Baada ya Wema Sepetu kushambuliwa na mashabiki wa Zari kuwa hazai, aamua kujibu mapigo

Baada ya Wema Sepetu kushambuliwa na mashabiki wa Zari kuwa hazai, aamua kujibu mapigo

Wema apunguze UMALAYA hata kama ni kipaji alichonacho.. Kinamharibia sana.

Asitafute sympathy kwa kusema sijui Mungu bado hajampangia wakati muda wote yupo anapigwa miti ovyo ovyo mitaani huko.
 
Anachokifanya Wema kwasasa ni kupambana na mavuno ya alichokipanda,watu hili huwa wanalisahau kuwa UKIANZISHA VITA BASI USIMPANGIE ADUI YAKO PA KUKUPIGA WALA MUDA WA KUISHA VITA. Alichukulia poa tu,kuwa anatafuta kiki kumbe watu walimuweka kiporo. Eti sasahivi anatafuta huruma za waja,keshasahau kauli zake za kuuzi "mtoto m'bayaaa" hakujua mpangaji ni Mungu ....?? mara "tunataka DNA" unataka DNA wewe nani yao ...??? mara "mtoto wa Katunzi" PAMBANA NA VITA YAKO USIOMBE KUSAIDIWA,SI HUWA UNATAFUTA KIKI ...??
[emoji23] [emoji23]
 
Huyu hata mji wa uzazi uko kweli..? nadhani umemalizwa muda, hana kitu..
 
Aolewe atulie na mme atazaa tu ila kwa kutangatanga kiguu na njia mimba ataisikia kwenye TV.
 
"Ulimi" ni kiungo kidogo sana ila madhara yake ni makubwa
 
Kama yameisha inatakiwa anyamaze, kwasababu sasahivi kinachoendelea "timu wema" inaenda kumtukana Zari,uzuri yeye zari hawajibu kawanyamazia na ndio "timu zari" na wenyewe wanaenda kumpa machungu wema. Sasa Wema angekuwa na busara kwanza asingewajibu, lakini kama anaumia sana angewaambia hao wanaojiita "timu wema" wasiende kutukana watu. Cha msingi kabla hujatafuta hiyo inayoitwa kiki, tafakari kwanza hatima yake.

Zari wala hajanyamaza anatoaga mabobu huko ista Ila huyu zari nae anapenda maisha ya ista Kama
Kweli ngangari kwanini ajirekodi sisi washangiliaji maumivu anayo yeye
 
Back
Top Bottom