DOKEZO Baadhi Watumishi wa Wakala wa Mbegu za Kilimo(ASA) walalamika kuwa hawalipwi posho

DOKEZO Baadhi Watumishi wa Wakala wa Mbegu za Kilimo(ASA) walalamika kuwa hawalipwi posho

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Zekoddo

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
1,859
Reaction score
4,539
"AGRICULTURAL SEED AGENCY"
Hii taasisi imekuwa na ukiritimba sana kuhusu posho za wafanyakazi, Baadhi ya wafanyakazi huwa wanajigharamia wenyewe kwa safari zinazohusu taasisi wakijua kuwa baada ya kumaliza kazi wataandika Madokezo na Kisha kulipwa pesa zao ila hali imekuwa ni chungu sana Kwa sasa kwani malipo yanachukuwa zaidi ya miezi sita ama kutolipwa kabisa.

Ikumbukwe kuwa hii taasisi ina shughuli nyingi sana kama kusimamia uvunaji, kusafirisha mbegu kutoka Mashambani kwenda kwenye vituo vya mauzo Ila imekuwa changamoto kubwa sana, watumishi wanatumwa kazi ila pesa za posho hazilipwi.

WATUMISHI WA HII TAASISI HASA WALIOPO MASHAMBANI WANATESEKA JAMANI.
 
Duuuh, poleni sana.. inaonesha wakubwa wenu ni Wapigaji na hawawajali watu wao wa chini.
 
Huu ni upumbavu Zekoddo watumishi badala ya kujiunganisha na kufuata taratibu za kudai haki zenu ikiwa ni pamoja na migomo moto na baridi mnakuwa wanafiki mnatakiwa msipate ata mshahara kabisa ili akili zikae sawa ndio kusema mlienda shule kusomea ujinga. Mijiti inaona mwezao anatekwa hamtoi msaada mnategemea upinzani waje wawasaidie au human right waje wapige kelele wakati watu washakufa wengi
 
Huu ni upumbavu Zekoddo watumishi badala ya kujiunganisha na kufuata taratibu za kudai haki zenu ikiwa ni pamoja na migomo moto na baridi mnakuwa wanafiki mnatakiwa msipate ata mshahara kabisa ili akili zikae sawa ndio kusema mlienda shule kusomea ujinga. Mijiti inaona mwezao anatekwa hamtoi msaada mnategemea upinzani waje wawasaidie au human right waje wapige kelele wakati watu washakufa wengi
Mambo ya utekaji yanakujaje hapa mkuu,, au wewe ni miongoni mwa watekaji..?
 
Back
Top Bottom