Baada ya Wema Sepetu kushambuliwa na mashabiki wa Zari kuwa hazai, aamua kujibu mapigo

Wema apunguze UMALAYA hata kama ni kipaji alichonacho.. Kinamharibia sana.

Asitafute sympathy kwa kusema sijui Mungu bado hajampangia wakati muda wote yupo anapigwa miti ovyo ovyo mitaani huko.
 
[emoji23] [emoji23]
 
Huyu hata mji wa uzazi uko kweli..? nadhani umemalizwa muda, hana kitu..
 
Aolewe atulie na mme atazaa tu ila kwa kutangatanga kiguu na njia mimba ataisikia kwenye TV.
 
"Ulimi" ni kiungo kidogo sana ila madhara yake ni makubwa
 

Zari wala hajanyamaza anatoaga mabobu huko ista Ila huyu zari nae anapenda maisha ya ista Kama
Kweli ngangari kwanini ajirekodi sisi washangiliaji maumivu anayo yeye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…