Baada ya Yesu kuzaliwa kitovu chake kiliwekwa wapi?

Baada ya Yesu kuzaliwa kitovu chake kiliwekwa wapi?

wa stendi

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2016
Posts
25,190
Reaction score
27,434
Kwanza heri ya krismasi kwenu.
Kama mnavyojua kila kinachozaliwa hata kama kiwe ni mnyama lazima kiwe na kitovu kirefu na baada ya mda hukatika.

Kwa upande wa binadamu kitovu huwa kinahifadhiwa kulimganana kabila au jadi fulani, wengine hupeleka kwa babu au bibi shangazi au mjomba(kuligani na imani ya kabila husika)sasa kwa upande wa dini tumeambiwa kwenye vitabu kuwa Yesu alizaliwa tena kwenye hori la ng'ombe na akalelewa kama mtoto,na kwa kuwa alizaliwa ni lazima alikuwa na kitovu.

Je, kitovu kiliwekwa wapi maana sijawahi ona au sikia kitabu chochote kikielezea kuwa kitovu cha mtoto Yesu kilihifadhiwa wapi.?
 
Kwanza heri ya krismasi kwenu.
Kama mnavyojua kila kinachozaliwa hata kama kiwe ni mnyama lazima kiwe na kitovu kirefu na baada ya mda hukatika.

Kwa upande wa binadamu kitovu huwa kinahifadhiwa kulimganana kabila au jadi fulani, wengine hupeleka kwa babu au bibi shangazi au mjomba(kuligani na imani ya kabila husika)sasa kwa upande wa dini tumeambiwa kwenye vitabu kuwa Yesu alizaliwa tena kwenye hori la ng'ombe na akalelewa kama mtoto,na kwa kuwa alizaliwa ni lazima alikuwa na kitovu.

Je, kitovu kiliwekwa wapi maana sijawahi ona au sikia kitabu chochote kikielezea kuwa kitovu cha mtoto Yesu kilihifadhiwa wapi.?
Kwenye mgomba ambao majani yake ndiyo waliokua wakila wale ng'ombe ambao Yesu alizaliwa horini mwao
 
Kwanza heri ya krismasi kwenu.
Kama mnavyojua kila kinachozaliwa hata kama kiwe ni mnyama lazima kiwe na kitovu kirefu na baada ya mda hukatika.

Kwa upande wa binadamu kitovu huwa kinahifadhiwa kulimganana kabila au jadi fulani, wengine hupeleka kwa babu au bibi shangazi au mjomba(kuligani na imani ya kabila husika)sasa kwa upande wa dini tumeambiwa kwenye vitabu kuwa Yesu alizaliwa tena kwenye hori la ng'ombe na akalelewa kama mtoto,na kwa kuwa alizaliwa ni lazima alikuwa na kitovu.

Je, kitovu kiliwekwa wapi maana sijawahi ona au sikia kitabu chochote kikielezea kuwa kitovu cha mtoto Yesu kilihifadhiwa wapi.?
Tatizo unafikiri Yesu ni msukuma kwamba wana matambiko ya vitovu.
 
Hivi ni nani aliyewadanganya wakristo kuwa Yesu amezaliwa katika hori la kulishia Ng'ombe?
Mbona hili andiko linapingana na huo uzushi

Luka 2:7
akamzaa mwanawe, kifungua mimba, akamvika nguo za kitoto, akamlaza katika hori ya kulia ng’ombe, kwa sababu hawakupata nafasi katika nyumba ya wageni.

Andiko linasema amemlaza katika hori ya kulia Ng'ombe na sio kamzaa katika hori ya kulia Ng'ombe

Pia andiko linasema amemlaza hapo katika hori ya kulia Ng'ombe Kwa sababu alikosa nafasi katika nyumba ya wageni

Maana yake ni kwamba kama angepata nafasi katika nyumba ya wageni hapo katika hori ya kulia Ng'ombe Mariam na mwanawe Yesu wasinge fika

Nyinyi wagalatia sijui huwa mnakwama wapi hadi mnadanganywa kirahisi hivi
 
Kwanza heri ya krismasi kwenu.
Kama mnavyojua kila kinachozaliwa hata kama kiwe ni mnyama lazima kiwe na kitovu kirefu na baada ya mda hukatika.

Kwa upande wa binadamu kitovu huwa kinahifadhiwa kulimganana kabila au jadi fulani, wengine hupeleka kwa babu au bibi shangazi au mjomba(kuligani na imani ya kabila husika)sasa kwa upande wa dini tumeambiwa kwenye vitabu kuwa Yesu alizaliwa tena kwenye hori la ng'ombe na akalelewa kama mtoto,na kwa kuwa alizaliwa ni lazima alikuwa na kitovu.

Je, kitovu kiliwekwa wapi maana sijawahi ona au sikia kitabu chochote kikielezea kuwa kitovu cha mtoto Yesu kilihifadhiwa wapi.?
Yohane 21:25
Kuna mambo mengine mengi aliyofanya Yesu, ambayo kama yangeandikwa yote, moja baada ya lingine, nadhani hata ulimwengu wenyewe usingetosha kuviweka vitabu ambavyo vingeandikwa.
 
Mkuu mimi ndio nimeamka sasa hivi kabla ya chochote nimekimbia refrigerator, kufuata bia ya baridi, si ndio unaniona takataka kabisa😁😁😁
kweni ungekimbilia kahawa na maziwa shida ingekuwa wapi ndugu usiwe mpumbavu bana vileo ni mahusi kwa wenye mtindio
 
Back
Top Bottom