Baada ya Yanga kujitenga, Familia ya Yusuph Manji yahitimisha msiba bila ya Yanga!

Baada ya Yanga kujitenga, Familia ya Yusuph Manji yahitimisha msiba bila ya Yanga!

Nifah

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2014
Posts
34,020
Reaction score
79,098
IMG_5679.jpeg

Ndugu wanajukwaa, leo familia ya Manji wamehitimisha msiba wa mpendwa wetu Yusuph Manji uliotokea Jumamosi ya wiki iliyopita kwa Dua maalumu iliyosomwa na viongozi mbalimbali wa kidini wakiongozwa na Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh Abubakar Zubeir katika viwanja vya Karimjee.

Katika jambo lililowashangaza wengi ni ratiba rasmi ya dua hiyo iliyotolewa na familia hiyo ya Manji kutokuonekana kwa Klabu ya Yanga ambayo marehemu aliifadhili kwa miaka mingi!

Ratiba imeweka wazi kwamba atakuwepo mwakilishi kutokea tasnia ya mpira na sio kama ambavyo ilipaswa kuwepo Yanga, mwakilishi kwenye soka anaweza kuwepo yeyote hata kutokea kwa watani zetu, Simba.

IMG_5680.jpeg
IMG_5681.jpeg


Yanga, tumefikaje hapa?
Hadi familia kufikia hatua hii lawama zote wanabeba uongozi wa Yanga chini ya Eng. Hersi. Tokea kutangazwa kwa kifo cha Manji macho yetu tulio wengi yaliigeukia Yanga, kinyume na matarajio ya tulio wengi Yanga walitoa pole kwa familia pekee kisha wakaendelea na mambo mengine bila kuupa uzito msiba huu wa kiongozi muhimu zaidi kutokea kwenye historia ya mpira nchi hii.

Hersi na wenzio, mnajua kwamba hadi leo hii hakuna mwekezaji yeyote aliyefadhili klabu yoyote kwa pesa zake mwenyewe bila nia ya kujineemesha kibiashara zaidi ya Manji?

Mnajua kwamba hadi sasa ufadhili wenu GSM hapo Yanga haujafikia hata nusu tu ya aliyoyafanya Manji kwa Yanga bila shinikizo wala mabandiko ya bidhaa zake kwa kutumia nembo ya Yanga?

Kwanini mmemtenga Manji kiasi hiki? Mnafikiri yote haya aliyoyafanya mtatusahaulisha kwa kuupuza msiba wake? Manji aliwakosea nini hadi kuvunjiwa heshima aliyoijenga kwa dhati hapo Yanga? Kweli Manji anafariki hadi kuzikwa na hadi leo hii dua hamjihusishi kwa lolote?

Mashabiki wenzangu tumemwamngusha Manji!
Tukiachana na GSM ambao wana maslahi yao binafsi tofauti na sisi wapenzi na mashabiki wa Yanga, pia tunabeba lawama.

Kwanini tulishindwa kuushinikiza uongozi kumuenzi Manji baada ya kuona wameupuuza msiba wa Mwananchi mwenzetu? Leo hii tumesahau alikotutoa Manji? Popote linapotajwa jina la Manji Yanga haikosi kuwepo, kwanini tumeshindwa kumpa heshima? Tumekosa fadhila kiasi hiki kwa mtu aliyetutoa kwenye mabakuli na kutupa heshima tulipokuwa dhalili?

Nimeumizwa sana, lakini nimekatishwa tamaa na uongozi niliouona makini na kuusifu mara nyingi waziwazi chini ya Hersi. Huu ni udhalimu na hakika Manji hatotusamehe!

Nikitokea hapa Karimjee, ndimi mnazi wa Yanga niliyeumizwa…

Nifah
 
Hao wanajuana sitaki kuamini Yanga hawana ubinadamu kiasi hicho

Kuna mwanachama wa Yanga alifariki mwaka jana uongozi wa Yanga ulikuja huku mitaa ya kwetu akiwepo Alikamwe, sembuse Manji aliyekua mwekezaji

Mara nyingi yanga wapo mbele kwenye misiba ya watu wao wa karibu

Wao na Manji walikua na mambo yao wanajuana!
 
Hao wanajuana sitaki kuamini Yanga hawana ubinadamu kiasi hicho

Kuna mwanachama wa Yanga alifariki mwaka jana uongozi wa Yanga ulikuja huku mitaa ya kwetu akiwepo Alikamwe, sembuse Manji aliyekua mwekezaji

Mara nyingi yanga wapo mbele kwenye misiba ya watu wao wa karibu

Wao na Manji walikua na mambo yao wanajuana!
Mpaka familia wanafikia hatua ya kutokuihusisha Yanga kwenye dua ya mpendwa wao sio jambo dogo, wamezingua.
 
Hao wanajuana sitaki kuamini Yanga hawana ubinadamu kiasi hicho

Kuna mwanachama wa Yanga alifariki mwaka jana uongozi wa Yanga ulikuja huku mitaa ya kwetu akiwepo Alikamwe, sembuse Manji aliyekua mwekezaji

Mara nyingi yanga wapo mbele kwenye misiba ya watu wao wa karibu

Wao na Manji walikua na mambo yao wanajuana!
Yanga kama Yanga walishamsomea Dua , ila hili la leo ni jipya , kuna hoja asikilizwe
 
View attachment 3035616
Ndugu wanajukwaa, leo familia ya Manji wamehitimisha msiba wa mpendwa wetu Yusuph Manji uliotokea Jumamosi ya wiki iliyopita kwa Dua maalumu iliyosomwa na viongozi mbalimbali wa kidini wakiongozwa na Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh Abubakar Zubeir katika viwanja vya Karimjee.

Katika jambo lililowashangaza wengi ni ratiba rasmi ya dua hiyo iliyotolewa na familia hiyo ya Manji kutokuonekana kwa Klabu ya Yanga ambayo marehemu aliifadhili kwa miaka mingi!

Ratiba imeweka wazi kwamba atakuwepo mwakilishi kutokea tasnia ya mpira na sio kama ambavyo ilipaswa kuwepo Yanga, mwakilishi kwenye soka anaweza kuwepo yeyote hata kutokea kwa watani zetu, Simba.

View attachment 3035619View attachment 3035620

Yanga, tumefikaje hapa?
Hadi familia kufikia hatua hii lawama zote wanabeba uongozi wa Yanga chini ya Eng. Hersi. Tokea kutangazwa kwa kifo cha Manji macho yetu tulio wengi yaliigeukia Yanga, kinyume na matarajio ya tulio wengi Yanga walitoa pole kwa familia pekee kisha wakaendelea na mambo mengine bila kuupa uzito msiba huu wa kiongozi muhimu zaidi kutokea kwenye historia ya mpira nchi hii.

Hersi na wenzio, mnajua kwamba hadi leo hii hakuna mwekezaji yeyote aliyefadhili klabu yoyote kwa pesa zake mwenyewe bila nia ya kujineemesha kibiashara zaidi ya Manji?

Mnajua kwamba hadi sasa ufadhili wenu GSM hapo Yanga haujafikia hata nusu tu ya aliyoyafanya Manji kwa Yanga bila shinikizo wala mabandiko ya bidhaa zake kwa kutumia nembo ya Yanga?

Kwanini mmemtenga Manji kiasi hiki? Mnafikiri yote haya aliyoyafanya mtatusahaulisha kwa kuupuza msiba wake? Manji aliwakosea nini hadi kuvunjiwa heshima aliyoijenga kwa dhati hapo Yanga? Kweli Manji anafariki hadi kuzikwa na hadi leo hii dua hamjihusishi kwa lolote?

Mashabiki wenzangu tumemwamngusha Manji!
Tukiachana na GSM ambao wana maslahi yao binafsi tofauti na sisi wapenzi na mashabiki wa Yanga, pia tunabeba lawama.

Kwanini tulishindwa kuushinikiza uongozi kumuenzi Manji baada ya kuona wameupuuza msiba wa Mwananchi mwenzetu? Leo hii tumesahau alikotutoa Manji? Popote linapotajwa jina la Manji Yanga haikosi kuwepo, kwanini tumeshindwa kumpa heshima? Tumekosa fadhila kiasi hiki kwa mtu aliyetutoa kwenye mabakuli na kutupa heshima tulipokuwa dhalili?

Nimeumizwa sana, lakini nimekatishwa tamaa na uongozi niliouona makini na kuusifu mara nyingi waziwazi chini ya Hersi. Huu ni udhalimu na hakika Manji hatotusamehe!

Nikitokea hapa Karimjee, ndimi mnazi wa Yanga niliyeumizwa…

Nifah
 
Yanga kama Yanga walishamsomea Dua , ila hili la leo ni jipya , kuna hoja asikilizwe
Kama Yanga walimsomea dua, na familia kwenye hili tukio hawajataka msemaji special kutoka Yanga inaonesha tatizo halipo kwa Yanga bali kwa Familia

Mnakuza tu mambo!
Matajiri huwa hawapendi mambo yawe mengi kugandana.
Kutaka msemaji mmoja kutoka upande wa sport mbona inatosha?

Maskini ndio wanatakaga kila kikundi alichokuwepo marehemu atoke mtu kuongea kitu ambacho matajiri hawana
 
Hersi aje atuambie , kwa nini Yanga chini ya uongozi wake haikuupa msiba wa Manji uzito stahiki?

Asidhani Wanayanga tunaweza kumsahau Manji kirahisi rahisi!

Yaani Hersi unashindwaje kwa mfano kuitisha tukio maalum la Yanga kumuenzi Manji?

Yule hakuwa mfadhili tu, alikuwa Kiongozi wa Yanga!

Au Unaleta siasa za CCM kwa mtu wetu muhimu?

Hersi umezingua, tena umezingua big tym

R.I.P Mehboob Yusuf Manji
 
Kama Yanga walimsomea dua, na familia kwenye hili tukio hawajataka msemaji special kutoka Yanga inaonesha tatizo halipo kwa Yanga bali kwa Familia

Mnakuza tu mambo!
Matajiri huwa hawapendi mambo yawe mengi kugandana.
Kutaka msemaji mmoja kutoka upande wa sport mbona inatosha?

Maskini ndio wanatakaga kila kikundi alichokuwepo marehemu atoke mtu kuongea kitu ambacho matajiri hawana
Naheshimu mawazo yako mkuu
Ila ukichunguza unaona kulikuwepo nia mbaya kumfifisha Mwenyekiti wa zamani Manji
Hata ukiangalia kwenye mitandao page ya Yanga wapo tu kama Bora liende
 
Back
Top Bottom