alumelunda
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 753
- 918
Nasikia, ukiwa wapi?Mambo kama haya kwa viongozi wakuu wa Jeshi yanapaswa kusimamisha vitaa maana ni hatari kupoteza brigade nzima. Nasikia pia jana majenerali 2, maofisa washauri 50 pamoja na washauri 20 wa NATO wameteketezwa. Hii inatoa taswira mbaya sana kivita.
Kukaa chini na kuyajenga ndio suluhisho na sio kushupaza shingo
yaani we kweli ni kipanya yaani watu wanakufa huko ukraine wew wewe unajitia moyo eti hakuna counteroffensive sirious ilio anza huko .....Ndio maana tunawasisitiza kila siku kwamba hakuna serious counteroffensive hambayo tayari imeanza hapo Ukraine.., subirini kichapo kamili, hii ni lashalasha tu,
Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
alafu swala mapato tanzania na marekani ni tofauti wewe marekani imepata uhuru miaka kibao nyuma 1778 kama nimerong nenda guugo utajua marekni imezaliwa liniBandar inapigwa mnada ww unaangaika na marekan ambao mapato ya robo jimbo moja ndo sw bajeti yenu miaka 2
Mkuu kumbe Fobes inaoripoti habari hiyo ni ya Urusi!Jamaa wameshaanza tena uongo mnaiga PUTIN kwa uongo na uoga , mbona hajapiga tena Nuclear ??
Mbona haimalizi sasa kama kaitawalaHio ya mercenaries kuna mwanajeshi wa Ukraine alitoa boko kapost Instagram kasahau kuzima location wakati wanapata dinner missile ikaja kujumuika nao.
Wakaanza kusema Russia imeshambulia civilian building kumbe ndan kuikuwa na viongozi wa NATO na mercenaries kibao
Russia wameitawala Kwa asimia kubwa Sana hii vita
Masponsa ndio wanaowaza yey ni mtekelezaj wa hayo mawazoHivi zelesky anawaza
nini Kwenye kichwa chake kwa sasa