Baadhi ya Brigades za Ukraine hazijulikani zilipo

Baadhi ya Brigades za Ukraine hazijulikani zilipo

Bandar inapigwa mnada ww unaangaika na marekan ambao mapato ya robo jimbo moja ndo sw bajeti yenu miaka 2
hili jukwa la kimataifa mzee kama unataka kujua habari za bandar nenda majukwaa ya siasa
afu hata kama bandari imepigwa mnada unafkiri wewe utawafanya nini walio piga mnada zaidi ya kupiga porojo kama hivi unalazimisha tuongelee bandari ..
mambo mengine yapo nje ya uwezo wako unayaacha yapite ..
unafuatailia uozo unaofanywa na serikali utakufa kwa presha ya moyo ndugu.......
 
Ukraine na washirika wake(west) walitumia miezi kadhaa kutoa mafunzo na siraha kwa kuandaa brigeds tisa mpya pamoja na brigedi za ziada ambazo zingefanya kazi kama reserve

Mahususi kwa ajili ya kufanya counteroffensive ili kuyarudisha nyuma majeshi ya Russia

Lakini hadi sasa kwa mujibu wa Forbes ni brigade tatu au nne pekee ndio zilizoonekana vitani , zingine hazijulikani zilipo, zimepotelea vitani (Missing in action), Brigade ya 117 ni mojawapo ya hizo brigade iliyopotelea vitani ambayo ilikuwa na;
-Askari 2000
-Magari ya 28 ya kubebea askari (Viking all-terrain vehicles ya muingereza )
View attachment 2672938
-XA-185 wheeled personnel carriers, kutoka Finland zilikuwa 10
View attachment 2672944

-M-113 tracked Personal carriers ya Marekani zilikuwa 20
View attachment 2672943

-Vifaru 31 vya Poland (PT-91 tanks)
View attachment 2672947

-Vikosi 12 vya mizinga midogo (Short range) aina ya D-30 towed howitzers
View attachment 2672953

-Na mwisho ilikuwa na mizinga 12 ya masafa marefu aina ya AS-90 tracked howitzers mali ya muingereza.
View attachment 2673044

Kwa wasio fahamu Brigade ni nini
Ni muunganiko wa troops (vikosi) ambao unakuwa na askari 3000 hadi 5000 pamoja na siraha nzito .
screenshot_20230628-220641-png.2673085
Tuliambiwa na Amiri Jeshi wao mkuu kwamba "hivyo nivikosi vya utangulizi tu kwaajili yakupima kina cha maji,vikosi vya wapiga mbizi vitafuatia baadae" sasa labda muda wake bado, tuliza mshono mkuu...
 
Mambo kama haya kwa viongozi wakuu wa Jeshi yanapaswa kusimamisha vitaa maana ni hatari kupoteza brigade nzima. Nasikia pia jana majenerali 2, maofisa washauri 50 pamoja na washauri 20 wa NATO wameteketezwa. Hii inatoa taswira mbaya sana kivita.

Kukaa chini na kuyajenga ndio suluhisho na sio kushupaza shingo
Fantasy
 
Vita inakaribia mwisho hata ukisikia majigambo ya Zelensky mfano "Leo ni siku ya furaha". Yeye anapigana kwa nguvu ya NATO tu sasa hana alilonalo tena. NATO nako hali si nzuri kiuchumi na hata silaha zimewaishia.
Utakuwa darasa la 7B
 
Yarabiii, na lile dubwana sijui pizogwin linaenda kuwatokea kwa nyuma tena kimbwa mbwa ama kweli saluva ukarainiiii khah
Tangu lini mtu akaongoza uasi eti umeangusha ndege 13 za kivita halafu anahamishiwa nchi njyengine jiran na anajengewa kambi na pesa zake anapelekewa huko huko.
 
You call it fantasy, unafahamu kusomesha mwanajeshi mmoka ina gharimu kiasi gani. Imagine brigade nzima na vifaa vyao vyote zidisha mara saba umepoteza vyote ndani ya mwezi mmoja. Kama hujui basi hujui
 
Kwa hali ile ya kwenda kama vile nyumbu wanaenda kunywa maji unategemea kutakuwa tena na Brigade.

Nilimsikiliza mkuu wao wa vikosi vya ardhini alikuwa anawatupia lawama wasaliti, baada ya kusema mbinu zao zimeferi yeye anakwambia kuna wanajeshi wametoa taarifa za siri kwa Warusi.

Mnajua kabisa mnapigana na mtu ambaye kwenye Anga yupo vizuri alafu nyie mnaenda kwa msafara kama vile mnaenda kuzika, mnategemea kitawakuta nini.[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tangu lini mtu akaongoza uasi eti umeangusha ndege 13 za kivita halafu anahamishiwa nchi njyengine jiran na anajengewa kambi na pesa zake anapelekewa huko huko.
Watu hawatumii vizuri akil.Mchezo wa wazi kabisa.
 
hili jukwa la kimataifa mzee kama unataka kujua habari za bandar nenda majukwaa ya siasa
afu hata kama bandari imepigwa mnada unafkiri wewe utawafanya nini walio piga mnada zaidi ya kupiga porojo kama hivi unalazimisha tuongelee bandari ..
mambo mengine yapo nje ya uwezo wako unayaacha yapite ..
unafuatailia uozo unaofanywa na serikali utakufa kwa presha ya moyo ndugu.......
Maumivu yake anatupasia.
 
Back
Top Bottom