Baada ya Yanga kujitenga, Familia ya Yusuph Manji yahitimisha msiba bila ya Yanga!

Baada ya Yanga kujitenga, Familia ya Yusuph Manji yahitimisha msiba bila ya Yanga!

Nipo hapa tushakula ubwabwa..tunaondoka. hivi marehemu si alikuwa anakesi mahakamani na bakwata wakigombea Ardhi iliishia wapi ..? Nakumbuka ule ugomvi hadi marehemu R.Mengi aliingia kati .. Ardhi inabeba watu .. ardhi uliyogombea ndio inayokumeza
Kila nafsi itaonja umauti Mkuu, hongera kwa kwenda kwenye dua ya kiongozi wetu.
 
Kama kumuenzi tu kwa kuupa heshima stahiki msiba wake pale Klabuni wameshindwa ndio yaje kuwa hayo makubwa? Labda waone aibu baada ya watu kupiga kelele.
Manji hawezi kupita kama hakuwepo laZima tumuenzi aiseee.
Nikikumbuka Ile
kampa kampa tena.
Sajili kubwa alizifanya tukashinda.
Uwanjani alilipia mashabiki masikini waliingia Bure.
Team yetu ilipata vikombe na heshima kubwa.
Kwa mapenzi yake tu
 
Pale yuko Amiss Tambwe
Kule yupo Mbuyu Twite
Kati yupo Niyonzima
Pembeni yake yuko Donald Ngoma.

Manji kaleta hadi Wabrazil Pale
Kalipia uwanja mzima Wanayanga waingie mechi fulani bure.

Tutaanzaje kumsahau mtu kama huyu aisee?
 
Waache midomo ya Kike, mtu akifa azikwe tu si lazima dunia nzima tukaushangae msiba.

Mambo ni mengi watu tushaquit mazishi ya ndugu wa karibu kwa sababu nyepesi kabisa "Ubusy " sembuse wabia wa biashara.
 
Mbona kwny pages zao kila siku wanatoa makala fupi kumhusu Manji. Ameshahojiwa Ngasa na Mtu wa benchi la ufundi. Na kuhusu dua mbona ilitangazwa kwmb Yanga watashiriki na azam tv itarusha live ktk ukumbi wa diamond jubilee
Kwa hiyo kwa heshima ya Manji unaona hivyo ni sawa? Unajua hapa tunamuongelea Manji na sio Mzee Akilimali?
 
Kama Yanga walimsomea dua, na familia kwenye hili tukio hawajataka msemaji special kutoka Yanga inaonesha tatizo halipo kwa Yanga bali kwa Familia

Mnakuza tu mambo!
Matajiri huwa hawapendi mambo yawe mengi kugandana.
Kutaka msemaji mmoja kutoka upande wa sport mbona inatosha?

Maskini ndio wanatakaga kila kikundi alichokuwepo marehemu atoke mtu kuongea kitu ambacho matajiri hawana
Upo sahihi.
 
Manji hawezi kupita kama hakuwepo laZima tumuenzi aiseee.
Nikikumbuka Ile
kampa kampa tena.
Sajili kubwa alizifanya tukashinda.
Uwanjani alilipia mashabiki masikini waliingia Bure.
Team yetu ilipata vikombe na heshima kubwa.
Kwa mapenzi yake tu
Na kikubwa ni kwamba alifanya kwa mapenzi yake kwa timu sio uwekezaji, lazima tumuenzi.
 
Pale yuko Amiss Tambwe
Kule yupo Mbuyu Twite
Kati yupo Niyonzima
Pembeni yake yuko Donald Ngoma.

Manji kaleta hadi Wabrazil Pale
Kalipia uwanja mzima Wanayanga waingie mechi fulani bure.

Tutaanzaje kumsahau mtu kama huyu aisee?
Ni vigumu, Manji aliipenda mno Yanga ndio maana nasema hatotusamehe kwa jinsi tulivyomtenga!
 
Back
Top Bottom