Baada ya Yanga kuzindua jezi, inasemekana Simba imeamua kurudisha kiwandani jezi zao mpya kufanyiwa maboresho

Baada ya Yanga kuzindua jezi, inasemekana Simba imeamua kurudisha kiwandani jezi zao mpya kufanyiwa maboresho

Kitu kizuri wameshtuka mapema la sivyo hizi hata wangeuza elfu 2 kwa kila moja hamna ambaye angenunua

View attachment 1909327
...

IMG-20210826-WA0025.jpg
Screenshot_20210825-220410.jpg
 
Simba hawanaga mambo ya kuhangaika na mavazi. Mavazi ni tabia ta utopolo. Tabia za kupenda sana mavazi ni tabia ambazo sanasana wanazo wanawake.
Tim yenye mchanganyiko wa jinsia za mashabiki nadhani ingefocus kwenye vikombe kuliko kutaka kupendeza na kuwa warembo.

Anaway ulikuwa ushauri wangu tu.
Tuambieni uto ni lini mtafanya hayo maonyesho ya mavazi?
Nilisahau kumbe tayari mmeshafanya onyesho lenu la urimbwende kwenye mavazi[emoji3]

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Nimepata pale jangwani, ila sijui nimepigwa, jezi zenye kola zinauzwa elfu 40, mimi nilitaka kit ya ugenini na nyumbani but zimeisha
Pole na hongera sana. Ndio bei yake hiyo, Jezi za Home and Away zimechukuliwa zote na walanguzi hasa wa mikoani.
 
Nimepata pale jangwani, ila sijui nimepigwa, jezi zenye kola zinauzwa elfu 40, mimi nilitaka kit ya ugenini na nyumbani but zimeisha
Hongera sana kwa kuchangia mapato ya Team yako..

Your going straight to heaven
 
Unamwita Mwanaume mwenzako Mrembo??? Uvumilivu umeanza kuwashinda mapema sana Mikia kabla shughuli yenyewe haijaanza

Mbona povu linakutoka hivyo,wewe si huko juu unamkejeli Okwi Boban Sunzu,unamjua jinsia yake? Hivi Utopolo akili zenu huwa mmemuazima nani? Au ndiyo ile kauli ya Manara “Ukiondoa Mzee Kikwete na Sunday Manara,wengine wote hamna akili[emoji2957][emoji2957]”
 
Back
Top Bottom