Baada ya WCB kutoa Wimbo: Ommy Dimpoz atao mapovu, Diamond amjibu

Baada ya WCB kutoa Wimbo: Ommy Dimpoz atao mapovu, Diamond amjibu

Kwahiyo shida yako wewe ni kuona kutimia utabiri wa kuanguka tu; BASI!
Sifanyi utabiri na siombei , kwa muonekano wangu ninavyoona hali halisi anavoendesha biashara yake ya muziki . abadilishe kazidisha usanii mapicha picha tu video ni kufanana maudhui ya muziki wake ni yale yale , soon watu watachoka na ndio kuporomoka kwenyewe .
Dimpoz hajakosea
 
Dua LA kuku hili unashindwa kumuombea yeye afanikiwe zaidi baadhi ya watanzagiza kama sie tupate ajira unabaki kuombea ashindwe wabongo bwana na kwa taarifa yako huyo harudi nyuma alianza na kina iyobo wamefanikiwa watakuja wengine na watafanikiwa kupitia yeye huyu sio msanii mbinafsi kama kamtu fulani
Iyobo kafanikiwa kuolewa na huyo mbongo muvi makapi
 
Kwa akili ya kawaida ni wajinga tu wanaweza kuamini diamond ananunua viewers
Twende na facts
Diamond ana followers milioni 3 instagram ,
Youtube ana subscibers 422,320
Facebook ana followers milioni 1.5
Twitter ana followers 350,000
Mfono kwenye instagram akisema kuna nyimbo mpya imetoka nenda youtube , tuseme watu robo wameenda kutazama youtube maana yake ndani ya siku moja watu zaidi ya laki 500,000 wanaweza kutazama.
Akiweka nyimbo youtube wale subscibers 420,000 wanapata notifications maaana yake hao wote wanadondokea kwenye viewers.
Facebook na twitter nako hivo hivo
Ni akili ndogo tu ndo inaweza amini diamond ananunua views
Mkuu umejitaidi sana kudadavua ktk ili,kiukweli nakupongeza kama diamond angetoa fact kama izo zingetosha kabisa kua ni jibu kwa wanaozani ananunua,binafsi yangu siamini katika ilo sababu diamond kwa alipofikia sio wakubishana na ommy maana atashusha hadhi yake,namkubali diamond sana lakini sio mshabiki wake katika suala zima la mziki ila sipendi diamond ashuke kimziki wala kimaisha kwani mfano wakuigwa katika nchi yetu
 
Unawajua in and out?...dah huyo domoo anaharibu vijana
 
Eeeh Mungu okoa kizazi hiki maana sasa nishidaaaaa .....Ila wa michezo hio wote mnajuana na nimtandao mkubwa
 
Kaamua kuweka maisha yake ya kimahusiano privately kwani lazma ajirecord bafuni analamba kwapa (Which is ulimbukeni) mwanaume wa ukweli huwezi kumuexpose mwanamke unahemushimu kiasi hicho tena mama watoto wako duh

Mbona wasanii wengi tu hatuwajui wapenzi wao
Hata ay maisha yake ya mahusiano yako private but hajawah kuitwa shoga, kwann yeye hii skendo imtembee
 
Kwa mtu kama mimi niliye na uzoefu wa miaka 5+ nikiwa na YouTube channels zaidi ya Sita, wanavyodai mtu ananunua views 8M+ huwa nacheka sana.

Njia pekee ya kununua views YouTube ni through YouTube promotions kama wanavyofanya Coke Studio, Tigo, Vodacom Nk, Na ni gharama sanaa.
 
Nasikia wasanii wengi sana wanapumuliwa ata yule msanii mkubwa mwenye status kubwa apa mjini jerry joshy na yy et anapumuliwa cjui izo story za kweli
Kinacho waponza ni pale wanapoanza game sasa wengine huanza na waara-bu wa town ......so sad
 
Ndio shida kwamba mond aache kuimba mtasubili sana. Ameshawapita mbali kumkuta sio leo wala kesho
 
Mkuu huwezi kumiliki Nyumba south Africa kama Huna uraia wa south Africa...kama Zari ana uraia basi nyumba ni ya Zari au kama Tiffah ana uraia basi nyumba ina jina la Tiffah ila haiwezi kuwa na jina la Naseeb kama unabisha mwambieni aweke Hati ya nyumba.
Zari na mumewe wana college kule na biashara nyingine, kuna uwezekano zari akawa raia was huko pia
 
Back
Top Bottom