Baada ya Wema kubwagwa, Diamond achafua hali ya hewa

naona wameandika kama vile leo ndio ametoa shukurani, na siku hizo alitoa shukurani nyingi sana kwa wana Singida.

Nafurahia anawakumbusha wana Kilimanjaro wasikose kufika kumuona leo akifanya show tamu tamu mpaka kieleweke

#watanyooka tu

msisahau kupiga kura tuzo za Nigeria Awards na Afrimma USA
sechi utazipata...Afrimma voti mara nyingi tu, ingine kila siku rudi
 
Hahahaaa bora wapate kwa kupumzikia...KUKATWA si shughuli ndogooo.
 
Ameyaoga matusi ipasavyo kama picha ijielezavyo!

Unayajua matusi Mkuu hakuna tusi hapo.mimi siku zote huwa nasema Wema angekuwa anajitambua aiseee.. angekuwa na pesa mbaya Wema ni pesa yule ule umaarufu (umeanza kufa) ilikuwa ni pesa watu wanaomzunguka Wema hawajitambui Jina la Wema ni mgodi ningekuwa ndio meneja wake tungekuwa matajiri kwa jina lake jina la Wema ni biashara tosha asingeishi kwa kutegemea mabwana. Ila hapa nilipo nakunywa bia kusheherekea kukosa ubunge kwao maana hawajitambui karibuni koppa Cabana hapa tbt natoa ofa
 
Hiv alidhan ubunge n mchezo wa kuigiza!?? kuwa sasa umefulia huna chanzo cha mapato unaamua kujitupia tu kwny ubunge!! kwel Kanumba kaondoka na ndoto za wengi. Nyota ya uigizaj imekufa kbsa, kabak na umaarufu bila shughuli ya kueleweka mjn.. Anyway kakosa ubunge akawahi udiwan kata km bdo hajachelewa..! Hatuhitaj wasanii bungeni
 
Haaaaa hii ndio mbaya kwake na yaliyomkuta Jojo last week,

Duh ila kukatwa kubaya jamani,
Daa kusema ukweli nime muonea huruma daa siasa ina maumivu ya pekee tofauti na vitu vingine..mtu hufikiri amekataliwa na dunia....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…