Baada ya Yanga kujitenga, Familia ya Yusuph Manji yahitimisha msiba bila ya Yanga!

Baada ya Yanga kujitenga, Familia ya Yusuph Manji yahitimisha msiba bila ya Yanga!

Waache midomo ya Kike, mtu akifa azikwe tu si lazima dunia nzima tukaushangae msiba.

Mambo ni mengi watu tushaquit mazishi ya ndugu wa karibu kwa sababu nyepesi kabisa "Ubusy " sembuse wabia wa biashara.
Hao ni ndugu zako Mkuu na mimi sijawaongelea wao, na sijakuongelea wewe kutokwenda msibani vilevile.
 
Taarifa zako nyingi(99.9%) kama sio zote huwa ni za uongo. Ngoja nijiridhishe na hii nitarudi
 
Yap,hii haijakaa poa kabisa

Tuache kutetea ujinga kisa mahaba ya kijinga ya ushabiki

Marehemu hakustahili kufanyiwa hivyo na timu aliyojitoa kwa hali na mali kuifadhili.
 
Yanga hatupo mjini au huna khabari?
Kwamba tokea msiba ulipotangazwa wiki iliyopita? Na kwa mtu aliyefanya makubwa kwa Yanga kumpa heshima yake mbona siku moja tu ingetosha sana? Kwa hili tuambizane ukweli ushabiki tuuweke pembeni.
 
Nimependa hao madogo, wataibeba sana kampuni yao maana haonekana wana akili sana.
Ngozi nyeusi tujifunze kitu
 
Nimependa hao madogo, wataibeba sana kampuni yao maana haonekana wana akili sana.
Ngozi nyeusi tujifunze kitu
Wenzetu wanalea watoto kufuata nyayo zao, kuanzia Manji kwa baba yake na sasa wanawe kwake.

Wametumia hekima sana kutupa nafasi na sisi tuliokuwa tunampenda baba yao kujumuika nao.
 
Mbona kwny pages zao kila siku wanatoa makala fupi kumhusu Manji. Ameshahojiwa Ngasa na Mtu wa benchi la ufundi. Na kuhusu dua mbona ilitangazwa kwmb Yanga watashiriki na azam tv itarusha live ktk ukumbi wa diamond jubilee
Wakala wa Makolo wanadhani kuleta chokochoko hivi wataiyumbisha Yanga
 
Back
Top Bottom