Dah... e bhana mi niko poa ile mbaya... shwari lakini?NasDaz habari yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah... e bhana mi niko poa ile mbaya... shwari lakini?NasDaz habari yako
Dah... e bhana mi niko poa ile mbaya... shwari lakini?
Duh! geniveros unatupiga fix mchana kweupeeee.... hebu fuata hii link: Diamond ang'ara tuzo za Kili music awards 2012,anyakua tuzo tatu kwa mpigo. ~ JIACHIE . Moja ya nukuu kwenye hiyo link: Msanii mahiri wa muziki wa kizazi kipya (Bongofleva) Nassib Abdul a.k.a Diamond usiku huu amengara kwenye tuzo za Kilimanjaro Music Award 2012, baada ya kujinyakulia tuzo tatu.Namshukuru Mungu, wakati mwingine uvumilivu na subira ni mzuri. Mwaka jana sikupata tuzo, nikamshukuru Mungu, nikaongeza bidii, nikafanya kazi nzuri, leo nimeibuka na tuzo tatu,alisema.Tuzo hizo ni ( Mtunzi Bora wa nyimbo,tuzo ya video bora ya Mwaka moyo wangu na tuzo ya Mtumbuizaji bora wa kiume." Haya, nifah... sema sasa-- unataka kusema wakati Diamond anasingizia kufa wakati hata kusingizia kuzimia hawezi ilikuwa 2011?
WHAAAAAT? We unasemaje wewe? Utani? Mi nataka kweli halafu unasema utani?
video ya mwaka ganiDah... e bhana mi niko poa ile mbaya... shwari lakini?
Baambiege hao...
Duh! Hii ngoma unanikumbusha mbali sana mazei... ingawaje sikumbuki ni ya mwaka gani ila nadhani kama sio 2006 basi 2007 coz' nakumbuka hii ngoma kipindi hicho nilikuwa mahali ambako niliwepo hiyo miaka!!! Hii video angeniwekea nifah wallah tena leo ningenenepea kitandani!
video ya mwaka gani
WHAAAAAT? We unasemaje wewe? Utani? Mi nataka kweli halafu unasema utani?
rudia vizuri kusoma maandishi yako ndo utaelewaDuh! geniveros unatupiga fix mchana kweupeeee.... hebu fuata hii link: Diamond ang'ara tuzo za Kili music awards 2012,anyakua tuzo tatu kwa mpigo. ~ JIACHIE . Moja ya nukuu kwenye hiyo link: Msanii mahiri wa muziki wa kizazi kipya (Bongofleva) Nassib Abdul a.k.a Diamond usiku huu amengara kwenye tuzo za Kilimanjaro Music Award 2012, baada ya kujinyakulia tuzo tatu.Namshukuru Mungu, wakati mwingine uvumilivu na subira ni mzuri. Mwaka jana sikupata tuzo, nikamshukuru Mungu, nikaongeza bidii, nikafanya kazi nzuri, leo nimeibuka na tuzo tatu,alisema.Tuzo hizo ni ( Mtunzi Bora wa nyimbo,tuzo ya video bora ya Mwaka moyo wangu na tuzo ya Mtumbuizaji bora wa kiume." Haya, nifah... sema sasa-- unataka kusema wakati Diamond anasingizia kufa wakati hata kusingizia kuzimia hawezi ilikuwa 2011?
Kutania?! 'Afu iweje? Mi nataka kweli aiseeKwa hiyo huna utanii??
Kutania?! 'Afu iweje? Mi nataka kweli aisee
Fuata hiyo link kisha rejea ulichoandika... kwa haraka haraka tu, umedai hakupata tuzo tatu bali ni mbili au moja... kama utashindwa kufungua link, basi angalau soma hapo kwenye blue colored!rudia vizuri kusoma maandishi yako ndo utaelewa
maana mi sijaona fix zangu ziko wapi?!!
Makubwaa
Seuze 2013 tena... kwani My Number One (original) ni ya mwaka gani? Sema kuna maneno inasemekana aliyaongea na baadhi ya watu wakam-mind! Inasemekana alisema kwamba ingawaje alishinda lakini hakuwahi kufanya kampeni ya kupigiwa kura sasa wadau wakaona ni kama anasema mashabiki wamejipendekeza kumpigia kura... hii kauli ndiyo nadhani aliyoichanganya geniveros kwamba ali-mind kuchaguliwa mwanamuziki bora wakati hakuna nyimbo yake iliyoshinda!Labda nimejichanganya....niambie 2013 alipata tuzo ngapi..
Fuata hiyo link kisha rejea ulichoandika... kwa haraka haraka tu, umedai hakupata tuzo tatu bali ni mbili au moja... kama utashindwa kufungua link, basi angalau soma hapo kwenye blue colored!
Seuze 2013 tena... kwani My Number One (original) ni ya mwaka gani? Sema kuna maneno inasemekana aliyaongea na baadhi ya watu wakam-mind! Inasemekana alisema kwamba ingawaje alishinda lakini hakuwahi kufanya kampeni ya kupigiwa kura sasa wadau wakaona ni kama anasema mashabiki wamejipendekeza kumpigia kura... hii kauli ndiyo nadhani aliyoichanganya geniveros kwamba ali-mind kuchaguliwa mwanamuziki bora wakati hakuna nyimbo yake iliyoshinda!