Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Tukalaleeeee...
Halaf tukararweeeeeee weweeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tukalaleeeee...
MI nadhani tunataka kuleta ligi isiyo na faida yoyote! nifah alitaja mwaka juzi... Dinazarde akasema mwaka juzi Diamond alipata tuzo tatu (na ni kweli)... wewe ukam-quote Dina na kusema sio tatu bali ni mbili au moja na kudai kwamba Diamond ali-mind! Sasa ikiwa Dinazarde alitaja tuzo za mwaka 2012 na wewe ukam-quote hapo anapozungumzia tuzo za 2012, huoni kwamba by default na wewe ulikuwa unazungumzia tuzo za mwaka 2012?asante sasa umenielewa unajua ilikua mwaka gani?!!
so fix zangu ziko wapi?sasa@NasDaz?
Una maneno.....!!!Halaf tukararweeeeeee weweeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Una maneno.....!!!
MI nadhani tunataka kuleta ligi isiyo na faida yoyote! nifah alitaja mwaka juzi... Dinazarde akasema mwaka juzi Diamond alipata tuzo tatu (na ni kweli)... wewe ukam-quote Dina na kusema sio tatu bali ni mbili au moja na kudai kwamba Diamond ali-mind! Sasa ikiwa Dinazarde alitaja tuzo za mwaka 2012 na wewe ukam-quote hapo anapozungumzia tuzo za 2012, huoni kwamba by default na wewe ulikuwa unazungumzia tuzo za mwaka 2012?
Samahani, nitalazimika kukupuuza angalau kwa hili!!jibu swali unakumbuka mwaka gani?!!
Samahani, nitalazimika kukupuuza angalau kwa hili!!
mnh! Umechangamka utafikiri chuzi la chuku chuku lililomwagiw ndimu??!!Weeeweeeeeeeeee weraaaa weraaaaaaaaaaaa
mnh! Umechangamka utafikiri chuzi la chuku chuku lililomwagiw ndimu??!!
Raha upewe ndo utaijua raha... raha ya kujipa mwenyewe si raha bali ni karaha... na ndio maana kuna kulala na kulalwa... wa kulala anajipa raha na huyo mwingine anapewa raha!Hhhhhhaaaaaaaaaaaaaaaa raha jipe mwenyeweee
Raha upewe ndo utaijua raha... raha ya kujipa mwenyewe si raha bali ni karaha... na ndio maana kuna kulala na kulalwa... wa kulala anajipa raha na huyo mwingine anapewa raha!
Duh! Hii ngoma unanikumbusha mbali sana mazei... ingawaje sikumbuki ni ya mwaka gani ila nadhani kama sio 2006 basi 2007 coz' nakumbuka hii ngoma kipindi hicho nilikuwa mahali ambako niliwepo hiyo miaka!!! Hii video angeniwekea nifah wallah tena leo ningenenepea kitandani!
Wewe mwenye gazeti hapo juu nadhani ungeuliza wakati wema miss tz dangote alikuwa anosha vyombo tandale wema kamchukua dangote akiwa apeche alulu na ka wimbo kake kamooja tatizo tandale safi sana wema mapenzi peleka kwa wahindi piga kazi mama hata mimi nakusapoti mkataviuno akaoe penny
Mbwa mamako shwaini wewe.Wema ---- tuu hana jipya kila kona anatumika kama kondom kwenye dangulo ...mikashifa kibao mbwa yule
Bora waachane tu,Ukiolewa na Diamond ni stress tupu,ukoo wote unamtegemea.asomeshe watoto wa esma,amlishe esma ,mama yake,ukiolewa na mtu wa hivi hutaifurahia ndoa.
Duh... ni mwoga ile mbaya!!!Hayaaaa weeeee inatoshaaa