Baada ya Yanga kujitenga, Familia ya Yusuph Manji yahitimisha msiba bila ya Yanga!

Baada ya Yanga kujitenga, Familia ya Yusuph Manji yahitimisha msiba bila ya Yanga!

Wamekosea viongozi, hata kama walikuwa wametofautiana. Watu ikitokea mauti huungana. Ameshatangulia, haitawapunguzia chochote kwenye biashara zao.
Manji ni Yanga na Yanga ni Manji, alitutoa shimoni baba wa watu. Tunamuombea apumzike mahala pema, peponi. Amina.
 
Yeyote anae kumbuka ama alikuwepo enzi za manji lazima aumizwe na kifo cha yule mwamba mm mwenyewe ni simba ila manji alifaa apewe maua yake..Yanga mmesahau mlikua mnaitwa omba omba manji mpaka anawalipia kadi za uwanachama na mechi nyingine ananunua tiketi zote muingie bureee leo hata kufanya tamasha la kumuenzi mmeshindwa fakeni kabisa nyie ..watu wanafiki sana mmeonesha uswahili wa hali ya juu mbuzi nyie.....inauma sana nikikumbuka amsha amsha za Manji mara awapeleke uturuki wachezaji ahaaa#$$%#$
 
Mbona Yanga walishafanya dua ya Manji.
Halafu huu uzi umekaa kinazi sana. Sidhani kama Yanga chini ya Hersi ni mapoyoyo kiasi hicho. Poyoyo ni mtoa mada ambaye hajafika hapa na balance of the story. Yanga walifanya dua mbona hujasema?
Unataka special mention ya Yanga kwenye msimba na sio Football Community kama ilivyotajwa hapo. Hayo ni mawazo yako na sio waandaaji.
Inawezekana mtoa mada una hoja, lakini umefeli namna ya kuiwasilisha.
Nenda basi kwa uongozi wa Yanga tukasikie nao wanasemaje?
Bata wahed.
 
Yeyote anae kumbuka ama alikuwepo enzi za manji lazima aumizwe na kifo cha yule mwamba mm mwenyewe ni simba ila manji alifaa apewe maua yake..Yanga mmesahau mlikua mnaitwa omba omba manji mpaka anawalipia kadi za uwanachama na mechi nyingine ananunua tiketi zote muingie bureee leo hata kufanya tamasha la kumuenzi mmeshindwa fakeni kabisa nyie ..watu wanafiki sana mmeonesha uswahili wa hali ya juu mbuzi nyie.....inauma sana nikikumbuka amsha amsha za Manji mara awapeleke uturuki wachezaji ahaaa#$$%#$
Kwahiyo Yanga unataka waweke tamasha wakat ambapo hata msiba haujahitimishwa?
Unayajua mawazo ya viongozi kuwa hawana tena cha kufanya kwa Manji?
 
Wamekosea viongozi, hata kama walikuwa wametofautiana. Watu ikitokea mauti huungana. Ameshatangulia, haitawapunguzia chochote kwenye biashara zao.
Manji ni Yanga na Yanga ni Manji, alitutoa shimoni baba wa watu. Tunamuombea apumzike mahala pema, peponi. Amina.
Amen darling, asante.
 
Yeyote anae kumbuka ama alikuwepo enzi za manji lazima aumizwe na kifo cha yule mwamba mm mwenyewe ni simba ila manji alifaa apewe maua yake..Yanga mmesahau mlikua mnaitwa omba omba manji mpaka anawalipia kadi za uwanachama na mechi nyingine ananunua tiketi zote muingie bureee leo hata kufanya tamasha la kumuenzi mmeshindwa fakeni kabisa nyie ..watu wanafiki sana mmeonesha uswahili wa hali ya juu mbuzi nyie.....inauma sana nikikumbuka amsha amsha za Manji mara awapeleke uturuki wachezaji ahaaa#$$%#$
Asante.
 
Kwahiyo Yanga unataka waweke tamasha wakat ambapo hata msiba haujahitimishwa?
Unayajua mawazo ya viongozi kuwa hawana tena cha kufanya kwa Manji?
Kumbe hata huelewi? Leo ndio familia wamehitimisha msiba, hakutakuwa na shughuli nyingine za msiba wa Manji tena. Ndio maana ya kusomewa dua iliyosomwa leo.
 
Kumbe hata huelewi? Leo ndio familia wamehitimisha msiba, hakutakuwa na shughuli nyingine za msiba wa Manji tena. Ndio maana ya kusomewa dua iliyosomwa leo.
Sielewi nini? Huyo anazungumzia Yanga kuweka tamasha. Yaani muweke tamasha kati kati ya msiba?
 
Kumbe hata huelewi? Leo ndio familia wamehitimisha msiba, hakutakuwa na shughuli nyingine za msiba wa Manji tena. Ndio maana ya kusomewa dua iliyosomwa leo.
Uliwahi kusikia wapi tamasha la msiba?
Naweza kusema Yanga walitaka msiba uishe ndio waweke tamasha.
 
Ushiriki wao tu shida ilo tamasha watalifanyia wapi sis ni watani wa jadi ila kwenye ukweli tunaambiana....yangaaa mmezingua sana.
Mimi sio yanga. Lakini sioni sababu ya kufanya tamasha katikati ya msiba. We uliwahi kusikia wapi tamasha kwenye msiba?
Halafu mna viherehere utadhani nyie ni ndugu wa Manji.
Masikini bwana.
 
Mimi sio yanga. Lakini sioni sababu ya kufanya tamasha katikati ya msiba. We uliwahi kusikia wapi tamasha kwenye msiba?
Halafu mna viherehere utadhani nyie ni ndugu wa Manji.
Masikini bwana.
Ww hujui sina maana tamasha ka mziki wanaweza fanya hata tamasha la heshima kwa ajiri ya manji maana ushiriki wao ulikua hafifu kwenye msiba na kumbuka yanga ina mashabiki wengi huwezi fanya jambo kama hilo likawa dogo lazima liwe kama tamasha.Harafu mm sio masikini nimeshajitafuta nikajipata long time.
 
Ww hujui sina maana tamasha ka mziki wanaweza fanya hata tamasha la heshima kwa ajiri ya manji maana ushiriki wao ulikua hafifu kwenye msiba na kumbuka yanga ina mashabiki wengi huwezi fanya jambo kama hilo likawa dogo lazima liwe kama tamasha.Harafu mm sio masikini nimeshajitafuta nikajipata long time.
Umejipata nini na hujui kutofautisha R na L? Huko shule ulienda kujifunza nini?
Ulitaka Yanga washiriki namna gani?
Yanga walifanya dua kwa ajili ya Manji, unajua?
Mbona mnayakuza mambo kuliko hata inavyopaswa iwe?
 
Back
Top Bottom