Baada ya Wema kuikacha party ya Idriss aomba msamaha kupitia mtandao wa instagram

Kumbeee[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] daah!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wema Ana karoho ka kujiona yeye ndio kila kitu aabudiwe.
Miss drama queen. Mwili mkubwa akili hamna.
 
Huyu mwanamke nae ni kichwa maji..... mwili tembo ubongo nukta, anajulikana mji mzima hawezi kukosa nguo
No wonder kila project yake mjini inabuma ataishia kupiga picha na kupost insta huku wenzie akina Jokate wanasafiri dunia, wanafanya mambo ya kijamii na wanaaminiwa na watu wenye kuheshimika na potential.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…