Baada ya Yesu kuzaliwa kitovu chake kiliwekwa wapi?

Baada ya Yesu kuzaliwa kitovu chake kiliwekwa wapi?

kweni ungekimbilia kahawa na maziwa shida ingekuwa wapi ndugu usiwe mpumbavu bana vileo ni mahusi kwa wenye mtindio
Hahaha unachosema ni kweli ila mimi kila siku humu napigia kelele watu wenye akili finyu kutumia kileo😆😆😆
 
Kwanza heri ya krismasi kwenu.
Kama mnavyojua kila kinachozaliwa hata kama kiwe ni mnyama lazima kiwe na kitovu kirefu na baada ya mda hukatika.

Kwa upande wa binadamu kitovu huwa kinahifadhiwa kulimganana kabila au jadi fulani, wengine hupeleka kwa babu au bibi shangazi au mjomba(kuligani na imani ya kabila husika)sasa kwa upande wa dini tumeambiwa kwenye vitabu kuwa Yesu alizaliwa tena kwenye hori la ng'ombe na akalelewa kama mtoto,na kwa kuwa alizaliwa ni lazima alikuwa na kitovu.

Je, kitovu kiliwekwa wapi maana sijawahi ona au sikia kitabu chochote kikielezea kuwa kitovu cha mtoto Yesu kilihifadhiwa wapi.?
Kitovu cha Isaka, Yakobo au Musa vilizikwa wapi?
 
Hivi ni nani aliyewadanganya wakristo kuwa Yesu amezaliwa katika hori la kulishia Ng'ombe?
Mbona hili andiko linapingana na huo uzushi

Luka 2:7
akamzaa mwanawe, kifungua mimba, akamvika nguo za kitoto, akamlaza katika hori ya kulia ng’ombe, kwa sababu hawakupata nafasi katika nyumba ya wageni.

Andiko linasema amemlaza katika hori ya kulia Ng'ombe na sio kamzaa katika hori ya kulia Ng'ombe

Pia andiko linasema amemlaza hapo katika hori ya kulia Ng'ombe Kwa sababu alikosa nafasi katika nyumba ya wageni

Maana yake ni kwamba kama angepata nafasi katika nyumba ya wageni hapo katika hori ya kulia Ng'ombe Mariam na mwanawe Yesu wasinge fika

Nyinyi wagalatia sijui huwa mnakwama wapi hadi mnadanganywa kirahisi hivi
Kwa hiyo walikosa gesti?
 
Back
Top Bottom