Baada ya zama za kubebwa na Yamoto Band kupita, Enock Bella atoa wimbo mbaya kupitiliza

Baada ya zama za kubebwa na Yamoto Band kupita, Enock Bella atoa wimbo mbaya kupitiliza

Huyu kazi yake kubwa huwa ni kumsifia dimond hataki wengine wawe juu
 
Ama kweli majumba makubwa hustiri mambo hii kauli kwa namna fulani inashibahiana na hali inayomkuta sasa msanii Enock Bella

Huyu kijana kipindi yupo yamoto band aliwahi kutamba sana na sauti yake nzito na tungo tata zilizowachanganya vilivyo akina dada.

Mwanzoni huyu kijana alikuwa ni dancer tu wakawaida ila mkubwa fella akatumia kila aina ya ushawishi ili huyu jamaa naye aimbe kama wenzake kwenye kundi na akamsifia vilivyo kwamba sauti yake itaziba pengo la marehemu Muhiddin Gurumo lakini siku zote bwana mtu kama huna kipaji huna tu hata ufanye nini.

Alipokuwa Yamoto alijificha nyuma ya wenzake na kuimba maneno mawili matatu na hakuweza kugundulika kirahisi kwamba jamaa ni debe tupu ila tangu kundi livunjike huyu jamaa ana hali mbaya sana kimuziki na hilo limejidhihirisha mara baada ya kutoa wimbo kama solo artist uitwao Sauda.

Aisee huu wimbo ni mbaya mbaya mbayaa kupita maelezo hausikiliziki hauchezeki kwa kifupi hauvutii kabisa au kwa maneno mengine naweza kusema huu ndio wimbo mbovu zaidi kwa mwaka huu 2017/2018.

Jamaa bora aangalie tu ustaarabu mwengine mziki hawezi.

Huko IG watu wachache wamejitokeza kumsapoti lakini wapi ngoma haisapotiki ,imedoda.

View attachment 623529Pole sana Enock Bela tafuta kazi nyingine tu huku kwenye mziki unatukera huna ulichobakiza.
Kuna chuki flani hapa imejificha kichini chini
 
kila mtu anamapenz yake, mtoa mada wew unampenda wema kimapenzi mimi nampenda asha boko
 
Umekosea sanaa.. Jamaa ndoto yake kubwa kua mwanamusic kama akina diamond na kiba.... Hvyo ni kumpa ujanja nini afanye ili atoke.... Ama awe dancer... Ama abadili Style ya sauti yake.... Ama atumie computer kuweka sauti sawa
Usemacho kinawezekana. Nikimuangalia Dogo Ditto "Lameck Ditto" wa DARUBINI wakiwa na Mfalme Sele, na Ditto wa THT kuna tofauti kubwa sana!
 
Kwa lile bass, acheck na KIKOSI kama anaweza kufanya nao kazi!
 
Mtoa mada naona umetumwa tu

Pambana na hali yako, acha kusafiria nyota za wenzio
 
Hata mbuyu ulianza kama mchicha [emoji42]
 
Hapa nimegundua jambo,mtoa mada alilenga kutushawishi kuusikiliza na kaweza,kiujumla wimbo ni mzuri,uko poa unachezeka kiutu uzima,
Hongera mpiga pro umenibamba
 
Bila shaka alikutafuna uroda na hakukulipa buku lako,si kwa wivu huo
 
Ama kweli majumba makubwa hustiri mambo hii kauli kwa namna fulani inashibahiana na hali inayomkuta sasa msanii Enock Bella

Huyu kijana kipindi yupo yamoto band aliwahi kutamba sana na sauti yake nzito na tungo tata zilizowachanganya vilivyo akina dada.

Mwanzoni huyu kijana alikuwa ni dancer tu wakawaida ila mkubwa fella akatumia kila aina ya ushawishi ili huyu jamaa naye aimbe kama wenzake kwenye kundi na akamsifia vilivyo kwamba sauti yake itaziba pengo la marehemu Muhiddin Gurumo lakini siku zote bwana mtu kama huna kipaji huna tu hata ufanye nini.

Alipokuwa Yamoto alijificha nyuma ya wenzake na kuimba maneno mawili matatu na hakuweza kugundulika kirahisi kwamba jamaa ni debe tupu ila tangu kundi livunjike huyu jamaa ana hali mbaya sana kimuziki na hilo limejidhihirisha mara baada ya kutoa wimbo kama solo artist uitwao Sauda.

Aisee huu wimbo ni mbaya mbaya mbayaa kupita maelezo hausikiliziki hauchezeki kwa kifupi hauvutii kabisa au kwa maneno mengine naweza kusema huu ndio wimbo mbovu zaidi kwa mwaka huu 2017/2018.

Jamaa bora aangalie tu ustaarabu mwengine mziki hawezi.

Huko IG watu wachache wamejitokeza kumsapoti lakini wapi ngoma haisapotiki ,imedoda.

View attachment 623529Pole sana Enock Bela tafuta kazi nyingine tu huku kwenye mziki unatukera huna ulichobakiza.

Kwa hiyo huu ndo wimbo mbaya kuliko zote mwaka huu?,.. sasa hivi nikikuta post zako ntakuwa sifungui kabisa maana zimejaa upuuzi mtupu
 
Kwa hiyo huu ndo wimbo mbaya kuliko zote mwaka huu?,.. sasa hivi nikikuta post zako ntakuwa sifungui kabisa maana zimejaa upuuzi mtupu
Sasa ukifungua au usipofungua mimi napungukiwa na nini?

Kwanza bora usifungue maana huwa sipendi mada zangu watu wa ajabu ajabu kama wewe washiriki .
 
Back
Top Bottom