Baada Ya Yanga Kunyimwa Goli La Wazi Kabisa Dhidi Ya Mamelodi Na Refa Kukataa Kureview VAR Niliikosa Mantiki Ya Huu Mfumo. Mdau We Unasemaje

Baada Ya Yanga Kunyimwa Goli La Wazi Kabisa Dhidi Ya Mamelodi Na Refa Kukataa Kureview VAR Niliikosa Mantiki Ya Huu Mfumo. Mdau We Unasemaje

BUSH BIN LADEN

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2019
Posts
8,447
Reaction score
19,425
Mdau we unasemaje? Waingereza nao huu mfumo umewachosha.
Screenshot_20240516-193702.png
 
Goli lililokataliwa la Yanga dhidi ya Mamelodi litabaki kwenye kumbukumbu kama ukatili kwenye soka, goli kama lile walifunga Tabora United dhidi ya Simba na kunyongwa na mshika kibendera.

Ni muhimu kujikumbusha lile goli ili watu kufahamu kuwa Yanga ni klabu kubwa uwanjani kwasasa kwa Africa na si kwenye makaratasi kama Simba iliyopigwa mbili bila na Bwana Jela Mbangula.
 
Halikuwa goli, wewe unakuja na maoni yako, na mm nakuja na yangu. Mm sio simba wala yanga. Bali hakikuwa GOLI.
 
Wakala wa MI6 James Bond anachunguza pete ya magendo ya dhahabu inayoendeshwa na mfanyabiashara Auric Goldfinger. Anapoingia ndani zaidi katika shughuli zake, anafichua mpango mbaya wa kushambulia hifadhi za dhahabu za Fort Knox
 
Ajenti 007 anaamua kupigana na mwanasayansi mahiri, Dk No, ambaye amedhamiria kuharibu mpango wa anga za juu wa Marekani. Kwa kusudi hili, anasafiri hadi Jamaika ili kujinasua katika hatari hii ya megalomaniac.

Community Verified icon
 
Back
Top Bottom