Wadau Habari,
Niende moja kwa moja kwenye mada, juzi nikiwa kwenye mizunguko ya kutafuta shilingi jijini Dar (coz nowadays siishi Dar) nikapita mtaa mmoja wenye machinga wengi usiku kama saa moja na kidogo hivi.
Nikaona jamaa anatangaza, “sabuni sabuni huku jero huku mia saba” sasa kilichonishangaza ni bei kuwa ndogo maana sabuni zenyewe zilikuwa Dettol
Ikabidi ninunue dettol ya jero(500) ili kujua imekuwaje leo ikauzwa bei hiyo. Nilipoiangalia kwenye tarehe ya ku expire nikakuta ilisha expire toka mwaka jana.
Angalizo:
Unaponunua bidhaa kwa matumizi ya mwili wako kutoka kwa machinga kwa bei rahisi zaidi tafadhali zingatia kuangalia expiry date.
Pia serikali itusaidie kutoa elimu kwa machinga has a wauza sabuni na mafuta ili watambue umuhimu wa kuilinda jamii yetu.
Niende moja kwa moja kwenye mada, juzi nikiwa kwenye mizunguko ya kutafuta shilingi jijini Dar (coz nowadays siishi Dar) nikapita mtaa mmoja wenye machinga wengi usiku kama saa moja na kidogo hivi.
Nikaona jamaa anatangaza, “sabuni sabuni huku jero huku mia saba” sasa kilichonishangaza ni bei kuwa ndogo maana sabuni zenyewe zilikuwa Dettol
Ikabidi ninunue dettol ya jero(500) ili kujua imekuwaje leo ikauzwa bei hiyo. Nilipoiangalia kwenye tarehe ya ku expire nikakuta ilisha expire toka mwaka jana.
Angalizo:
Unaponunua bidhaa kwa matumizi ya mwili wako kutoka kwa machinga kwa bei rahisi zaidi tafadhali zingatia kuangalia expiry date.
Pia serikali itusaidie kutoa elimu kwa machinga has a wauza sabuni na mafuta ili watambue umuhimu wa kuilinda jamii yetu.