alumelunda
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 753
- 918
Nasikia, ukiwa wapi?Mambo kama haya kwa viongozi wakuu wa Jeshi yanapaswa kusimamisha vitaa maana ni hatari kupoteza brigade nzima. Nasikia pia jana majenerali 2, maofisa washauri 50 pamoja na washauri 20 wa NATO wameteketezwa. Hii inatoa taswira mbaya sana kivita.
Kukaa chini na kuyajenga ndio suluhisho na sio kushupaza shingo