Baada ya WCB kutoa Wimbo: Ommy Dimpoz atao mapovu, Diamond amjibu

Baada ya WCB kutoa Wimbo: Ommy Dimpoz atao mapovu, Diamond amjibu

brave one

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
4,879
Reaction score
7,386
Baada ya rich mavoko kuachia wimbo aliomshirikisha diamond ,
Msanii alie karibu na alikiba ommy dimpoz amaamua kurusha dongo kwa WCB huku akiamini WCB wananunua viewers
1479850794943.jpg

Hata hivyo kama mnavyojua Diamond na uswahili wake hakutaka kuacha lipite kimya kimya akaamua kumjibu ommy dimpoz kwa kutupia dongo
1479850912462.jpg
 
Hii baada ya domo na mavoko kuachia ngoma povu likamtoka ommy akimshushia domo kuwa aache mziki wa ujanja ujanja akimanisha kuwa domo aache tabia zake za kununua view, tunzo kuwa awekeze kwenye mziki mzuri usio na ujanja ujanja naye domo hakuwa mbali akamjibu kuwa nae apunguze tabia za kipunga

Screenshot_2016-11-23-00-51-21.png

Screenshot_2016-11-23-00-38-49.png
 
Hii baada ya domo na mavoko kuachia ngoma povu likamtoka ommy akimshushia domo kuwa aache mziki wa ujanja ujanja akimanisha kuwa domo aache tabia zake za kununua view, tunzo kuwa awekeze kwenye mziki mzuri usio na ujanja ujanja naye domo hakuwa mbali akamjibu kuwa nae apunguze tabia za kipunga

Ulikuwa nao walipokuwa wanajibishana?

Hata screenshot kushusha humu vipee?

Ommy anajua bila Diamond hawawezi kupaa, na ndio wanatafuta kiki kupitia jina lake. Hakuna lingine. sio kwa mipovu aliyoitoa ili nao wapate views, shame kwa wanamuziki na mwenzake....mfyuuuuu zao
 
diamond alikuwa rafik na ommy sasa kwa diamond kuongea hivyo inamaana ni ukweli mtu na diamond alikuwa rafk ya nay wa mitego na ney aliambiwa na diamond sasa hapo ukweli umepatikana haina haja ya kuficha mambo na shemeji hatumjui
 
Back
Top Bottom