Anachokifanya Wema kwasasa ni kupambana na mavuno ya alichokipanda,watu hili huwa wanalisahau kuwa UKIANZISHA VITA BASI USIMPANGIE ADUI YAKO PA KUKUPIGA WALA MUDA WA KUISHA VITA. Alichukulia poa tu,kuwa anatafuta kiki kumbe watu walimuweka kiporo. Eti sasahivi anatafuta huruma za waja,keshasahau kauli zake za kuuzi "mtoto m'bayaaa" hakujua mpangaji ni Mungu ....?? mara "tunataka DNA" unataka DNA wewe nani yao ...??? mara "mtoto wa Katunzi" PAMBANA NA VITA YAKO USIOMBE KUSAIDIWA,SI HUWA UNATAFUTA KIKI ...??