Baada ya Yanga kufunga goli la nne, Msemaji wao Ally Kamwe azimia uwanjani; Apelekwa Hospitalini

Baada ya Yanga kufunga goli la nne, Msemaji wao Ally Kamwe azimia uwanjani; Apelekwa Hospitalini

Danielmwasi

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2021
Posts
2,134
Reaction score
3,834
Screenshot_20240224_232027_Chrome.jpg
 
Robo fainali iheshimiwe..mliokua mnaibeza Simba kwa sasa nadhani akili zinaanza kukaa sawa...
 
Hivi hivi watu hua wanapata presha na kuondoka kimasihara sabab ya mpira wa simba na yanga

Vitu vingine watu wasiwe na mapenzi na timu yaliyopitiliza
 
Back
Top Bottom