendo hizi tukaambiwa na habari zilivuma sana ni mashoga kipindi hicho lakini sasa wameoa na wana watoto.
Mfano Mr blue, mzee yusuph, dully sykes, michael jackson etc.
Kaamua kuweka maisha yake ya kimahusiano privately kwani lazma ajirecord bafuni analamba kwapa (Which is ulimbukeni) mwanaume wa ukweli huwezi kumuexpose mwanamke unahemushimu kiasi hicho tena mama watoto wako duhNi lazima kuwa na demu? na hata akiwa na demu ni lazima kumtangaza?
Swali zuri maana yake ni kwamba usipoona bandiko instagram basi utakutana nalo facebook au twitterWhat if hao subscribers, followers n.k ndio hao hao. Kwa Mfano Mimi nipo naye instagram, tweeter, facebook, YouTube
You nailed itKaamua kuweka maisha yake ya kimahusiano privately kwani lazma ajirecord bafuni analamba kwapa (Which is ulimbukeni) mwanaume wa ukweli huwezi kumuexpose mwanamke unahemushimu kiasi hicho tena mama watoto wako duh
Mbona wasanii wengi tu hatuwajui wapenzi wao